Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Tabia ya Trump ya kuchana nyaraka za White House yaelezewa kuwa ni

    Tabia ya Trump ya kuchana nyaraka za White House yaelezewa kuwa ni "wendawazimu mkubwa zaidi"

    Jun 11, 2018 23:47

    Wafanyakazi wawili wenye uzoefu wa muda mrefu, waliofukuzwa kazi katika Ikulu ya rais wa Marekani White House wamefichua kuwa rais wa nchi hiyo Donald Trump ana tabia ya kuzichana hati na nyaraka za serikali ambazo zinapasa kuhifadhiwa.

  • Wito wa mshikamano wa nchi za Ulaya katika kukabiliana na Marekani

    Wito wa mshikamano wa nchi za Ulaya katika kukabiliana na Marekani

    Jun 11, 2018 23:10

    Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amebainisha masiktiko yake baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kukataa kuidhinisha taarifa ya mwisho ya kikao cha viongozi wa nchi tajiri kiviwanda G7 ambacho kilimalizika juzi huko Quebec, nchini Canada. Merkel amebainisha wazi kuwa nchi za Ulaya hazipaswi kuitegemea tena Marekani.

  • Fox News: Trump na kiongozi wa Korea Kaskazini ni madikteta

    Fox News: Trump na kiongozi wa Korea Kaskazini ni madikteta

    Jun 11, 2018 02:37

    Televisheni ya wahafidhina wa Marekani ya Fox News ambayo ina uhusiano wa karibu sana na serikali ya nchi hiyo imeibua gumzo na mijadala baada ya kusema kuwa Rais Donald Trump na kiongozi wa Korea Kaskazini ni madikteta.

  • Tahadhari kali ya Putin kuhusu athari mbaya za kujiondoa Marekani katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Tahadhari kali ya Putin kuhusu athari mbaya za kujiondoa Marekani katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Jun 11, 2018 02:27

    Rais Vladimir Putin wa Russia amekosoa vikali uamuzi wa Marekani wa kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA akisema unatishia usalama na amani ya Mashariki ya Kati.

  • Ufaransa yamkosoa Trump, yasema ni mtu mwenye migongano

    Ufaransa yamkosoa Trump, yasema ni mtu mwenye migongano

    Jun 10, 2018 22:47

    Ofisi ya Rais wa Ufaransa imetangaza kuwa mienendo ya Rais Donald Trump wa Marekani katika mkutano wa nchi saba zilizopiga hatua kiviwanda maarufu kama G7 si thabiti na inagonga na kukinzana.

  • Mgogoro G7 baada ya Trump kupinga taarifa ya mwisho na kumlaani waziri mkuu wa Canada

    Mgogoro G7 baada ya Trump kupinga taarifa ya mwisho na kumlaani waziri mkuu wa Canada

    Jun 09, 2018 23:10

    Rais Donald Trump wa Marekani amepinga taarifa ya mwisho ya mkutano wa nchi tajiri kiviwanda G7, huku akimlaani Waziri Mkuu wa Canada ambaye ni mwenyeji wa mkutano huo.

  • Futari ya kimaonyesho ya Trump yakabiliwa na maandamano

    Futari ya kimaonyesho ya Trump yakabiliwa na maandamano

    Jun 07, 2018 03:39

    Sambamba na kufanyika karamu ya futari iliyoiandaliwa na Rais Donald Trump wa Marekani, wanaharakati wa masuala ya kiraia wamefanya maandamano mbele ya Ikulu ya White House wakipinga siasa za chuki na ubaguzi za rais huyo dhidi ya Waislamu na wahajiri.

  • Jaji wa Marekani: Yumkini Trump akauzuliwa kutokana na kesi ya ufuska

    Jaji wa Marekani: Yumkini Trump akauzuliwa kutokana na kesi ya ufuska

    Jun 06, 2018 02:53

    Jaji mmoja nchini Marekani amesema huenda Rais Donald Trump akauzuliwa iwapo atapatikana na hatia katika kesi ya ufuska iliyowasilishwa na mwanamke mmoja ambaye anadai kudhalilishwa naye kingono.

  • Balozi wa Marekani Russia: Kuna njia ndefu kabla ya kukutana Trump na Rais Putin

    Balozi wa Marekani Russia: Kuna njia ndefu kabla ya kukutana Trump na Rais Putin

    Jun 04, 2018 02:01

    Balozi wa Marekani nchini Russia amesema kuwa kuna njia ndefu sana kabla ya Marais Vladmir Putin wa Russia na Donald Trump wa Marekani kuweza kukutana.

  • Mjumbe wa UN: Trump ni chanzo cha kutokuwepo usawa wa kiuchumi nchini Marekani

    Mjumbe wa UN: Trump ni chanzo cha kutokuwepo usawa wa kiuchumi nchini Marekani

    Jun 02, 2018 22:12

    Philip Alston, Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya umasikini amesema kuwa, siasa na hatua za Rais Donald Trump wa Marekani, zimesababisha kuongezeka dhulma ya kiuchumi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS