Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Iraq yaitaka Saudia itoe maelezo kwa kulisaidia kifedha kundi la kigaidi la Daesh

    Iraq yaitaka Saudia itoe maelezo kwa kulisaidia kifedha kundi la kigaidi la Daesh

    Jun 12, 2016 03:04

    Serikali ya Iraq imelalamikia misaada ya kifedha inayokusanywa na baadhi ya makundi nchini Saudi Arabia kwa ajili ya kulisaidia kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • Magaidi wa ISIS waua  watu 20 katika Haram ya Bibi Zainab SA, Syria

    Magaidi wa ISIS waua watu 20 katika Haram ya Bibi Zainab SA, Syria

    Jun 11, 2016 10:58

    Magaidi wa kundi la ISIS au Daesh wametekeleza hujuma ya bomu na kuua watu 20 karibu na Haram ya Bibi Zainab SA katika viungo vya mji mkuu wa Syria, Damascus.

  • Wanajeshi wa Libya waukomboa kikamilifu mji wa Sirte

    Wanajeshi wa Libya waukomboa kikamilifu mji wa Sirte

    Jun 11, 2016 02:41

    Vikosi vya serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya vimetangaza habari ya kuukomboa kikamilifu mji wa kistratajia wa Sirte, uliokua chini ya udhibiti wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Raia 30 wauawa katika hujuma ya Daesh nchini Iraq

    Raia 30 wauawa katika hujuma ya Daesh nchini Iraq

    Jun 11, 2016 02:36

    Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa wimbi la hujuma za kitatili na za ulipizaji kisasi za Daesh (ISIS), wanachama wa kundi la hilo la kigaidi na kitakfiri wamewaua kwa kufyatulia risasi raia zaidi ya 30 magharibi mwa mji wa Fallujah, mkoa wa al-Anbar.

  • Israel inawapelekea 'futari' wapiganaji wa Daesh huko Syria

    Israel inawapelekea 'futari' wapiganaji wa Daesh huko Syria

    Jun 10, 2016 09:52

    Imerifiwa kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel unawapelekea misaada ya chakula wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika maeneo ambayo yako chini ya udhibiti wao nchini Syria.

  • Watoto 11 wawa wahanga wa mashambulio ya Marekani Syria

    Watoto 11 wawa wahanga wa mashambulio ya Marekani Syria

    Jun 10, 2016 02:54

    Kundi linalojiita la haki za binadamu nchini Syria limesema kuwa, mashambulizi ya muungano unaodaiwa ni wa kupambana na Daesh yameua raia wasiopungua 30 wakiwemo watoto wadogo 11.

  • Wanajeshi wa serikali wakomboa maeneo muhimu ya mji wa Sirte Libya

    Wanajeshi wa serikali wakomboa maeneo muhimu ya mji wa Sirte Libya

    Jun 10, 2016 02:53

    Vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo televisheni ya Russia Today vimeripoti habari ya kukombolewa kikamilifu fukwe za mji wa Sirte na maeneo mengine muhimu ya mji huo wa baada ya kundi la Daesh kuufanya mji huo kuwa ngome yake.

  • Iraq: Daesh inatega mabomu ndani ya nakala za Qur'ani

    Iraq: Daesh inatega mabomu ndani ya nakala za Qur'ani

    Jun 09, 2016 23:19

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh linatumia nakala za Qur'ani tukufu kutekeleza mashambulizi yake ya mabomu katika mji wa Fallujah nchini Iraq.

  • Makumi ya wapiganaji wa kitakfiri wa Daesh waangamizwa kaskazini mwa al-Ramadi, Iraq

    Makumi ya wapiganaji wa kitakfiri wa Daesh waangamizwa kaskazini mwa al-Ramadi, Iraq

    Jun 07, 2016 10:18

    Makumi ya wapiganaji wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wameangamizwa na jeshi la serikali katika mkoa wa al-Anbar nchini Iraq.

  • Libya yapinga uingiliaji kijeshi wa madola ya kigeni

    Libya yapinga uingiliaji kijeshi wa madola ya kigeni

    Jun 05, 2016 03:03

    Waziri Mkuu wa Libya amepinga uingiliaji wa kijeshi nchini humo ambao umekuwa ukipangwa na baadhi ya madola kwa kisingizio cha kupambana na magaidi wa ISIS nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS