Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • HRW: Donald Trump ni tishio kwa haki za binadamu

    HRW: Donald Trump ni tishio kwa haki za binadamu

    Jan 13, 2017 04:40

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuchaguliwa Donald Trump kuwa Rais wa Marekani ni tishio lisilo na mfano kwa haki za binadamu.

  • Matamshi ya Ujuba ya Waziri Mambo ya Nje wa Trump kuhusu Iran na  JCPOA

    Matamshi ya Ujuba ya Waziri Mambo ya Nje wa Trump kuhusu Iran na JCPOA

    Jan 12, 2017 01:23

    Rex Tillerson ambaye ni chaguo la Donald Trump rais mteule wa Marekani kuchukua Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo amesema iwapo ataidhinishwa kuchukua wadhifa huo, basi atapendekeza kuangaliwa upya mapatano ya nyuklia ya Iran.

  • Askari wastaafu wamtahadharisha Trump kuhusu mateso na unyanyasaji

    Askari wastaafu wamtahadharisha Trump kuhusu mateso na unyanyasaji

    Jan 12, 2017 00:17

    Maafisa waliostaafu wa jeshi la Marekani wamemtaka rais mteule wa nchi hiyo azuie kurejeshwa sheria ya kuwatesa wadhaniwa wa mashambulizi ya kigaidi.

  • Kuendelea mjadala wa kisiasa nchini Marekani kuhusiana na Russia

    Kuendelea mjadala wa kisiasa nchini Marekani kuhusiana na Russia

    Jan 05, 2017 09:36

    Suala la kuwepo uwezekano wa kuhusika Russia katika udukuzi wa matokeo ya uchaguzi wa rais uliomalizika hivi karibuni nchini Marekani umeibua mjadapa mkubwa wa kisiasa nchini humo.

  • Trump amuonya Obama dhidi ya kuwahamisha wafungwa wa Gitmo

    Trump amuonya Obama dhidi ya kuwahamisha wafungwa wa Gitmo

    Jan 04, 2017 03:55

    Rais mteule wa Marekani Donald Trump amemuonya rais anayeondoka wa nchi hiyo Barack Obama juu ya kuwahamisha wafungwa wa jela ya Guantanamo iliyoko nchini Cuba.

  • Gallup: Wamarekani wanashuku uwezo wa Trump wa kutekeleza majukumu yake

    Gallup: Wamarekani wanashuku uwezo wa Trump wa kutekeleza majukumu yake

    Jan 03, 2017 01:13

    Wamarekani waliowengi wana shaka kuhusu uwezo wa rais mteule wa nchi hiyo wa kutekeleza majukumu yake.

  • Trump amshukuru Putin kwa kutowafukuza wanadiplomasia wa Marekani

    Trump amshukuru Putin kwa kutowafukuza wanadiplomasia wa Marekani

    Dec 31, 2016 03:32

    Donald Trump, Rais mteule wa Marekani jana Ijumaa kupitia ujumbe wa Twitter alimshukuru Rais Vladimir Putin wa Russia kwa kutolipiza kisasi kitendo cha kufukuzwa wanadiplomasia wa nchini hiyo huko Marekani ambacho kilichukuliwa na serikali ya Washington siku ya Alkhamisi, na kusema kuwa daima amekuwa akimtambua Putin kuwa ni kiongozi anayetumia busara.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia na kisingizio cha kuhujumu uchaguzi wa rais wa nchi hiyo

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia na kisingizio cha kuhujumu uchaguzi wa rais wa nchi hiyo

    Dec 30, 2016 11:52

    Serikali ya Marekani imewafukuza wanadiplomasia 35 wa Russia na kuzidisha vikwazo dhidi ya nchi hiyo kwa kisingizio kwamba Moscow iliingilia zoezi la uchaguzi wa rais wa Marekani.

  • Kushadidi vita vya maneno baina ya Donald Trump na Rais Obama

    Kushadidi vita vya maneno baina ya Donald Trump na Rais Obama

    Dec 29, 2016 07:33

    Sambamba na kukaribia siku ya kuapishwa rais mpya wa Marekani yaani tarehe 20 ya mwezi ujao wa Januari kumeshadidi vita vya maneno baina ya Donald Trump Rais mteule wa Marekani na Barack Obama rais wa nchi hiyo anayemaliza muda wake wa uongozi.

  • Wamarekani waandamana dhidi ya msimamo wa Trump kuhusu silaha za nyuklia

    Wamarekani waandamana dhidi ya msimamo wa Trump kuhusu silaha za nyuklia

    Dec 27, 2016 11:13

    Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika mji wa New York wakikosoa wito uliotolewa hivi karibuni na Rais mteule wa nchi hiyo, Donald Trump wa kutaka kuimarishwa uwezo wa silaha za nyuklia wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS