Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Hitilafu katika kambi ya Warepublican kuhusu kuondolewa askari wa Marekani Asia Magharibi

    Hitilafu katika kambi ya Warepublican kuhusu kuondolewa askari wa Marekani Asia Magharibi

    Nov 18, 2020 02:23

    Uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuondolewa askari wa nchi hiyo katika eneo la Asia Magharibi hususan Afghanistan na Iraq ambao unatarajiwa kutangazwa katika siku za usoni na iliyokuwa moja ya ahadi muhimu za Trump umekabiliwa na upinzani mkali wa chama chake cha Repulican katika Kongresi ya nchi hiyo.

  • Uamuzi wa Trump wa kuitaja Ansarullah ya Yemen kuwa kundi la kigaidi

    Uamuzi wa Trump wa kuitaja Ansarullah ya Yemen kuwa kundi la kigaidi

    Nov 17, 2020 12:19

    Kinyume na maoni ya mashirika ya kimataifa ya misaada ya kibinadamu, Rais Donald Trump wa Marekani ameazimia kuliweka kundi la Kiislamu la Ansarullah ya Yemen katika orodha ya nchi hiyo ya makundi ya kigaidi.

  • Kukiri Obama kwamba jamii ya Marekani ina mpasuko na mgawanyiko wa kambi mbili

    Kukiri Obama kwamba jamii ya Marekani ina mpasuko na mgawanyiko wa kambi mbili

    Nov 17, 2020 07:30

    Mgogoro wa kisiasa ambao haujawahi kushuhudiwa, unaoendelea hivi sasa ndani ya Marekani, ambao umetokana na rais wa nchi hiyo Donald Trump aliyegombea urais kwa tiketi ya chama cha Republican kukataa kwamba ameshindwa katika kinyang'anyiro hicho cha 2020 na Joe Biden aliyegombea kwa tiketi ya chama cha Democratic, umepelekea kutolewa tahadhari na indhari kubwa juu ya hatari ya kugawanyika nchi hiyo.

  • CNN: Donald Trump ni sawa na Adolf Hitler

    CNN: Donald Trump ni sawa na Adolf Hitler

    Nov 16, 2020 02:34

    Televisheni ya CNN ya Marekani imeripoti kuwa, hatua na mienendo ya rais wa sasa wa nchi hiyo, Donald Trump katika kipindi cha miaka minne iliyopita inafanana na ya watawala wa zamani wa Ujerumani ya Manazi.

  • Mapigano baina ya wapinzani na waungaji mkono wa Trump mjini Washington

    Mapigano baina ya wapinzani na waungaji mkono wa Trump mjini Washington

    Nov 15, 2020 11:25

    Maandamano ya wafuasi na waungaji mkono wa Rais Donald Trump wa Marekani wanaopinga matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika tarehe 3 mwezi huu wa Novemba yameufanya mji wa Washington kuwa uwanja wa mapaigano baina ya wafuasi na wapinzani wa kiongozi huyo.

  • Ghalibaf: Kasi ya kuporomoka Marekani imeongezeka

    Ghalibaf: Kasi ya kuporomoka Marekani imeongezeka

    Nov 15, 2020 08:12

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, matukio yaliyoambatana na uchaguzi wa Marekani yamezidi kuporomosha itibari ya nchi hiyo na kuongeza kasi ya kuporomoka mfumo wa kibeberu wa Marekani.

  • Trump kushiriki maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi Marekani

    Trump kushiriki maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi Marekani

    Nov 14, 2020 07:21

    Rais anayeondoka wa Marekani, Donald Trump amesema yumkini leo atajiunga na wafuasi wake katika maandamano ya mjini Washington, ya kupinga mchakato na matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika mwezi uliopita.

  • Wito wa kuhitimishwa sarakasi za uchaguzi wa rais wa Marekani

    Wito wa kuhitimishwa sarakasi za uchaguzi wa rais wa Marekani

    Nov 14, 2020 06:46

    Kuendelea kwa mzozo wa matokeo ya uchaguzi wa rais wa Marekani uliozushwa na Rais Donalld Trump ambaye alikuwa mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi huo, kupanuka mzozo huo na kutolewa madai mapya kumetajwa kuwa ni tahadhari kubwa kuhusiana na matokeo mabaya kwa Marakeni.

  • Marekani yakerwa na kuchunguzwa rekodi yake mbovu ya haki za binadamu katika Umoja wa Mataifa

    Marekani yakerwa na kuchunguzwa rekodi yake mbovu ya haki za binadamu katika Umoja wa Mataifa

    Nov 13, 2020 09:08

    Marekani ambayo ni mmoja wa wakiukaji wakubwa zaidi wa haki za binadamu duniani, ina historia nyesu kuhusu jambo hilo na daima imekuwa ikiingilia masuala ya ndani na kuzikosoa nchi nyingine ili kujaribu kukwepa kuwajibika mbele ya Wamarekani na walimwengu kwa ujumla kuhusu suala hilo.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran, muendelezo wa njama za aliyeshindwa

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran, muendelezo wa njama za aliyeshindwa

    Nov 12, 2020 10:43

    Baada ya Donald Trump kuitoa Marekani katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia yajulikanayo kwa jina la JCPOA hapo mwezi Mei 2018, Washington iliiwekea Iran vikwazo vya kiwango cha juu na hadi leo hii, kila siku inaweka vikwazo vipya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS