Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Trump kuweka marufuku ya muda kwa wahajiri wa Kiirani na nchi nyingine sita

    Trump kuweka marufuku ya muda kwa wahajiri wa Kiirani na nchi nyingine sita

    Jan 25, 2017 04:01

    Duru za kuaminika zimeripoti kuwa Rais Donald Trump wa Marekani atasaini dikrii ya kupiga marufuku kwa muda kuingia nchini humo wahajiri kutoka Iran na nchi nyingine sita.

  • Glenn: Huenda Israel itafanya njama za kuuawa Trump wa US

    Glenn: Huenda Israel itafanya njama za kuuawa Trump wa US

    Jan 24, 2017 04:45

    Mark Glenn, mchambuzi mashuhuri wa kisiasa nchini Marekani amesema yumkini serikali ya Washington ikapanga njama za kuuawa Rais mpya wa Marekani Donald Trump, iwapo hatasimamia maslahi ya Wazayuni.

  • Steinmeier: Kuingia Trump White House ni sawa na kufikia tamati 'Nidhamu ya Dunia'

    Steinmeier: Kuingia Trump White House ni sawa na kufikia tamati 'Nidhamu ya Dunia'

    Jan 23, 2017 05:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema, kwa kuingia Donald Trump katika Ikulu ya Marekani, White House nidhamu ya dunia ya karne ya 20 "imemalizika moja kwa moja" na hali ya mchafukoge ndiyo inayofuatia.

  • Mpambano wa mapema baina ya Trump na vyombo vya habari

    Mpambano wa mapema baina ya Trump na vyombo vya habari

    Jan 23, 2017 04:41

    Rais mpya wa Marekani na timu yake wameanza vita na mpambano na vyombo vya habari katika siku hizi za mwanzoni kabisa mwa kushika hatamu za uongozi wa nchi hiyo.

  • 11 wauawa Nigeria kwa kushiriki maandamano ya kumuunga mkono Trump

    11 wauawa Nigeria kwa kushiriki maandamano ya kumuunga mkono Trump

    Jan 21, 2017 04:33

    Wanachama 11 wa harakati ya Biafra nchini Nigeria wanaripotiwa kuuawa na maafisa usalama katika maandamano yaliyofanyika kusini mashariki mwa nchi.

  • Wamarekani waandamana kumpinga Trump siku ya kuapishwa kwake

    Wamarekani waandamana kumpinga Trump siku ya kuapishwa kwake

    Jan 20, 2017 03:58

    Maelfu ya watu wameadamana katika miji ya New York na Washington nchini Marekani kumpinga Donald Trump ambaye leo anaapishwa kuwa rais wa Marekani.

  • Ulaya: Trump weka wazi siasa zako za masuala ya kigeni

    Ulaya: Trump weka wazi siasa zako za masuala ya kigeni

    Jan 20, 2017 03:15

    Waziri wa Ulinzi wa Ujerumini, Ursula Gertrud von der Leyen amemtaka Donald Trump, rais mteule wa Marekani aweke wazi siasa zake za mambo ya kigeni hasa baada ya kujitokeza matamshi ya kugongana baina ya viongozi wa serikali ijayo ya Marekani kuhusu Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi, NATO.

  • Iran: Iwapo Trump ataachana na JCPOA atashangazwa mwenyewe

    Iran: Iwapo Trump ataachana na JCPOA atashangazwa mwenyewe

    Jan 18, 2017 13:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, iwapo rais mteule wa Marekani ataamua kuachana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, hatua hiyo itamduwaza na kumuweka kinywa wazi yeye mwenyewe.

  • Serikali ya Russia yaafikiana na Trump kuhusu NATO

    Serikali ya Russia yaafikiana na Trump kuhusu NATO

    Jan 16, 2017 23:33

    Ikulu ya Russia (Kremlin) imetangaza kuwa serikali ya nchi hiyo inaafiki mtazamo wa Rais Mteule wa Marekani Donald Trump kwamba Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) umepitwa na wakati.

  • Trump: Marekani ilifanya makosa kuzivamia nchi za Iraq na Afghanistan

    Trump: Marekani ilifanya makosa kuzivamia nchi za Iraq na Afghanistan

    Jan 16, 2017 03:03

    Rais mteule wa Marekani amesema kuwa nchi hiyo ilifanya makosa kuzivamia nchi za Iraq na Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS