Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Matukio ya Kisiasa na Kimedani Iraq

    Matukio ya Kisiasa na Kimedani Iraq

    Jun 02, 2016 02:25

    Waziri Mkuu wa Iraq Haidar al Abadi ambaye pia ni amiri jeshi mkuu nchini humo jana alitangaza kukamilika duru za kwanza na ya pili za kuukomboa mji wa Fallujah ambao unakaliwa kwa mabavu na kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).

  • Serikali ya Libya yakomboa eneo jengine muhimu la kiistratijia

    Serikali ya Libya yakomboa eneo jengine muhimu la kiistratijia

    May 31, 2016 03:19

    Vikosi maalumu vya kulinda taasisi za mafuta nchini Libya vimefanikiwa kulikomboa eneo moja la kiistratijia mashariki mwa mji wa bandari wa Sirte wa kaskazini mwa nchi hiyo, kutoka mikono mwa kundi la kigaidi la ISIS yaani Daesh.

  • Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhus jinai za Daesh huko Falluja, Iraq

    Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhus jinai za Daesh huko Falluja, Iraq

    May 30, 2016 23:48

    Msemaji wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa amesema jinai zinazotekelezwa na magaidi wa kundi la Daesh katika mji wa Falluja huko Iraq zinatia wasiwasi.

  • Opereseheni ya kukomboa mji wa Falluja inaendelea nchini Iraq

    Opereseheni ya kukomboa mji wa Falluja inaendelea nchini Iraq

    May 28, 2016 23:21

    Jeshi na vikosi vya wananchi vya Iraq wanaendelea na operesheni yao ya kuukomboa mji wa Falujja kutoka mikononi mwa genge la kigaidi la Daesh tangu siku sita zilizopita.

  • Rais Rouhani ataka waungaji mkono magaidi duniani watajwe

    Rais Rouhani ataka waungaji mkono magaidi duniani watajwe

    May 28, 2016 23:21

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa mwito wa kufanyika jitihada za pamoja za kupambana na ugaidi kote duniani huku akisisitiza kuwa wanaotoa uungaji mkono wa siri kwa magaidi wanapaswa kutajwa ili kusitisha misaada yao kwa magaidi hao.

  • Shule za msingi zaendelea kufungwa Uingereza kwa hofu ya ugaidi

    Shule za msingi zaendelea kufungwa Uingereza kwa hofu ya ugaidi

    May 28, 2016 11:32

    Shule za msingi zilifungwa kwa siku ya tatu mfululizo nchini Uingereza jana Ijumaa kwa hofu ya kutokea vitendo vya kigaidi.

  • Wanajeshi saba wa serikali ya Libya wauawa Sirte

    Wanajeshi saba wa serikali ya Libya wauawa Sirte

    May 28, 2016 03:24

    Wanajeshi saba wa serikali ya Libya wameuliwa katika mapigano na kundi la kitakfiri na Kizayuni la Daesh karibu na mji wa Sirte.

  • Tetesi za kuingia kwa mara nyingine NATO nchini Libya

    Tetesi za kuingia kwa mara nyingine NATO nchini Libya

    May 26, 2016 02:27

    Sambamba na kuongezeka matatizo ya kiusalama Libya, kuna taarifa kuwa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO linapanga kuingilia tena kijeshi katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Afrika Kusini yalaani mashambulizi ya kigaidi nchini Syria

    Afrika Kusini yalaani mashambulizi ya kigaidi nchini Syria

    May 25, 2016 09:10

    Serikali ya Afrika Kusini imelaani vikali mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea hivi karibuni nchini Syria.

  • Magaidi 2 wa ISIS wakamatwa magharibi mwa Iran wakielekea Tehran

    Magaidi 2 wa ISIS wakamatwa magharibi mwa Iran wakielekea Tehran

    May 22, 2016 23:06

    Vikosi vya usalama vya Iran vimewakamata magaidi wawili wa kundi la wakufurishaji wa ISIS au Daesh katika mkoa wa Hamadan magharibi mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS