Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Nyaraka nyeti zinazohusiana na Iran zimekutwa kwenye makazi ya Trump Florida

    Nyaraka nyeti zinazohusiana na Iran zimekutwa kwenye makazi ya Trump Florida

    Oct 22, 2022 12:19

    Gazeti la Washington Post limeripoti kuwa nyaraka nyeti zinazohusiana na Iran zimekutwa nyumbani kwa rais wa zamani wa Marekani Donald Trump.

  • Kitabu kipya chafichua hofu ya Trump ya kulipiziwa kisasi na Iran kwa mauaji ya Kamanda Soleimani

    Kitabu kipya chafichua hofu ya Trump ya kulipiziwa kisasi na Iran kwa mauaji ya Kamanda Soleimani

    Sep 14, 2022 12:06

    Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, aliwaambia rafiki zake kabla ya kumalizika muhula wake wa urais kuwa, alikuwa akihofia kwamba Iran ingejaribu kumuuwa ili kulipiza kisasi mauaji ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduuzi ya Kiislamu (Sepah). Hayo ni kwa mujibu wa kitabu kipya.

  • Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Sep 12, 2022 08:21

    Jumapili ya jana tarehe 11 Septemba ilisadifiana na kutimia miaka 21 tangu kutokea mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11 ambapo hadi sasa Marekani ingali imeshughulishwa na matokeo ya tukio hili lenye kuainisha hatima.

  • FBI katika hali ya tahadhari baada ya kuvamia nyumba ya Trump

    FBI katika hali ya tahadhari baada ya kuvamia nyumba ya Trump

    Sep 10, 2022 08:13

    Maafisa wa usalama wa Marekani wamewekwa katika hali ya tahadhari baada ya Polisi ya Upelelezi ya Shirikisho la Marekani (FBI) kuvamia makazi ya rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump.

  • Trump: Kuondoka Afghanistan lilikuwa tukio la udhalilishwaji mkubwa zaidi katika historia ya Marekani

    Trump: Kuondoka Afghanistan lilikuwa tukio la udhalilishwaji mkubwa zaidi katika historia ya Marekani

    Aug 17, 2022 02:37

    Aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump amesema, kuondoka majeshi ya nchi hiyo Afghanistan ilikuwa hatua ya pupa na ya udhalilishwaji.

  • Trump: Marekani imekuwa taifa ombamba

    Trump: Marekani imekuwa taifa ombamba

    Jul 28, 2022 02:23

    Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amesema nchi hiyo imegeuka na kuwa 'taifa ombaomba' na kwamba hivi sasa nchi hiyo inakumbwa na wimbi la udhalilishaji wa kihistoria.

  • Warepublican wanaogopa mno Trump kugombea urais 2024 nchini Marekani

    Warepublican wanaogopa mno Trump kugombea urais 2024 nchini Marekani

    Jul 26, 2022 02:23

    Ripoti mbalimbali zinaonesha kuwa, viongozi waandamizi wa chama cha Republican cha nchini Marekani wana wasiwasi mkubwa wa kugombea urais Donald Trump mwaka 2024 kutokana na kashfa nzito zinazomkabili.

  • New York Post: Trump hafai tena kuwa rais wa Marekani

    New York Post: Trump hafai tena kuwa rais wa Marekani

    Jul 24, 2022 11:07

    Gazeti la Marekani la New York Times limesema katika ripoti kwamba Donald Trump hana sababu yoyote ya msingi ya kujitetea kuhusu uzembe aliofanya kwa makusudii na hivyo kushindwa kuzuia vurugu zilizofanywa na magenge ya uhalifu katika fujo za Januari 6, 2021.

  • Kamati ya Bunge: Tuna ushahidi wa kumtia hatiani Trump

    Kamati ya Bunge: Tuna ushahidi wa kumtia hatiani Trump

    Jun 13, 2022 11:18

    Wanachama wa Kamati ya Bunge la Marekani inayochunguza shambulio dhidi ya jengo la Kongresi tarehe 6 Januari mwaka jana, wamesema wana ushahidi wa kutosha wa kumtia hatiani aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Donald Trump.

  • Newsweek: Trump yumkini akafungwa jela miaka mitano

    Newsweek: Trump yumkini akafungwa jela miaka mitano

    Feb 21, 2022 01:13

    Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, huenda akafungwa jela miaka mitano kwa madai kwamba alichukua nyaraka za siri za Ikulu ya Rais wa Marekani kuhusiana na usalama wa taifa alipoondoka madarakani mwaka jana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS