-
Wanasayansi nchini China wagundua mbinu inayoweza kutumiwa kuangamiza nzige
Aug 18, 2020 21:56Wanasayansi nchini China wamegundua mada zenye harufu ambazo hutolewa na nzige na kusababisha wajikusanye kwenye makundi.
-
Vita vya biashara kati ya China na Marekani
Aug 16, 2020 05:24Beijing na Washington leo zinatarajiwa kubadilishana mawazo na kutathmini sehemu ya kwanza ya mapatano yao ya kibiashara.
-
Modi azionya China na Pakistan, asema Pakistan ni adui wa kudumu wa India
Aug 15, 2020 21:47Waziri Mkuu wa India Narendra Modi amezitahadharisha China na Pakistan na kile alichokiita matokeo mabaya ya hatua zao za kuanzisha chokochoko dhidi ya nchi yake.
-
Juhudi za Pempeo kuiarifisha China kama tishio kwa nchi za Ulaya
Aug 13, 2020 22:21Tokea aingie madarakani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akitekeleza siasa kali na za uhasama dhidi ya China ambapo amekuwa akiendesha vita vya kisiasa, kibiashara na kiusalama dhidi ya nchi hiyo muhimu ya Asia.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani yuko katika duru nyingine ya safari barani Ulaya
Aug 13, 2020 02:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo ameanza duru mpya ya safari barani Ulaya baada ya safari nyingine wiki tatu zilizopita. Mara hii Pompeo anatembelea nchi nne za Ulaya ya Kati na Mashariki.
-
Marekani yalegeza msimamo kuhusu kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran
Aug 12, 2020 23:00Juhudi za Marekani za kutaka vikwazo vya silaha dhidi ya Iran virefushwe katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimekabiliwa na changamoto kubwa.
-
Safari ya waziri wa Marekani Taiwan; kuongezeka mvutano kati ya China na Marekani
Aug 10, 2020 06:31Licha ya upinzani mkali wa China, Waziri wa Afya na Huduma za Kibinadamu wa Marekani jana Jumapili alifanya safari huko Taiwan akiwa ameandamana na ujumbe wa ngazi za juu wa nchi hiyo.
-
China: Misimamo ya kisiasa iepukwe katika kukabiliana na ugaidi
Aug 07, 2020 02:32Mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa ametilia mkazo udharura wa kuwekwa kando mienendo ya kindumakuwili na misimamo ya kisiasa katika kupambana na ugaidi.
-
China; Changamoto kubwa zaidi inayoikereketa Marekani
Aug 06, 2020 21:53Waziri wa Mambo ya Nje wa China amekosoa kwa mara nyingine kuwepo kwa jeshi la Marekani katika Bahari ya China Kusini.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa China: Marekani ni mwangamizi mkubwa kabisa wa nidhamu ya kimataifa
Jul 29, 2020 22:04Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesema, serikali ya Marekani ni mwangamizi mkubwa kabisa wa nidhamu ya kimataifa.