Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Lavrov asisitiza kuondolewa sarafu ya dola katika mzunguko wa mfumo wa fedha

    Lavrov asisitiza kuondolewa sarafu ya dola katika mzunguko wa mfumo wa fedha

    Mar 22, 2021 03:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesisitiza utumiaji wa sarafu nyinginezo badala ya dola katika mabadilishano ya kibiashara.

  • Kikao cha Alaska na kukaririwa tuhuma za Marekani dhidi ya China

    Kikao cha Alaska na kukaririwa tuhuma za Marekani dhidi ya China

    Mar 20, 2021 23:49

    Kushadidi mpambano baina ya Marekani na China tangu baada ya Joe Biden kushika hatamu za uongozi kumezifanya pande hizo mbili kuitisha kikao cha ngazi za juu ambacho kilifanyika Alkhamisi iliyopita katika eneo la Anchorage kwenye jimbo la Alaska.

  • Marekani; tishio kubwa zaidi kwa China

    Marekani; tishio kubwa zaidi kwa China

    Mar 08, 2021 06:28

    Huku vita vya maneno vikizidi kuongezeka kati ya viongozi wa China na Marekani, mara hii Rais Xi Jinping wa China amesema kuwa Marekani ndilo tishio kubwa zaidi kwa usalama wa nchi yake.

  • Wasomi 26 wataka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusu chanzo cha virusi vya corona

    Wasomi 26 wataka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusu chanzo cha virusi vya corona

    Mar 05, 2021 04:18

    Gazeti la Wall Street Journal la Marekani limetangaza kuwa, wasomi 26 wameandika barua ya wazi wakitaka kufanyike uchunguzi mpya wa kimataifa kuhusu chanzo cha virusi vya corona.

  • Rais Xi: Marekani ndilo tishio kuu kwa ustawi na usalama wa China

    Rais Xi: Marekani ndilo tishio kuu kwa ustawi na usalama wa China

    Mar 04, 2021 23:01

    Rais Xi Jinping wa China amesema Marekani ndilo tishio kubwa zaidi kwa maendeleo na usalama wa nchi hiyo ya Asia.

  • Iran yapokea dozi robo milioni za chanjo ya Corona kutoka China

    Iran yapokea dozi robo milioni za chanjo ya Corona kutoka China

    Feb 28, 2021 09:51

    Shehena ya kwanza ya dozi za chanjo ya kubaliana na ugonjwa wa Covid-19 kutoka China imewasili hapa nchini Iran leo Jumapili.

  • Zarif: Matukio ya kimataifa hayaathiri uhusiano wa kistratijia wa Iran-China

    Zarif: Matukio ya kimataifa hayaathiri uhusiano wa kistratijia wa Iran-China

    Feb 16, 2021 22:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amepongeza 'ushirika wa kistratijia' wa Iran na China na kuongeza kuwa, matukio ya kimataifa hayawezi kuathiri urafiki baina ya washirika hawa wawili.

  • China yatoa onyo kali: Taiwan kuwa nchi huru maana yake ni

    China yatoa onyo kali: Taiwan kuwa nchi huru maana yake ni "kutangaza vita"

    Jan 29, 2021 09:30

    China imetumia lugha kali zaidi katika kuamiliana na Taiwan kwa kuonya kuwa, kisiwa hicho kujitangazia uhuru ni sawa na kutangaza vita na kwamba vikosi vya jeshi la nchi hiyo vimesha jiweka tayari kuchukua hatua dhidi ya uchochezi na uingiliaji wa kigeni.

  • China yamwekea vikwazo Pompeo na maafisa wenzake 27 kwa 'uongo na udanganyifu'

    China yamwekea vikwazo Pompeo na maafisa wenzake 27 kwa 'uongo na udanganyifu'

    Jan 21, 2021 03:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imetangaza kuwa imemwekea vikwazo Mike Pompeo, waziri wa mambo ya nje wa serikali ya Marekani iliyomaliza muda wake ya Donald Trump pamoja na maafisa wengine 27 wa serikali hiyo kwa sababu ya kile ilichokiita hatua za kiwendawazimu zilizoingilia vibaya sana masuala ya ndani ya China.

  • Jibu la Beijing kuhusu madai kwamba China inaunga mkono mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Marekani huko Afghanistan

    Jibu la Beijing kuhusu madai kwamba China inaunga mkono mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Marekani huko Afghanistan

    Jan 02, 2021 23:20

    China imeyataja madai kwamba inalifadhili kifedha kundi la wanamgambo wa Taliban ili lifanye mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Marekani huko Afghanistan kuwa ni ya uwongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS