-
Trump: Rais Biden ni mraibu wa mihadarati ya cocaine
Jul 07, 2023 03:09Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump amedai kuwa Rais Joe Biden wa nchi hiyo ni mtumiaji wa mihadarati aina ya cocaine, na kwamba vyombo vya habari vya nchi hiyo vinajaribu kufifiliza kashfa ya kupatikana dawa hiyo ya kulevya ndani ya Ikulu ya White House.
-
Uchunguzi wa maoni: Wapiga kura wa Marekani wana wasiwasi kuhusu maandalizi ya kiakili ya Biden na Trump
May 24, 2023 10:46Kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni kuhusu uchaguzi uliofanyika karibuni nchini Marekani; wananchi wa nchi hiyo wanasema wana wasiwasi kuhusu kuwa tayari kiakili Rais wa sasa wa nchi hiyo Joe Biden na mtangulizi wake Donald Trump.
-
Trump ahukumiwa kulipa fidia ya dola milioni tano katika kesi ya unyanyasaji wa kingono
May 10, 2023 06:03Baraza la Wazee la Mahakama ya Serikali Kuu katika jimbo la New York nchini Marekani imempata na hatia rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump katika kesi ya unyanyasaji wa kingono na kumchafulia mtu jina na kumhukumu kulipa fidia ya zaidi ya dola milioni tano.
-
Kuchapishwa ripoti rasmi ya serikali ya Biden kuhusu kuondoka Afghanistan
Apr 09, 2023 02:14Ikulu ya Rais wa Marekani (White House) Alhamisi iliyopita iliwasilisha ripoti yake rasmi kuhusu namna serikali ya Biden ilivyoondoka kwa madhila na fedheha huko Afghanistan. Ndani ya ripoti hiyo, serikali ya Trump imetajwa mara kwa mara kuwa ndio inayopaswa kulaumiwa kwa jinsi Marekani ilivyondoka huko Afghanistan katika hali ya mivutano.
-
Bolton: Trump ni saratani ya Chama cha Republican
Apr 03, 2023 09:51Mshauri wa zamani wa Usalama wa Taifa wa Ikulu ya White House amemtaja Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani, kuwa ni saratani ya Chama cha Republican.
-
Vyombo vya usalama vya Marekani vyajitayarisha kumkamata rais wa zamani wa nchi hiyo, Trump
Mar 19, 2023 05:52Vyombo vya habari vimeripoti kuwa askari usalama wa Marekani wanajitayarisha kwa ajili ya kumkamata rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump kuhusiana na faili la uhalifu lililofikishwa mahakamani.
-
Trump: Marekani ni tishio kuu kwa utamaduni wa Magharibi
Mar 18, 2023 14:17Rais wa zamani wa Marekani amesema kuwa Russia si tishio kubwa kwa Marekani bali baadhi ya raia wa nchi hiyo ndio tishio kwa Marekani na utamaduni wa Magharibi.
-
Muelekeo wa kiundumakuwili na wenye mgongano wa Marekani kuhusiana na JCPOA
Jan 11, 2023 09:18Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Marekani Ned Price amesema, hatua ya upande mmoja iliyochukuliwa na serikali ya rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni kosa kubwa zaidi la kistratejia lililofanywa katika miaka ya karibuni kwa upande wa sera za nje za Washington.
-
Wabunge wa Marekani wataka Trump ashitakiwe kwa uchochezi
Dec 20, 2022 03:26Wabunge wa Marekani wanaochunguza shambulio dhidi ya jengo la Congress lililosababisha mauaji na uharibifu mkubwa wamependekeza rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump afunguliwe mashitaka ya uchochezi.
-
Trump aibua tuhuma nzito: Wizara ya Sheria ya Marekani ni fisadi
Nov 28, 2022 11:22Rais wa zamani wa Marekani ameishutumu Wizara ya Sheria ya nchi hiyo kwa ufisadi na kwa kumhusisha yeye na mashtaka yasiyo ya haki.