Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Trump: Rais Biden ni mraibu wa mihadarati ya cocaine

    Trump: Rais Biden ni mraibu wa mihadarati ya cocaine

    Jul 07, 2023 03:09

    Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump amedai kuwa Rais Joe Biden wa nchi hiyo ni mtumiaji wa mihadarati aina ya cocaine, na kwamba vyombo vya habari vya nchi hiyo vinajaribu kufifiliza kashfa ya kupatikana dawa hiyo ya kulevya ndani ya Ikulu ya White House.

  • Uchunguzi wa maoni: Wapiga kura wa Marekani wana wasiwasi kuhusu maandalizi ya kiakili ya Biden na Trump

    Uchunguzi wa maoni: Wapiga kura wa Marekani wana wasiwasi kuhusu maandalizi ya kiakili ya Biden na Trump

    May 24, 2023 10:46

    Kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni kuhusu uchaguzi uliofanyika karibuni nchini Marekani; wananchi wa nchi hiyo wanasema wana wasiwasi kuhusu kuwa tayari kiakili Rais wa sasa wa nchi hiyo Joe Biden na mtangulizi wake Donald Trump.

  • Trump ahukumiwa kulipa fidia ya dola milioni tano katika kesi ya unyanyasaji wa kingono

    Trump ahukumiwa kulipa fidia ya dola milioni tano katika kesi ya unyanyasaji wa kingono

    May 10, 2023 06:03

    Baraza la Wazee la Mahakama ya Serikali Kuu katika jimbo la New York nchini Marekani imempata na hatia rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump katika kesi ya unyanyasaji wa kingono na kumchafulia mtu jina na kumhukumu kulipa fidia ya zaidi ya dola milioni tano.

  • Kuchapishwa ripoti rasmi ya serikali ya Biden kuhusu kuondoka Afghanistan

    Kuchapishwa ripoti rasmi ya serikali ya Biden kuhusu kuondoka Afghanistan

    Apr 09, 2023 02:14

    Ikulu ya Rais wa Marekani (White House) Alhamisi iliyopita iliwasilisha ripoti yake rasmi kuhusu namna serikali ya Biden ilivyoondoka kwa madhila na fedheha huko Afghanistan. Ndani ya ripoti hiyo, serikali ya Trump imetajwa mara kwa mara kuwa ndio inayopaswa kulaumiwa kwa jinsi Marekani ilivyondoka huko Afghanistan katika hali ya mivutano.

  • Bolton: Trump ni saratani ya Chama cha Republican

    Bolton: Trump ni saratani ya Chama cha Republican

    Apr 03, 2023 09:51

    Mshauri wa zamani wa Usalama wa Taifa wa Ikulu ya White House amemtaja Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani, kuwa ni saratani ya Chama cha Republican.

  • Vyombo vya usalama vya Marekani vyajitayarisha kumkamata rais wa zamani wa nchi hiyo, Trump

    Vyombo vya usalama vya Marekani vyajitayarisha kumkamata rais wa zamani wa nchi hiyo, Trump

    Mar 19, 2023 05:52

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa askari usalama wa Marekani wanajitayarisha kwa ajili ya kumkamata rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump kuhusiana na faili la uhalifu lililofikishwa mahakamani.

  • Trump: Marekani ni tishio kuu kwa utamaduni wa Magharibi

    Trump: Marekani ni tishio kuu kwa utamaduni wa Magharibi

    Mar 18, 2023 14:17

    Rais wa zamani wa Marekani amesema kuwa Russia si tishio kubwa kwa Marekani bali baadhi ya raia wa nchi hiyo ndio tishio kwa Marekani na utamaduni wa Magharibi.

  • Muelekeo wa kiundumakuwili na wenye mgongano wa Marekani kuhusiana na JCPOA

    Muelekeo wa kiundumakuwili na wenye mgongano wa Marekani kuhusiana na JCPOA

    Jan 11, 2023 09:18

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Marekani Ned Price amesema, hatua ya upande mmoja iliyochukuliwa na serikali ya rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni kosa kubwa zaidi la kistratejia lililofanywa katika miaka ya karibuni kwa upande wa sera za nje za Washington.

  • Wabunge wa Marekani wataka Trump ashitakiwe kwa uchochezi

    Wabunge wa Marekani wataka Trump ashitakiwe kwa uchochezi

    Dec 20, 2022 03:26

    Wabunge wa Marekani wanaochunguza shambulio dhidi ya jengo la Congress lililosababisha mauaji na uharibifu mkubwa wamependekeza rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump afunguliwe mashitaka ya uchochezi.

  • Trump aibua tuhuma nzito: Wizara ya Sheria ya Marekani ni fisadi

    Trump aibua tuhuma nzito: Wizara ya Sheria ya Marekani ni fisadi

    Nov 28, 2022 11:22

    Rais wa zamani wa Marekani ameishutumu Wizara ya Sheria ya nchi hiyo kwa ufisadi na kwa kumhusisha yeye na mashtaka yasiyo ya haki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS