Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Familia za Daesh zakimbia  kaskazini mwa mkoa wa  Salahuddin Iraq

    Familia za Daesh zakimbia kaskazini mwa mkoa wa Salahuddin Iraq

    Sep 04, 2017 03:43

    Sambamba na kukaribia wakati wa kutekelezwa oparesheni ya kuukomboa mji wa Shirqat katika mkoa wa Salahhudin huko kaskazini mwa Iraq, familia za magaidi wa kundi la Daesh zimeripotiwa kulikimbia eneo hilo usiku kucha.

  • Magaidi wa Daesh kusafishwa kikamilifu Iraq, karibuni hivi

    Magaidi wa Daesh kusafishwa kikamilifu Iraq, karibuni hivi

    Sep 03, 2017 02:29

    Mbunge mmoja wa Iraq ambaye pia anashughulikia masuala ya usalama nchini humo amesema kuwa, karibuni hivi itaanza operesheni ya kuwafurusha magaidi wa Daesh katika ngome yao iliyobakia ya al Hawija na hivyo kuwasafisha kabisa magaidi hao nchini Iraq.

  • Hizbullah: Magaidi wa Daesh (ISIS) hawakuwa na budi ila kujisalimisha

    Hizbullah: Magaidi wa Daesh (ISIS) hawakuwa na budi ila kujisalimisha

    Aug 29, 2017 07:25

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema wanachama waliokuwa wamejizatiti kwa silaha wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika eneo la Qalamun, hawakuwa na chaguo jingine ghairi ya kujisalimisha kwa vikosi vya muqawama baada ya vikosi hivyo kuwakaribia magaidi hao katika eneo la mpaka wa pamoja wa Lebanon na Syria.

  • Magaidi wa Daesh (ISIS) wajisalimisha kwa Hizbullah ya Lebanon

    Magaidi wa Daesh (ISIS) wajisalimisha kwa Hizbullah ya Lebanon

    Aug 27, 2017 14:38

    Wapiganaji wenye silaha wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) wamejisalimisha kwa vikosi vya muqawama baada ya vikosi hivyo kuwakaribia magaidi hao katika eneo la mpaka wa pamoja wa Lebanon na Syria.

  • Libya: Kibaraka wa Mossad alikuwa imamu wa Swala za jamaa na kiongozi wa Daesh Libya + Video

    Libya: Kibaraka wa Mossad alikuwa imamu wa Swala za jamaa na kiongozi wa Daesh Libya + Video

    Aug 26, 2017 15:26

    Maafisa wa Libya wamethibitisha kuwa, wamemtia nguvuni kiongozi wa kundi la Daesh ambaye alikuwa akilifanyia kazi shirika la ujasusi la Israel, Mossad.

  • Mafanikio makubwa ya muqawama; kuongezeka kasi ya kuangamizwa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS)

    Mafanikio makubwa ya muqawama; kuongezeka kasi ya kuangamizwa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS)

    Aug 26, 2017 03:53

    Mwenendo wa kuliangamiza na kulitokomeza kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh umezidi kushika kasi kutokana na azma thabiti na mkakati madhubuti unaotekelezwa na mhimili wa muqawama katika mapambano na kundi hilo.

  • UN yatiwa wasiwasi na hali za wanawake wa Kiiraqi katika miji inayokaliwa kwa mabavu na Daesh

    UN yatiwa wasiwasi na hali za wanawake wa Kiiraqi katika miji inayokaliwa kwa mabavu na Daesh

    Aug 23, 2017 03:47

    Ujumbe wa misaada ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ulioko nchini Iraq na ofisi ya haki za binadamu ya umoja huo zimetoa ripoti na kutangaza kuwa wanawake na wasichana wa Kiiraqi wanaoishi kwenye miji inayokaliwa kwa mabavu na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wanakabiliwa na ukiukaji wa haki za binadamu.

  • Operesheni kali ya ulipizaji kisasi dhidi ya magaidi yaanza rasmi Syria, makumi ya magaidi waangamizwa

    Operesheni kali ya ulipizaji kisasi dhidi ya magaidi yaanza rasmi Syria, makumi ya magaidi waangamizwa

    Aug 22, 2017 08:19

    Hatua ya kwanza ya operesheni ya Kikosi cha Brigedi ya Sayyidu Shuhadaa ya kulipizaji kisasi kwa ajili shahidi Mohsen Hojaji imeanza rasmi kwa kuangamiza zaidi ya magaidi 30 mashariki mwa Syria.

  • Mshukiwa mkuu wa mashambulizi ya kigaidi Barcelona auawa

    Mshukiwa mkuu wa mashambulizi ya kigaidi Barcelona auawa

    Aug 22, 2017 03:22

    Polisi ya Uhispania imemuua Younes Abouyaaqoub aliyetekeza shambulio la kigaidi la Alkhamisi wiki iliyopita katika mji wa Barcelona.

  • Hizbullah ya Lebanon: Lengo la kundi la kigaidi la Daesh ni kuchafua sura ya Uislamu

    Hizbullah ya Lebanon: Lengo la kundi la kigaidi la Daesh ni kuchafua sura ya Uislamu

    Aug 18, 2017 15:01

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, lengo la vitendo vinavyofanywa na kundi la kigaidi la Daesh ni kuchafua haiba na sura halisi ya Uislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS