Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Iran: Rais Rouhani hana mpango wowote wa kukutana na Trump

    Iran: Rais Rouhani hana mpango wowote wa kukutana na Trump

    Sep 16, 2019 22:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepuuzilia mbali uwezekano wowote wa Rais Hassan Rouhani kukutana na Rais wa Marekani Donald Trump katika mkutano ujao wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York.

  • Jitihada za Trump za kudhibiti bei ya mafuta katika masoko ya kimataifa

    Jitihada za Trump za kudhibiti bei ya mafuta katika masoko ya kimataifa

    Sep 16, 2019 04:55

    Mashambulizi yaliyofanywa na wanamapambano wa Yemen dhidi ya taasisi za mafuta za Saudi Arabia na kupelekea kupungua nusu ya uzalishaji wa mafuta wa nchi hiyo na kuvuruga masoko ya kimataifa, yamekabiliwa na msimamo wa kukurupuka wa serikali ya Washington.

  • Trump amuita Rais Sisi wa Misri kuwa dikteta

    Trump amuita Rais Sisi wa Misri kuwa dikteta

    Sep 14, 2019 07:05

    Rais Donald Trump wa Marekani ameripotiwa kumtaja Rais Abdul Fattah al-Sisi kuwa dikteta.

  • Njama za utawala wa Trump za kuficha namna Saudi Arabia ilivyohusika katika matukio ya Septemba 11

    Njama za utawala wa Trump za kuficha namna Saudi Arabia ilivyohusika katika matukio ya Septemba 11

    Sep 14, 2019 02:56

    Baada ya matukio ya Septemba 11 mwaka 2001, Marekani ilijinadi kama mbeba bendera ya vita dhidi ya ugaidi duniani na kwa kisingizio hicho ikatekeleza mashambulizi kadhaa ya kijeshi kukiwemo kuzivamia Iraq na Afghanistan. Pamoja na hayo, sera za Marekani katika vita dhidi ya ugaidi zimekuwa na mgongano na undumakuwili mkubwa.

  • Radiamali zatolewa kufuatia kutimuliwa ghafla John Bolton katika ikulu ya White House

    Radiamali zatolewa kufuatia kutimuliwa ghafla John Bolton katika ikulu ya White House

    Sep 11, 2019 07:49

    Kitendo cha kupigwa kalamu nyekundu na Rais Donald Trump, John R. Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani, kimeendelea kuakisiwa kwa radiamali tofauti na viongozi wa Marekani.

  • Tetemeko ndani ya kambi ya Trump, Bolton atimuliwa serikalini

    Tetemeko ndani ya kambi ya Trump, Bolton atimuliwa serikalini

    Sep 10, 2019 22:53

    Rais wa Marekani, Donald Trump amemtimua serikalini, mshauri wa usalama wa taifa wa White House, John Robert Bolton.

  • Trump afutilia mbali kikao cha siri na Taliban

    Trump afutilia mbali kikao cha siri na Taliban

    Sep 09, 2019 01:33

    Katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa rais wa Marekani, Rais Donald Trump wa nchi hiyo aliahidi kuwaondoa askari wote wa Marekani wanaohudumu Afghanistan.

  • Sisitizo la Corbyn la kukabiliana na muungano wa Netanyahu na Trump dhidi ya JCPOA

    Sisitizo la Corbyn la kukabiliana na muungano wa Netanyahu na Trump dhidi ya JCPOA

    Sep 07, 2019 01:50

    Tangu yalipofikiwa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mwaka 2015, Marekani na utawala wa Kizayuni zimekuwa zikisisitiza kila mara kuwa zinayapinga makubaliano hayo na kutaka yavunjwe. Na katika hatua iliyolenga kufikia lengo hilo, mwezi Mei 2018, Rais Donald Trump wa Marekani alitangza kujitoa nchi yake kwenye makubaliano hayo na kuanza kutekeleza vikwazo vikali ambavyo havijawahi kushuhudiwa dhidi ya Iran.

  • Kushindwa tena Johnson katika bunge la Uingereza na mustkabali usiojulikana wa Brexit

    Kushindwa tena Johnson katika bunge la Uingereza na mustkabali usiojulikana wa Brexit

    Sep 06, 2019 07:47

    Suala la kujitoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya, Brexit, sasa limebadilika na kuwa maudhui muhimu zaidi katika siasa za ndani na nje za nchi hiyo.

  • Marekani yakosolewa kwa kukusudia kuangamiza mfumo wa usalama duniani

    Marekani yakosolewa kwa kukusudia kuangamiza mfumo wa usalama duniani

    Sep 03, 2019 02:26

    Rais Donald Trump wa Marekani amevuruga na kuhatarisha sana usalama wa kimataifa kwa kuendeleza sera zake zenye utata za kukiuka kanuni na mikataba ya kimatafa, hasa ya kujiondoa katika mikataba ya kudhibiti silaha hatari duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS