Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Dk Velatyati

  • Velayati na Nouri al-Maliki wasisitiza kuungwa mkono Kambi ya Muqawama

    Velayati na Nouri al-Maliki wasisitiza kuungwa mkono Kambi ya Muqawama

    Aug 08, 2025 07:45

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa amefanya mazungumzo ya simu na Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq, Nouri al-Maliki ambapo pande hizo mbili zimejadili matukio ya kikanda na kusisitiza udharura wa kuungwa mkono Kambi ya Muqawama.

  • Velayati: Mapinduzi ya Kiislamu yamepiga hatua kubwa ndani ya miaka 40

    Velayati: Mapinduzi ya Kiislamu yamepiga hatua kubwa ndani ya miaka 40

    Feb 10, 2020 12:49

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, taifa hili limepata mafanikio mengi katika nyuga za kisiasa, kiuchumi na kijamii ndani ya miongo minne ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Dakta Velayati: Siasa za Uholanzi na Marekani kuhusu JCPOA zinatofautiana

    Dakta Velayati: Siasa za Uholanzi na Marekani kuhusu JCPOA zinatofautiana

    Oct 22, 2017 14:00

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema katika mazungumzo yake hapa mjini Tehran na ujumbe wa kibunge wa Uholanzi kwamba, siasa za Uholanzi na Marekani kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA zinatofautiana.

  • Velayati: Kundi la 5+1 liilazimishe Marekani itekeleze majukumu yake kuhusu JCPOA

    Velayati: Kundi la 5+1 liilazimishe Marekani itekeleze majukumu yake kuhusu JCPOA

    Oct 12, 2017 14:10

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Katika Masuala ya Kimataifa amesema kuwa Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) si makubaliano ya pande mbili ambayo Wamarekani wanaweza kuyafuta wao wenyewe.

  • Mshauri wa Kiongozi Muadhamu: Marekani itakufa nayo ndoto ya kukagua vituo vya kijeshi vya Iran

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu: Marekani itakufa nayo ndoto ya kukagua vituo vya kijeshi vya Iran

    Aug 29, 2017 14:57

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema: Marekani itakufa nayo ndoto yake ya kutamani iwe na uwezo wa kutumia kisingizio cha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA au kisingizio kingine chochote kile ili kukagua vituo vya kijeshi vya Iran.

  • Velayati: Waislamu wana nafasi muhimu katika ustaarabu wa mwanadamu

    Velayati: Waislamu wana nafasi muhimu katika ustaarabu wa mwanadamu

    Aug 24, 2017 02:37

    Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Azad nchini Iran amesema Waislamu wana nafasi muhimu katika ustaarabu wa mwanadamu na waliweka msingi katika sayansi nyingi zikiwemo za tiba, nujumu na fizikia.

  • Dakta Velayati: Harakati za kujitenga ni kwa maslahi ya maadui wa Uislamu

    Dakta Velayati: Harakati za kujitenga ni kwa maslahi ya maadui wa Uislamu

    Jul 11, 2017 03:08

    Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, harakati yoyote ile yenye lengo la kujitenga katika Mashariki ya Kati na katika ulimwengu ni kwa manufaa ya maadui wa Uislamu hususan Marekani na utawala haramu wa Israel.

  • Velayati: Mataifa ya eneo hili hayatasalimu amri mbele ya misimamo mikali

    Velayati: Mataifa ya eneo hili hayatasalimu amri mbele ya misimamo mikali

    Jul 04, 2017 03:45

    Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, mataifa ya eneo hili hayatasalimu amri mbele ya matakwa ya mirengo yenye misimamo mikali na waungaji mkono wao.

  • Velayati: Mpango wa ulinzi wa Iran hauna uhusiano wowote na Marekani

    Velayati: Mpango wa ulinzi wa Iran hauna uhusiano wowote na Marekani

    Mar 01, 2017 16:02

    Mkuu wa kituo cha utafiti wa kistratijia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Iran amesema: Mfumo wa makombora wa Iran ni wa kiulinzi na wa lengo la kuihami na kuilinda nchi.

  • Velayati: Marekani inafanya 'makeke hewa' dhidi ya Iran

    Velayati: Marekani inafanya 'makeke hewa' dhidi ya Iran

    Feb 03, 2017 07:46

    Mkuu wa kituo cha utafiti wa kistratijia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Iran amevielezea vitisho ilivyotoa Marekani kufuatia jaribio la kombora lililofanywa na Iran kuwa ni "makeke hewa".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS