Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • WHO: Ebola imedhibitiwa katika vijiji vya Kongo DR

    WHO: Ebola imedhibitiwa katika vijiji vya Kongo DR

    Oct 12, 2019 04:38

    Afisa wa ngazi za juu wa Shirika la Afya Duniani WHO amesema juhudi za kuvitokomeza kikamilifu virusi vya Ebola katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Kong zinaendelea kuzaa matunda.

  • Umoja wa Afrika wataka ushirikiano katika kukabiliana na ugonjwa wa Ebola

    Umoja wa Afrika wataka ushirikiano katika kukabiliana na ugonjwa wa Ebola

    Oct 04, 2019 08:32

    Umoja wa Afrika umetoa mwito wa kuwepo ushirikiano zaidi kwa ajili ya kukabiliana na changamoto ya kuenea ugonjwa hatari wa Ebola.

  • Waliotibiwa ugonjwa wa Ebola wana hatari ya kukumbwa na maradhi ya figo na vifo vya haraka

    Waliotibiwa ugonjwa wa Ebola wana hatari ya kukumbwa na maradhi ya figo na vifo vya haraka

    Sep 05, 2019 21:58

    Watu waliookoka baada ya kutibiwa ugonjwa hatari wa Ebola wako katika hatari kubwa ya kufariki dunia kutokana na maradhi ya figo baada ya kupitisha mwaka mmoja tangu wanapotoka hospitalini. Taarifa hiyo ilitolewa jana Alkhamisi baada ya kufanyiwa uchunguzi watu hao nchini Guinea.

  • WHO yaipatia Uganda chanjo ya Ebola baada ya kifo cha mtoto

    WHO yaipatia Uganda chanjo ya Ebola baada ya kifo cha mtoto

    Aug 31, 2019 22:13

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeipati Uganda msaada wa dozi 300 za chanjo ya Ebola kwa ajili ya kuwapatia chanjo watu wote waliowasiliana na msichana mwenye umri wa miaka 9 aliyefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola katika wilaya ya Kasese inayopakana na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Katibu Mkuu wa UN awasili Congo DR kujadili njia za kukabiliana na Ebola + Sauti

    Katibu Mkuu wa UN awasili Congo DR kujadili njia za kukabiliana na Ebola + Sauti

    Aug 31, 2019 08:48

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewasili katika mji wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wa Goma kwa shabaha ya kutathmini na kuchunguza njia za kukabiliana na ugonjwa hatari wa Ebola.

  • Kesi nyingine ya ugonjwa wa Ebola yathibitishwa nchini Uganda

    Kesi nyingine ya ugonjwa wa Ebola yathibitishwa nchini Uganda

    Aug 30, 2019 22:32

    Wizara ya Afya ya Uganda imesema kuwa msichana mmoja mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amepatikana na virusi vya Ebola nchini Uganda. Wizara hiyo imesema kuwa, msichana huyo mwenye umri wa miaka 9, aliwasili nchini Uganda akitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ingawa hata hivyo haikumtaja jina lake. 

  • UNHCR: Hali ya elimu ya wakimbizi ni mbaya sana

    UNHCR: Hali ya elimu ya wakimbizi ni mbaya sana

    Aug 30, 2019 22:17

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema kuwa, elimu ya wakimbizi iko hatarini na inaonesha kuwa kadiri watoto wakimbizi wanavyozidi kukua ndivyo vikwazo vya kupata elimu vinavyozidi kuongezeka.

  • Kesi ya pili ya Ebola nchini Uganda huku 2,000 wakipoteza maisha DRC

    Kesi ya pili ya Ebola nchini Uganda huku 2,000 wakipoteza maisha DRC

    Aug 30, 2019 03:30

    Wizara ya afya ya Uganda imetangaza kesi ya pili ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola katika eneo la Kasese, kilomita 472 kutoka mji mkuu wa Kampala, baada ya mgonjwa mmoja wa Ebola kuingia nchini humo kutoka nchi jirani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Watu 200,000 wapata chanjo ya Ebola nchini DRC

    Watu 200,000 wapata chanjo ya Ebola nchini DRC

    Aug 25, 2019 21:48

    Watu zaidi ya 200,000 wamepata chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia (DRC) ya Kongo katika mwezi huu wa Agosti.

  • Burundi yaanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wahudumu wa afya

    Burundi yaanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wahudumu wa afya

    Aug 15, 2019 07:32

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa serikali ya Burundi imeanza kutoa chanjo ya virusi vya ugonjwa hatari wa Ebola kwa wahudumu wa afya hususan wale wanaofanyakazi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS