-
Wanasheria wakuu wa majimbo ya Marekani waendelea kupinga agizo jipya la Trump dhidi ya Waislamu
Mar 11, 2017 23:29Mwanasheria Mkuu wa jimbo la Maryland amejiunga na wenzake wa majimbo ya Washington, Hawaii, New York, Oregan na Massachusetts kupinga agizo lililotolewa na Rais wa Marekani dhidi ya wahajiri wa Kiislamu.
-
Chuki zaongezeka Marekani baada ya kuchaguliwa Trump
Mar 10, 2017 04:09Wamarekani waliowengi wanaamini kuwa kiwango cha chuki kimeongezeka nchini humo baada ya kuchaguliwa Donald Trump kama rais.
-
Majimbo kadhaa Marekani yachukua hatua kuzuia marufuku mpya ya Trump dhidi ya Waislamu
Mar 10, 2017 00:42Amri mpya iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani ya kupiga marufuku raia wa nchi sita za Waislamu kuingia nchini humo imeendelea kupingwa kisheria na majimbo ya nchi hiyo baada ya Mwanasheria Mkuu wa jimbo la Washington kuungana na jimbo la Hawaii kuchukua hatua ya kuzuia utekelezaji wake.
-
Hawaii yaenda kotini kupinga sheria ya kibaguzi ya Trump
Mar 09, 2017 12:58Jimbo la Hawaii nchini Marekani limepeleka faili la kesi mahakamani kupinga sheria mpya ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo iliyo dhidi ya Waislamu.
-
UNHCR yaonyesha wasiwasi kuhusu sheria mpya za Marekani
Mar 08, 2017 12:37Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR Filippo Grandi ameeleza wasiwasi wake juu ya dikrii ya rais Donald Trump wa Marekani kuhusu raia wa nchi sita za Kiislamu.
-
Sheria mpya ya Trump dhidi ya Waislamu yalaaniwa kote duniani
Mar 07, 2017 03:44Sheria mpya ya kibaguzi ya Donald Trump, Rais wa Marekani, inakabiliwa na wimbi la lalama na ukosoaji kutoka kila upande, ndani na nje ya nchi.
-
Trump asema Obama anaongoza maandamano, uvujaji siri
Feb 28, 2017 12:42Rais Donald Trump wa Marekani amesema mtangulizi wake, Barack Obama, ndiye binafsi anayesimamia uvujishaji wa sira za serikali na maandamano dhidi yake yanayoendelea kote katika nchi hiyo.
-
Trump: Marekani inapaswa kuwa mbele katika uwanja wa silaha za nyuklia
Feb 24, 2017 01:21Rais Donald Trump wa Marekani ametoa matamshi yanayogongana akitoa wito wa kuzuiwa uenezaji wa silaha za nyuklia na wakati huo huo akisisitiza kuwa, Washington daima inapaswa kuwa na maghala makubwa zaidi ya silaha za nyuklia kuliko nchi nyingine zote duniani.
-
Democrats: Tutaanzisha mchakato wa kumg'oa madarakani Trump
Feb 23, 2017 11:00Wabunge na wanasiasa wa chama cha Democrat nchini Marekani wanasema mienendo ya Rais wa nchi hiyo Donald Trump katika muda wa wiki tatu zilizopita imeibua uwezekano kuanzishwa mchakato wa kumng'oa mamlakani rais huyo.
-
Afisa mwandamizi wa Marekani atimuliwa kwa kumkosoa Trump
Feb 21, 2017 03:57Craig Deare, afisa mwandamizi katika serikali ya Marekani ametimuliwa kwa kukosoa sera za Rais Donald Trump wa nchi hiyo.