-
Vijana 6 wa Burundi watoweka wakiwa Marekani
Jul 22, 2017 07:54Taarifa kutoka vyombo vya usalama nchini Marekani zinabaini kwamba vijana sita kutoka Burundi waliokuwa wakishiriki katika mashindano ya roboti nchini nchini humo wametoweka na hawajulikani waliko. Taarifa hizo hazijathibitishwa na serikali ya Burundi.
-
Mlipuko wa guruneti waikumba Bujumbura, watu kadhaa wajeruhiwa
Jul 17, 2017 06:44Watu kadhaa wamejeruhiwa katika mlipuko uliotokea Bujumbura mji mkuu wa Burundi.
-
Watu 8 wauawa na 50 kujeruhiwa katika shambulio la guruneti Burundi
Jul 11, 2017 03:09Watu wanane wameuawa na wengine hamsini wamejeruhiwa katika kijiji kimoja mkoani Kayanza kaskazini mwa Burundi juzi jioni. Pierre Nkurikiye Msemaji wa Polisi ya Burundi amesema kuwa watu wanne waliaga dunia papo hapo katika eneo la tukio na wengine wanne walifariki kwa majeraha waliyopata katika shambulio hilo la guruneti.
-
SAUTI, Tume ya Kitaifa ya Haki za Binaadamu Burundi yasema, hali ya kibinaadamu nchini imeboreka sana
Jul 08, 2017 10:32Tume ya kitaifa haki za binaadamu nchini Burundi imesema kuwa, hali ya haki za binaadam imezidi kuboreka siku hadi siku nchini.
-
Rais Nkurunziza wa Burundi apokea vitambulisho vya balozi mpya wa Iran
Jul 02, 2017 04:14Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi amepokea vitmabulisho vya Murtadha Murtadhawi, Balozi mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye si mkazi.
-
SAUTI, Michel Kafando: Nimefurahishwa na hatua ya Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi kunikubali kuwa msuluhishi
Jun 29, 2017 17:18Michel Kafando, Mjumbe mpya wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Burundi, amefanya ziara mjini Bujumbura kwa ajili ya kukutana kwa mara ya kwanza na viongozi wa nchi hiyo.
-
SAUTI, Viongozi wa Kiislamu Burundi wakosoa tamko la serikali la kutomtambua mke zaidi ya mmoja, wataka marekebisho
Jun 19, 2017 17:06Viongozi wa Kiislamu nchini Burundi wamewataka Waislamu wa nchi hiyo kushikamana na mafundisho ya dini yao hususan katika suala la kuoa zaidi ya mke mmoja ambalo linaonekana kupigwa marufuku na serikali.
-
UN: Jeshi la Burundi linatesa na kuua wapinzani wa serikali
Jun 15, 2017 17:12Wachunguzi wa Umoja wa Mataifa wametangaza kuwa, jeshi la serikali ya Burundi linaendelea kuteka nyara, kutesa na kuua wananchi bila ya kuchukuliwa hatua yoyote.
-
Burundi yachukua hatua kudhibiti mmomonyoko wa maadili miongoni mwa vijana
May 27, 2017 02:47Serikali ya Burundi imewaagiza watu wote hususan vijana wanaoishi kinyumba kuhalalisha na kusajili ndoa zao kufikia mwishoni mwa mwaka huu.
-
EU yakataa ombi la Museveni na Magufuli la kuiondolea vikwazo Burundi
May 22, 2017 04:24Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania amekataa ombi la marais wa Tanzania na Uganda la kuutaka umoja huo uifutie vikwazo Burundi.