Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Ushirikiano na misimamo ya pamoja ya China na Russia kuhusu Ukraine

    Ushirikiano na misimamo ya pamoja ya China na Russia kuhusu Ukraine

    Feb 06, 2022 01:11

    Wang Yi Waziri wa Mambo ya Nje wa China na mwenzake wa Russia Sergei Lavrov wameratibu misimamo ya nchi mbili huko Beijing kuhusu kadhia kama za Ukraine, Afghanistan na hali ya mambo katika Peninsula ya Korea.

  • Guterres apuuza mashinikizo ya US ya kutaka asusie Olimpiki China

    Guterres apuuza mashinikizo ya US ya kutaka asusie Olimpiki China

    Feb 03, 2022 09:12

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amepuuzilia mbali mwito wa Balozi wa Marekani katika umoja huo wa kumtaka asusie hafla ya ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi kali nchini China.

  • China yasema Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia

    China yasema Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia

    Jan 22, 2022 23:10

    China imetahadharisha kuwa Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia kutokana na maghala yake makubwa ya silaha angamizi za nyuklia.

  • Rekodi ya utendaji kazi ya Joe Biden, mwaka mmoja wa kuwa madarakani

    Rekodi ya utendaji kazi ya Joe Biden, mwaka mmoja wa kuwa madarakani

    Jan 21, 2022 23:09

    Rais Joe Biden wa chama cha Democrat aliingia madarakani mwaka mmoja uliopita mnamo Januari 20, 2021, huku akitoa ahadi nyingi, hasa za kubadilisha hatua zilizochukuliwa na mtangulizi wake, Donald Trump, Rais wa zamani wa Marekani wa chama cha Republican.

  • Uchoraji tattoo wapigwa marufuku kwa wachezaji wa soka nchini China

    Uchoraji tattoo wapigwa marufuku kwa wachezaji wa soka nchini China

    Dec 30, 2021 08:09

    Viongozi wa michezo nchini China wamesema, kutokana nyota wa mchezo wa soka kuwa ni kigezo na mfano wa kuigwa kwa vizazi mbalimbali, ni marufuku kwa wachezaji hao kujichora tattoo.

  • Takwa la China la kuondolewa vikwazo vya Iran

    Takwa la China la kuondolewa vikwazo vya Iran

    Dec 19, 2021 23:01

    Mwakilishi wa China katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ametaka kuondolewa vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Geng Shuang amesema Marekani imekosea katika kuanzisha mgogoro wa nyuklia wa Iran na kuitaka Washington iondoe vikwazo vyake vya upande mmoja ili kuandaa mazingira ya kurejea katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Amir Abdolahian na mwenzake wa China wapongeza mwenendo wa mazungumzo ya Vienna

    Amir Abdolahian na mwenzake wa China wapongeza mwenendo wa mazungumzo ya Vienna

    Dec 17, 2021 04:34

    Hussein Amir Abdolahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran jana Alhamisi aliwasiliana kwa njia ya simu na na kufanya mazungumzo na mwenzake wa China, Wang Yi kuhusu uhusiano wa pande na kubadilishana mawazo juu ya mwenendo wa mazungumzo ya nyuklia ya Vienna na matukio ya kimataifa.

  • Rais wa Russia asema uhusiano wa nchi yake na China unaleta uthabiti katika uga wa kimataifa

    Rais wa Russia asema uhusiano wa nchi yake na China unaleta uthabiti katika uga wa kimataifa

    Dec 15, 2021 23:57

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, uratibu na mashauriano yanayofanywa baina ya nchi yake na China katika uga wa kimataifa umekuwa wenzo wa kupatikana uthabiti duniani.

  • China: Kizoro cha dai la demokrasia kimefunuka, sura halisi ya Marekani imefichuka

    China: Kizoro cha dai la demokrasia kimefunuka, sura halisi ya Marekani imefichuka

    Dec 14, 2021 06:27

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema, Marekani haiwezi tena sasa kuwababaisha na kuwapotosha watu.

  • Marekani yasusia kidiplomasia michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi nchini China

    Marekani yasusia kidiplomasia michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi nchini China

    Dec 09, 2021 01:14

    Jen Psaki Msemaji wa Ikulu ya White House alitangaza Jumatatu usiku kuwa, "serikali ya Joe Biden haitatuma mwakilishi rasmi au wa kidiplomasia katika michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi." Amedai kuwa sababu ya uamuzi huo wa serikali ya Marekani ni mauaji ya kimbari na jinai dhidi ya binadamu katika mkoa wa Xinjiang na vitendo vingine vya ukiukwaji wa haki za binadamu China.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS