-
Barua ya wazi ya viongozi wa Kiislamu nchini Marekani kwa Donald Trump
Dec 07, 2016 04:09Zaidi ya Waislamu 300 wa Marekani wameonyesha radiamali yao kwa matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu ya Rais mteule wa nchi hiyo Donald Trump.
-
Viongozi wa Waislamu Marekani wamwandikia barua ya wazi Trump
Dec 06, 2016 12:13Shakhsia wapatao 300 wa Kiislamu nchini Marekani wamemwandikia barua ya wazi Rais mteule wa nchi hiyo Donald Trump likiwa ni jibu kwa matamshi ya chuki aliyotoa dhidi ya Uislamu.
-
Trump akengeuka sera ya Marekani kwa kufanya mazungumzo na Rais wa Taiwan
Dec 03, 2016 04:19Rais mteule wa Marekani Donald Trump amekengeuka sera ambayo nchi hiyo imekuwa ikifuata kwa miaka 37 sasa kwa kuzungumza kwa njia ya simu na Rais wa Taiwan.
-
Wamarekani milioni 4.7 wawataka wajumbe wa majimbo watengue kura walizompa Trump
Dec 03, 2016 00:54Wamarekani wapatao milioni nne na laki saba wamesaini kupitia mtandao wa intaneti ujumbe wa ombi kwa wajumbe wa majimbo (Electoral College) la kuwataka watengue kura walizompigia rais mteule wa nchi hiyo Donald Trump na kumuunga mkono mgombea aliyeshindwa wa chama cha Democrat, Hillary Clinton.
-
Trump ateua 'Jibwa Kichaa' kuwa Waziri wa Ulinzi Marekani
Dec 02, 2016 04:34Rais mteule wa Marekani Donald Trump amemteua aliyekuwa Kamanda mwandamizi wa jeshi la Marekani Jenerali James Mattis kuwa Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo.
-
Kuongeza hujuma na jinai mbalimbali Marekani baada ya ushindi wa Trump
Nov 30, 2016 01:00Kundi moja la Kutetea Haki za Kiraia nchini Marekani limesema katika ripoti yake kuwa, hujuma na jinai mbalimbali ziliongezeka nchini humo humo siku kumi baada ya Donald Trump kutangazwa mshindi wa kiti cha urais.
-
Trump: Mshindi wa uchaguzi kwa kura za wananchi ni mimi
Nov 28, 2016 04:18Rais mteule wa Marekani Donald Trump amesema matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais wa nchi hiyo yamejumuisha pia kura zisizo halali na kwamba zikiwekwa kando kura hizo yeye ndiye mshindi wa uchaguzi huo.
-
Wanachuo China: Trump ataka kudhibiti siasa za eneo la bahari ya China Kusini
Nov 26, 2016 04:24Wanachuo nchini China wamefanya maandamano kuonyesha hasira zao za kukosoa ushindi wa Donald Trump, rais mteule wa Marekeni na kudai kwamba ushindi wa mfanyabiashara huyo una maana ya kudhibitiwa eneo la bahari ya China Kusini.
-
Hizbullah yasema Trump ni mtu mwenye chuki na ubaguzi
Nov 23, 2016 04:35Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuchaguliwa mwanasiasa mwenye chuki na ubaguzi nchini Marekani kwa upande mmoja; na maandamano ya nchi nzima ya kulalamikia ushindi wa bilionea huyo kwa upande mwingine, ni dhihirisho kuwa nchi hiyo iko katika mgogoro mkubwa.
-
Putin amuunga mkono Trump kuhusiana na ustawi wa biashara
Nov 21, 2016 03:49Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza kuwa Donald Trump, rais mteule wa Marekani hatavuruga masuala yanayohusiana na ustawishaji wa biashara katika eneo la Bahari ya Pacific.