-
Nasrullah: Utawala wa Trump ndio mbaya zaidi katika historia ya Marekani
Nov 12, 2020 07:27Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa rais anayeondoka wa Marekani, Donald Trump ndiyo serikali mbaya zaidi katika historia ya nchi hiyo.
-
Iran: Hatuogopi Trump akibaki wala hatutasisimuka Biden akiingia madarakani
Nov 11, 2020 07:53Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria matukio ya sasa ya uchaguzi wa rais nchini Marekani na kusema: "Hatuogopi iwapo Trump atabakia na wala hatutasisimuka iwapo Biden ataingia madarakani. Tunachukua maamuzi kwa mujibu wa maslahi yetu."
-
Kuuzuliwa Waziri wa Ulinzi wa Marekani; pigo jingine kwa serikali inayotetereka ya Trump
Nov 11, 2020 02:37Rais Donald Trump wa Marekani ambaye alishika hatamu za uongozi wa nchi hiyo akitokea nje ya mzunguko wa kisiasa, katika uga wa timu yake ya uongozi pia amekuwa na utendaji wa ajabu na ambao haujazoeleka.
-
Trump amfuta kazi Waziri wa Ulinzi, wasomi waonya dhidi ya hatua za rais huyo wa US
Nov 10, 2020 08:10Katika hali ambayo mgogoro unaendelea kutotoka nchini Marekani baada ya Joe Biden kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais huku Donald Trump akipinga matokeo hayo kwa madai kuwa uchaguzi uligubikwa na wizi wa kura, rais huyo anayeondoka wa US amempiga kalamu nyekundu Waziri wa Ulinzi, Mark Esper.
-
Taharuki Marekani; wafuasi wa Trump waliojizatiti kwa silaha za moto waingia mabarabarani
Nov 08, 2020 03:35Wafuasi wa Rais anayeondoka wa Marekani, Donald Trump huku wakiwa wamejizatiti kwa silaha za moto wamemiminika katika barabara na mitaa ya majimbo ya Arizona na Georgia, kulalamikia ushindi wa Joe Biden katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.
-
Kukamatwa shabiki wa Trump aliyetishia kutekeleza mauaji ya umati mjini Los Angeles
Nov 07, 2020 11:44Polisi ya upelelezi ya serikali kuu ya Marekani FBI, imemtia nguvuni shabiki mmoja wa Rais Donald Trump wa Marekani aliyetishia kutekeleza mauaji ya umati katika mji wa Los Angeles katika jimbo la California.
-
Uchaguzi wa rais wa 2020; nembo ya demokrasia bandia ya Marekani
Nov 07, 2020 10:14Kama ilivyokuwa imetabiriwa awali, uchaguzi wa mwaka huu wa rais wa Marekani ambao ulifanyika tarehe 3 mwezi huu wa Novemba umekuwa moja ya chaguzi zenye utata mkubwa zaidi katika historia ya nchi hiyo, uchaguzi ambao taathriza zake bila shaka zitabakia kwa muda mrefu katika uwanja wa siasa za nchi hiyo.
-
Wafuasi wa Trump wenye bunduki wazingira vituo vya kuhesabu kura
Nov 07, 2020 07:39Idadi kubwa ya wafuasi wa Rais Donald Trump wa Marekani wameonekana katika vituo kadhaa vya kuhesabu kura nchini humo wakiwa wamebeba bunduki za rashasha.
-
Wademocrati waanza kusherehekea ushindi, Biden akaribia zaidi White House
Nov 07, 2020 03:25Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democratic, Joe Biden anaendelea kumtimulia kivumbi mpinzani wake wa chama cha Republican, Donald Trump katika matokeo ya uchaguzi wa rais wa Marekani kwenye majimbo mawili muhimu ya Pennsylvania na Georgia ambayo huenda yakamkabidhi rasmi Biden ufunguo wa kuingia Ikulu ya White House.
-
Mpwa wa Trump: Hali Marekani itakuwa hatari sana miezi inayokuja
Nov 06, 2020 11:39Mpwa wake rais wa Marekani Donald Trump ametahadharisha kuwa, hali nchini Marekani itakuwa hatari sana katika miezi ijayo kwa sababu Trump hatakubali kushindwa katika uchaguzi.