Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Qassemi: Zama za kutumia vitisho vya kijeshi zimepita

    Qassemi: Zama za kutumia vitisho vya kijeshi zimepita

    Aug 14, 2017 04:22

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vitisho vya kutumia nguvu za jeshi vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Venezuela na kusisitiza kuwa uzoefu unaonesha kuwa, zama za kutumia vitisho vya kijeshi na mashinikizo dhidi ya nchi huru na zinazojitawala kwa ajili ya kuzilazimisha zikubali matakwa yasiyo ya kimantiki na haramu zimemalizika.

  • Araqchi: Hatua ya Kongresi ya Marekani ni mwendelezo wa uadui wa Washington dhidi ya Iran

    Araqchi: Hatua ya Kongresi ya Marekani ni mwendelezo wa uadui wa Washington dhidi ya Iran

    Jul 30, 2017 03:26

    Mkuu wa timu ya Iran ya kufuatilia utekelezwaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) amesema kuwa, hatua ya hivi karibuni ya Kongresi ya Marekani ya kupasisha vikwazo vipya dhidi ya Iran ni hatua ya kiuadui na chuki dhidi ya Tehran.

  • New York Times: Trump anafanya njama za kuionyesha Iran kuwa ndio iliyokiuka JCPOA

    New York Times: Trump anafanya njama za kuionyesha Iran kuwa ndio iliyokiuka JCPOA

    Jul 28, 2017 21:52

    Mchambuzi wa masuala ya kisiasa na mhariri wa gazeti la The New York Times amesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani, anafanya njama za kuionyesha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ndiyo iliyokiuka makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA.

  • Kuongezeka mpasuko ndani ya serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani

    Kuongezeka mpasuko ndani ya serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani

    Jul 23, 2017 06:44

    Katika hatua mpya inayodhihirisha mpasuko uliopo ndani ya serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani, Sean Spicer Msemaji wa Ikulu ya Rais wa nchi hiyo (White House) ametangaza kujiuzulu wadhifa wake.

  • Gazeti la The Guardian: Trump anaelekea kuisambaratisha Marekani

    Gazeti la The Guardian: Trump anaelekea kuisambaratisha Marekani

    Jul 21, 2017 03:39

    Gazeti la The Guardian linalochapishwa mjini London, Uingereza limeandika kuwa, hatua za Rais Donald Trump wa Marekani zinaisambaratisha nchi hiyo.

  • Trump kumaliza ushirikiano wa CIA na magaidi wa Syria

    Trump kumaliza ushirikiano wa CIA na magaidi wa Syria

    Jul 20, 2017 03:21

    Serikali ya rais wa Marekani, Donald Trump imeamua kumaliza miaka kadhaa ya ushirikiano wa Shirika la Kijasusi la Marekani CIA na magenge ya kigaidi nchini Syria ambayo Wamarekani wanadai ni wapinzani wenye misimamo ya wastani wanaopigana na serikali ya Rais Bashar al Assad. Shirika la Kijasusi la Marekani limekuwa likiyapa silaha na mafunzo ya kijeshi magenge hayo kwa miaka kadhaa sasa.

  • Wacanada waandamana kupinga ziara ya familia ya Trump katika mji wa Vancouver

    Wacanada waandamana kupinga ziara ya familia ya Trump katika mji wa Vancouver

    Jul 13, 2017 03:51

    Wakazi wa mji wa Vancouver, Canada wamefanya maandamano makubwa kupinga ziara ya familia ya Rais Donald Trump wa Marekani katika mji huo.

  • Trump akosolewa kwa mahudhurio dhaifu mkutano wa G20, Hamburg

    Trump akosolewa kwa mahudhurio dhaifu mkutano wa G20, Hamburg

    Jul 10, 2017 02:44

    Duru za Marekani zimekosoa mahudhurio dhaifu na mienendo ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo katika mkutano uliomalizika juzi wa viongozi wa nchi za G20 nchini Ujerumani.

  • Matokeo ya mazungumzo ya Trump na Putin mjini Hamburg Ujerumaini

    Matokeo ya mazungumzo ya Trump na Putin mjini Hamburg Ujerumaini

    Jul 09, 2017 03:30

    Baada ya kupita miezi mingi ya malalamiko ya Wamarekani kwa Russia wanaodai kuwa Moscow inaingilia masuala ya ndani ya nchi yao, hatimaye marais wawili wa nchi hizo mbili wamekutana pambizoni mwa kikao cha viongozi wa G20 mjini Hamburg, Ujerumani. Hayo yalikuwa ni mazungumzo ya kwanza ya marais hao wawili tangu Donald Trump atangazwe kuwa rais wa Marekani.

  • Trump: Ni lazima China ichukue hatua kali dhidi ya Korea Kaskazini

    Trump: Ni lazima China ichukue hatua kali dhidi ya Korea Kaskazini

    Jul 04, 2017 03:45

    Rais Donald Trump wa Marekani ameitaka Uchina kuchukua uamuzi mgumu kuhusiana na hatua ya Pyongyang ya kuvurumisha kombora jipya la balestiki mapema leo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS