Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Kupasishwa na Seneti ya Marekani uamuzi wa kuiuzia silaha za kisasa Imarati

    Kupasishwa na Seneti ya Marekani uamuzi wa kuiuzia silaha za kisasa Imarati

    Dec 11, 2020 02:56

    Marekani daima imekuwa ikitumia porojo kulioonesha eneo la Asia Magharibi kwamba, linakabiliwa na ukosefu wa amani na kueneza chuki dhidi ya Iran sambamba na kuionyesa mbele ya macho ya mataifa ya eneo hili kwamba, ni tishio ili kwa njia hiyo ijiandalie uwanja wa kuziuzia silaha nchi za Ukanda wa kusini mwa Ghuba ya Uajemi.

  • Rais Rouhani: Trump anaondoka na ndoto zake za kufikisha mauzo ya mafuta ya Iran kiwango cha sifuri

    Rais Rouhani: Trump anaondoka na ndoto zake za kufikisha mauzo ya mafuta ya Iran kiwango cha sifuri

    Dec 06, 2020 11:54

    Rais Hassan Rouhani ameashiria vizingiti mbalimbali vya vita vya kiuchumi vya Marekani dhidi ya mauzo ya mafuta na bidhaa za petrokemikali za Iran na kusema kuwa, Rais Donald Trump ameshindwa kutekeleza tumaini lake la kutaka mauzo ya mafuta ya Iran yafikie kiwango cha sifuri na sasa ataondoka madarakani pamoja na tarajio lake hilo.

  • Malengo ya madai na harakati dhidi ya Iran za pande tatu za Trump, Netanyahu na bin Salman

    Malengo ya madai na harakati dhidi ya Iran za pande tatu za Trump, Netanyahu na bin Salman

    Nov 29, 2020 01:30

    Baada ya kubainika kushindwa Donald Trump katika uchaguzi wa rais nchini Marekani, kumejiri harakati na kutolewa matamshi mbalimbali; na baadhi ya vyombo vya habari vimetangaza juu ya uwezekano wa Marekani na Israel kuishambulia kijeshi Iran.

  • Trump athibitisha kuhusika Mossad katika mauaji ya shahidi Fakhrizadeh

    Trump athibitisha kuhusika Mossad katika mauaji ya shahidi Fakhrizadeh

    Nov 28, 2020 07:46

    Hatua ya rais wa Marekani ya kuusambaza ujumbe ulioandikwa na mwandishi mmoja wa habari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel imethibitisha kwa njia isiyo ya moja kwa moja kuhusika utawala huo katika mauaji ya mwanasayansi wa nyuklia wa Iran.

  • Rais Rouhani: Serikali ijayo ya Marekani ifidie makosa yaliyotangulia

    Rais Rouhani: Serikali ijayo ya Marekani ifidie makosa yaliyotangulia

    Nov 25, 2020 12:19

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria ushindi wa wananchi wa Iran na kushindwa adui katika vita vyake vya kiuchumi dhidi ya taifa hili na kueleza kwamba, serikali ijayo ya Marekani inapaswa kulaani waziwazi sera na hatua zisizo za kibinadamu na kigaidi za Donald Trump na ifidie siasa hizo zisizo sahihi.

  • Hatimaye Trump amekubali kumkabidhi madaraka Joe Biden

    Hatimaye Trump amekubali kumkabidhi madaraka Joe Biden

    Nov 24, 2020 07:16

    Baada ya kukataa kwa muda mrefu, hatimaye rais wa Marekani, Donald Trump amekubali kukabidhi madaraka kwa rais mteule wa nchi hiyo Joe Biden, suala ambalo linahesabiwa ni kukiri kushindwa Trump katika uchaguzi wa rais wa Novemba 3, 2020.

  • Sharti la kumfanya Trump akubali kuwa ameshindwa katika uchaguzi lawekwa hadharani

    Sharti la kumfanya Trump akubali kuwa ameshindwa katika uchaguzi lawekwa hadharani

    Nov 22, 2020 04:12

    Mjumbe wa jopo la washauri wa rais wa Marekani ametangaza kuwa, Donald Trump atakubali ameshindwa katika uchaguzi wa rais endapo matokeo ya uchaguzi huo yataidhinishwa na Mahakama Kuu ya Serikali Kuu ya nchi hiyo.

  • Juhudi za Trump za kutaka kubadilisha matokeo ya uchaguzi wa Marekani

    Juhudi za Trump za kutaka kubadilisha matokeo ya uchaguzi wa Marekani

    Nov 22, 2020 02:42

    Hata baada ya kupita wiki mbili tokea ufanyike uchaguzi mkuu wa rais wa Marekani na matokeo yake kutangazwa, lakini bado Rais Donald Trump wa nchi hiyo anafanya juhudi kubwa za kubadilisha matokeo hayo.

  • Kuongezeka nguvu ya kiulinzi ya Iran katika kivuli cha mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani

    Kuongezeka nguvu ya kiulinzi ya Iran katika kivuli cha mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani

    Nov 21, 2020 10:36

    Siasa imara na za busara za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mkabala na Marekani zimepelekea siasa laini na ngumu za Washington kukabiliwa na changamoto kubwa.

  • Trump amfuta kazi afisa wa ngazi za juu aliyesema uchaguzi haukua na doa

    Trump amfuta kazi afisa wa ngazi za juu aliyesema uchaguzi haukua na doa

    Nov 18, 2020 10:33

    Rais Donald Trump aliyebwagwa katika uchaguzi wa rais wa Marekani uliofanyika mapema mwezi huu amempiga kalamu nyekundu Mkurugenzi wa Wakala wa Usalama wa Mitandao na Miundomsingi wa nchi hiyo, kwa kutoa kauli iliyomghadhabisha kiongozi huyo kuhusu uchaguzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS