Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Trump awashambulia marafiki na maadui zake

    Trump awashambulia marafiki na maadui zake

    Oct 11, 2018 23:11

    Tangu aingie madarakani nchini Marekani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekuwa akitekeleza siasa ambazo zimeifanya dunia kuwa uwanja wa malumbano na mivutano.

  • Bunge la Ulaya lataka kusitishwa ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa Uighur, China

    Bunge la Ulaya lataka kusitishwa ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa Uighur, China

    Oct 05, 2018 01:03

    Wawakilishi wa Bunge la Ulaya wamelaani kamatakamata kubwa ya Waislamu wa jimbo la Xinjiang huko kaskazini mwa China na kutoa wito wa kusitishwa ukandamizaji wa Waislamu hao wa jamii ya Uighur (Uyghurs).

  • China: Hatuna azma ya 'kuikoloni' Zimbabwe licha ya kushindwa kutulipa madeni yetu

    China: Hatuna azma ya 'kuikoloni' Zimbabwe licha ya kushindwa kutulipa madeni yetu

    Oct 02, 2018 04:49

    China imesema Beijing haina nia wala mpango wa kunyakua na kudhibiti mali za Zimbabwe licha ya serikali ya Harare kushindwa kuilipa nchi hiyo malimbikizo ya madeni yake.

  • Uungaji mkono imara wa Russia na China kwa JCPOA na hatua za pamoja kwa ajili ya kuyalinda makubaliano hayo

    Uungaji mkono imara wa Russia na China kwa JCPOA na hatua za pamoja kwa ajili ya kuyalinda makubaliano hayo

    Sep 30, 2018 04:04

    Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akiyakosoa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ambayo yalitiwa saini Julai 2015 baina ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo Marekani akiyataja kuwa makubaliano mabaya kabisa.

  • Marekani kuiuzia Taiwan silaha za kijeshi za dola milioni 330

    Marekani kuiuzia Taiwan silaha za kijeshi za dola milioni 330

    Sep 25, 2018 04:41

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imesema serikali ya Washington imeidhinisha mauzo ya silaha za kijeshi kwa Taiwan yenye thamani ya dola milioni 330.

  • Amnesty: China imetenganisha malaki ya familia za Waislamu

    Amnesty: China imetenganisha malaki ya familia za Waislamu

    Sep 24, 2018 10:32

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International sambamba na kulaani ukandamizaji unaofanywa na vyombo vya usalama dhidi ya Waislamu nchini China, limesema kuwa mamia ya maelfu ya familia za Waislamu nchini humo zimelazimika kutengana na jamaa zao kutokana na dhulma hizo za serikali.

  • Kufutwa mazungumzo ya kijeshi kati ya Marekani na China

    Kufutwa mazungumzo ya kijeshi kati ya Marekani na China

    Sep 23, 2018 23:28

    Wizara ya Ulinzi ya China na katika jibu lake dhidi ya siasa za mabavu na kupenda kujitanua za Marekani, imefuta mazungumzo ya kijeshi na nchi hiyo baada ya kufuta mazungumzo ya kibiashara baina ya pande hizo mbili.

  • Kimbunga Mangkhut chaingia China, baada ya kuua 60 Ufilipino

    Kimbunga Mangkhut chaingia China, baada ya kuua 60 Ufilipino

    Sep 16, 2018 10:17

    Kimbunga kikali cha Mangkhut kimewasili nchini China baada ya kuua watu 60 kaskazini mwa Ufilipino.

  • Mawaziri wa G20 wataka mabadiliko WTO kukabiliana na uhasama wa Marekani

    Mawaziri wa G20 wataka mabadiliko WTO kukabiliana na uhasama wa Marekani

    Sep 15, 2018 20:43

    Mawaziri wa biashara na uwekezaji wa nchi tajiri duniani za kundi la G20 wamesema kuna haja ya kufanyika mabadiliko ya dharura katika Shirika la Biashara Duniani WTO kukabiliana na vita vya kibiasahra vya Marekani dhidi ya China.

  • Waislamu nchini India waandamana kuwatetea Waislamu wa China

    Waislamu nchini India waandamana kuwatetea Waislamu wa China

    Sep 15, 2018 09:30

    Waislamu nchini India wamefanya maandamano kuiunga mkono jamii ya Waislamu wa Uighur wanaokandamizwa katika mkoa wa Xinjiang nchini China.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS