-
Trump avunja rekodi za makidhabu na wasema uongo duniani
Apr 29, 2019 23:41Uchunguzi uliofanywa na mtandao mmoja wa kuchunguza ukweli umesema kuwa, rais wa Marekani, Donald Trump amevunja rekodi za wasema uongo kwa kusema uongo mara 23 kila masaa 24 katika kipindi cha miezi saba iliyopita.
-
Trump kuiondoa Marekani katika Mkataba wa Silaha wa UN
Apr 27, 2019 03:16Katika mwendelezo wa sera zake kuu za kujitoa kwenye mikataba na makubaliano ya kimataifa, Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza azma ya kuiondoa nchi hiyo katika Mkataba wa Uuzaji Silaha wa Umoja wa Mataifa (ATT).
-
Corbyn: Trump ni mbaguzi, Uingereza haipaswi kumtandikia 'zulia jekundu'
Apr 27, 2019 03:10Kiongozi wa chama Leba nchini Uingereza amekosoa vikali mpango wa nchi hiyo wa kumpa mapokezi ya hali ya juu Rais Donald Trump atakapoitembelea nchini hiyo mwezi Juni mwaka huu, akisisitiza kuwa rais huyo wa Marekani ni mbaguzi na mtu mwenye hulka ya kuwadhalilisha na kuwatweza wanawake.
-
Amri ya Trump ya kuwekwa mikataba mipya ya silaha baina ya Marekani na Russia na China
Apr 27, 2019 02:27Donald Trump ni rais wa nchi ya kibeberu ya Marekani ambaye amekuja na siasa za kudharau na kupuuza sheria na mikataba yote ya kimataifa na ajenda yake kuu ni kujitoa kwenye mikataba ya kimataifa ikiwemo ya silaha. Hivi sasa dunia imekumbwa na changamoto kubwa inayotokana na kung'ang'ania Marekani kujitoa katika mikataba ya kudhibitiu silaha.
-
Ukosoaji wa Rais Vladmir Putin kuhusiana na miamala mibovu ya Marekani kimataifa
Apr 26, 2019 00:12Siasa za upande mmoja za Rais Donald Trump wa Marekani, zimeibua mizozo mingi katika ngazi za kimataifa.
-
Radiamali ya Wademocrats dhidi ya uungaji mkono wa Rais Donald Trump kwa jenerali Khalifa Haftar
Apr 22, 2019 02:42Nchi yenye utajiri wa mafuta ya Libya ambayo kijiografia ipo kaskazini mwa Afrika, imekuwa ikishuhudia vurugu, machafuko na vita vya ndani tangu mwaka 2011.
-
Seneta wa Marekani ataka Trump ang'olewe madarakani
Apr 21, 2019 21:06Seneta wa chama cha Democrats nchini Marekani ametoa mwito wa kuanzishwa mchakato wa kuuzuliwa Rais Donald Trump wa nchi hiyo.
-
Walibya waandamana kulaani hatua ya Trump kumpigia simu Jenerali Haftar
Apr 20, 2019 08:37Wananchi wa Libya wamefanya maandamano mjini Tripoli kukosoa hatua ya Rais Donald Trump kumpigia simu jenerali muasi Khalifa Haftar mwenye makao yake katika mji wa Benghazi, magharibi mwa Libya, na ambaye amekuwa akiendesha kampeni ya kijeshi ya kutaka kuuteka mji mkuu Tripoli.
-
Trump aionya ICC dhidi ya kuchunguza jinai za kivita za Marekani na Israel
Apr 13, 2019 03:35Rais Donald Trump ameionya vikali Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) dhidi ya kuchunguza jinai za kivita za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Rais wa Lebanon: Tangazo la Trump kuhusu miinuko ya Golan na Quds ni kinyume na maazimo ya kimataifa
Apr 11, 2019 23:55Rais Michel Aoun wa Lebanon kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, tangazo la Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na umiliki wa utawala vamizi wa Israel kwa miinuko ya Golan ya Syria linakinzana na maazimio ya kimataifa.