-
Korea Kaskazini: Safari ya Trump mashariki mwa Asia haina faida yoyote
Nov 09, 2017 11:22Serikali ya Korea Kaskazini imetoa radiamali kufuatia vitisho vipya vya Rais Donald Trump wa Marekani katika safari yake ya kutembelea eneo la mashariki mwa Asia.
-
Baraza la Senate la Marekani laweka vikwazo vikali vya benki dhidi ya Korea Kaskazini
Nov 08, 2017 04:20Kamati ya masuala ya benki ya baraza la Senate la Marekani, usiku wa kuamkia leo Jumatano imepasisha muswada wa kuiwekea Korea Kaskazini vikwazo vikali zaidi vya benki.
-
Wamarekani waandamana wakitaka kubanwa umiliki wa silaha baada ya mauaji ya Texas
Nov 07, 2017 04:48Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika mji wa Washington kushinikiza kuangaliwa upya suala la umiliki na ruhusa ya kubeba silaha nchini humo, kufuatia mauaji ya makumi ya watu katika shambulizi la ufyatuaji risasi katika jimbo la Texas.
-
Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Tabianchi waanza Ujerumani
Nov 06, 2017 23:13Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Tabianchi ulianza jana Jumatatu na utaendelea hadi tarehe 17 Novemba katika mji mwa Bonn nchini Ujerumani.
-
Maelfu ya wananchi wa Korea Kusini waandamana dhidi ya Trump
Nov 05, 2017 11:17Maelfu ya wananchi wa Korea Kusini wamefanya maandamano ya kukashifu kile wanachotaja kama chokochoko za Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ameanza safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za Asia, dhidi ya Korea Kaskazini.
-
White House: Vita vya Iraq lilikuwa kosa kubwa zaidi kufanywa kwenye sera za nje katika historia ya Marekani
Nov 05, 2017 04:36Ikulu ya Marekani White House imejibu mapigo kwa ukosoaji wa Bush baba na mwana, marais wa zamani wa nchi hiyo kwa rais wa sasa Donald Trump kwa kuzikosoa vikali sera za Marekani wakati wa uongozi wao na kueleza kwamba vita vya Iraq ni "kosa kubwa zaidi kufanywa kwenye sera za nje katika historia ya Marekani".
-
Akthari ya watu wa bara la Ulaya wanamchukia Trump
Nov 04, 2017 23:41Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa unaonyesha kuwa akthari ya watu katika nchi za Ulaya wanamchukia Rais wa Marekani Donald Trump.
-
Trump aanza safari yenye mashaka mengi barani Asia
Nov 04, 2017 04:21Rais Donald Trump wa Marekani ameanza safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za Asia baada ya kusimama kwa muda mfupi katika jimbo la Hawaii.
-
Rais Rouhani alikataa ombi la Trump la kufanya mazungumzo ya moja kwa moja
Nov 03, 2017 23:11Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alikataa katakata ombi la Rais Donald Trump wa Marekani la kufanya mazungumzo ya moja kwa moja, limeandika gazeti la Washington Post.
-
Wamarekani zaidi ya milioni moja waunga mkono mpango wa kuuzuliwa Trump
Nov 01, 2017 01:01Saini zaidi ya milioni moja zimekusanywa ndani ya siku kumi nchini Marekani katika kampeni ya kutaka kuondolewa madarakani Rais Donald Trump wa nchi hiyo.