• Iran: Trump ni mwanagenzi wa hali ya Mashariki ya Kati

    Iran: Trump ni mwanagenzi wa hali ya Mashariki ya Kati

    Oct 26, 2018 21:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, rais wa Marekani, Donald Trump ni mwanagenzi na hana welewa wa kutosha kuhusu hali ya Mashariki ya Kati wala historia, sifa maalumu za watu wake na pia matukio ya miaka ya hivi karibuni ya eneo hili.

  • Marekani, adui wa amani na usalama wa dunia

    Marekani, adui wa amani na usalama wa dunia

    Oct 25, 2018 23:04

    Uamuzi uliochukuliwa na Rais Donald Trump wa Marekani wa kujiondoa katika mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati (INF) ambao umechukuliwa katika fremu ya sera za Trump za kujiondoa katika mikataba ya kimataifa, umekabiliwa na upinzani mkubwa wa viongozi wa nchi na jumuiya mbalimbali za kimataifa.

  • Ulaya na Umoja wa Mataifa zasisitiza azma yao ya kuyalinda makubaliano ya JCPOA

    Ulaya na Umoja wa Mataifa zasisitiza azma yao ya kuyalinda makubaliano ya JCPOA

    Oct 25, 2018 08:28

    Licha ya Marekani kuyapinga makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, lakini nchi za Ulaya zinasisitiza kulindwa makubaliano hayo muhimu ya kimataifa. Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akichukua misimamo iliyo dhidi ya makubaliano hayo ambayo yalifikiwa mwezi Julai mwaka 2015 kati ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo marekani yenyewe na anayataja kuwa ni makubaliano mabaya zaidi kuwahi kufikiwa!

  • Kukataliwa na madola ya Magharibi simulizi za Saudia kuhusu hekaya ya mauaji ya Khashoggi

    Kukataliwa na madola ya Magharibi simulizi za Saudia kuhusu hekaya ya mauaji ya Khashoggi

    Oct 21, 2018 23:35

    Moja ya matukio makubwa zaidi ya ukiukaji haki za binadamu kuwahi kufanywa na utawala wa Aal Saud ni la mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji maarufu wa utawala huo wa kifalme yaliyotokea ndani ya ubalozi wake mdogo ulioko mjini Istanbul, Uturuki.

  • Trump: Licha ya kumuua Khashoggi, lakini Marekani ingali inaihitaji Saudia kupambana na Iran

    Trump: Licha ya kumuua Khashoggi, lakini Marekani ingali inaihitaji Saudia kupambana na Iran

    Oct 20, 2018 04:35

    Huku dunia ikiendelea kulaani mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi mashuhuri wa habari wa Saudia, lakini Rais Donald Trump wa Marekani ameonekana kuendelea kuukingia kifua utawala wa Aal-Saud juu ya mauaji hayo.

  • Onyo la Kamisheni ya Ulaya la kujibu hatua za kiuadui za kibiashara za Marekani

    Onyo la Kamisheni ya Ulaya la kujibu hatua za kiuadui za kibiashara za Marekani

    Oct 17, 2018 23:43

    Rais wa Marekani, Donald Trump anapanga kuzipandishia ushuru bidhaa za kigeni zinazoingia nchini humo. Hatua hiyo inahesabiwa kuwa ni kutangaza vita rasmi vya kiuchumi na madola mengi yenye nguvu za kiuchumi ulimwenguni.

  • Juhudi za Rais Donald Trump za kuinasua Saudia kutokana na sakata la kuuawa Khashoggi

    Juhudi za Rais Donald Trump za kuinasua Saudia kutokana na sakata la kuuawa Khashoggi

    Oct 17, 2018 04:36

    Huku zikiwa zimepita zaidi ya wiki mbili tangu kutoweka katika mazingira ya kutatanisha Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji wa utawala wa Aal-Saud ndani ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo huko Uturuki, na pia kuendelea kushuhudiwa mashinikizo ya jamii ya kimataifa yanayotaka kuwekwa wazi hatma ya mwandishi huyo, Rais Donald Trump wa Marekani pamoja na viongozi wa Saudia ambao wako katika mashinikizo ya walimwengu wanakusudia kulipotosha suala hilo katika fikra za walio wengi.

  • Waziri wa Ulinzi wa Marekani ajibu matamshi ya Trump, asema haondoki kwenye uongozi

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani ajibu matamshi ya Trump, asema haondoki kwenye uongozi

    Oct 17, 2018 01:07

    Zikiwa zimepita siku mbili tangu Rais Donald Trump wa Marekani atoe matamshi kuwa huenda Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo, James N. Mattis akaondoka katika wizara hiyo, waziri huyo ameibuka na kutoa radiamali kwa matamshi hayo ya Trump.

  • Ongezeko la nakisi ya bajeti ya Marekani ambalo halijawahi kushuhudiwa; matokeo ya siasa za Donald Trump

    Ongezeko la nakisi ya bajeti ya Marekani ambalo halijawahi kushuhudiwa; matokeo ya siasa za Donald Trump

    Oct 17, 2018 00:47

    Tangu Rais Donald Trump wa Marekani aingie katika ikulu ya White House na kushika hatamu za uongozi wa nchi hiyo, alidai kwamba, atatanguliza mbele sera na hatua zitakazokuza uchumi wa nchi yake pamoja na ajira sambamba na kuimarisha uwezo wa kijeshi wa Washington.

  • Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China

    Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China

    Oct 16, 2018 03:58

    Uhusiano wa Marekani na China umekumbwa na misukosuko na panda shuka mbalimbali baada ya kuingia madarakani Donald Trump huko Marekani. Washington na Beijing zinahitilafiana katika masuala mengi ya kisiasa, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, kiusalama na kiistratijia.