Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Canada

  • Mark Carney: Canada haitasahau usaliti wa Marekani/ Mahusiano ya zamani yamekwisha

    Mark Carney: Canada haitasahau usaliti wa Marekani/ Mahusiano ya zamani yamekwisha

    Apr 29, 2025 12:01

    Waziri Mkuu mteule wa Canada, Mark Carney ametoa ujumbe mzito kwa Marekani, akisema kwamba Ottawa haipaswi "kusahau usaliti wa Washington ambao umeathiri vibaya uhusiano wa kibiashara wa nchi hizo mbili.

  • Wacanada waanza

    Wacanada waanza "kumtia adabu" Trump, bidhaa za Marekani zasusiwa Canada

    Apr 02, 2025 02:31

    Kuongezeka himaya na uungaji mkono wa Wacanada kwa bidhaa za nyumbani kumeibua wasiwasi kwa makampuni ya bidhaa mbalimbali ya Marekani.

  • Marekani, Mshirika Asiyeaminika

    Marekani, Mshirika Asiyeaminika

    Mar 31, 2025 02:39

    Waziri Mkuu wa Canada, Mark Carney, ambaye amemrithi Justin Trudeau, amesisitiza kwamba atajibu hatua za Marekani dhidi ya nchi hiyo katika nyanja za kiuchumi na kibiashara, na amekiri kwamba: "Marekani si mshirika wa kuaminika tena."

  • Trump asaini amri ya kubadilisha mfumo wa uchaguzi na upigaji kura Marekani, apingwa vikali

    Trump asaini amri ya kubadilisha mfumo wa uchaguzi na upigaji kura Marekani, apingwa vikali

    Mar 27, 2025 05:56

    Rais wa Marekani Donald Trump amesaini amri ya kiutekelezaji ya kubadilisha mfumo wa uchaguzi na upigaji kura wa nchi hiyo, inayojumuisha sharti la uthibitisho wa uraia kwa usajili wa wapiga kura.

  • Canada kuangalia upya mkataba wa kununua ndege za kivita za Marekani

    Canada kuangalia upya mkataba wa kununua ndege za kivita za Marekani

    Mar 16, 2025 06:04

    Waziri Mkuu mpya wa Canada, Mark Carney ametoa amri ya kupitiwa upya mkataba wa nchi hiyo na kampuni ya silaha ya Marekani unaohusiana na kuiuzia Canada ndege za kivita za F-35.

  • Wacanada wenye hasira wamjibu kivitendo Donald Trump

    Wacanada wenye hasira wamjibu kivitendo Donald Trump

    Mar 09, 2025 02:36

    sambamba na hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump, ya kuongeza mashinikizo kwa Ottawa nwa vitisho vyake vya kuiteka Canada na kuijumuisha kwenye majimbo ya Marekani, wananchi wenye hasira wa Canada nao wameamua kutokaa kimya na wameanza kwa nguvu kutekeleza vikwazo dhidi ya bidhaa za Marekani.

  • Wacanada wenye hasira wamjibu kivitendo Donald Trump

    Wacanada wenye hasira wamjibu kivitendo Donald Trump

    Mar 08, 2025 11:17

    sambamba na hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump, ya kuongeza mashinikizo kwa Ottawa nwa vitisho vyake vya kuiteka Canada na kuijumuisha kwenye majimbo ya Marekani, wananchi wenye hasira wa Canada nao wameamua kutokaa kimya na wameanza kwa nguvu kutekeleza vikwazo dhidi ya bidhaa za Marekani.

  • Theluthi moja ya Wacanada wanaichukulia Marekani kuwa ni

    Theluthi moja ya Wacanada wanaichukulia Marekani kuwa ni "adui" wa nchi yao

    Feb 22, 2025 05:54

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni yanaonyesha kuwa idadi kubwa ya Wacanada wanaitazama Marekani kama adui yao kutokana na kauli na vitisho vilivyotolewa na rais wa nchi hiyo Donald Trump dhidi ya nchi yao.

  • Abuja yaijia juu Canada kwa kumyima 'viza' Mkuu wa Jeshi la Nigeria

    Abuja yaijia juu Canada kwa kumyima 'viza' Mkuu wa Jeshi la Nigeria

    Feb 14, 2025 12:10

    Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Nigeria, Jenerali Christopher Musa, ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya ubalozi wa Canada katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi, kumnyima yeye na maafisa wengine wakuu wa kijeshi viza ya kwenda Canada kuhudhuria hafla ya michezo ya maveterani wa vita huko Vancouver.

  • Jimbo la Ontario Canada laziwekea vikwazo kampuni za Marekani

    Jimbo la Ontario Canada laziwekea vikwazo kampuni za Marekani

    Feb 04, 2025 02:48

    Baada ya Donald Trump kuiambia Canada kuwa atatoza ushuru wa asilimia 25 kwa bidhaa za nchi hiyo zinazoingia Marekani, Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau amejibu kivitendo hatua hiyo akitangaza kuwa bidhaa za Marekani zinazoingia nchini humo nazo zitatozwa ushuru wa asilimia 25.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS