Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Ethiopia yavionya vyombo vya habari vya Magharibi kwa kueneza porojo

    Ethiopia yavionya vyombo vya habari vya Magharibi kwa kueneza porojo

    Nov 21, 2021 07:27

    Serikali ya Ethiopia imeyaandikia barua mashirika kadhaa ya habari ya Wamagharibi na kuyaonya vikali dhidi ya kuandika na kueneza habari za kipropaganda zinazoliakisi kwa hasi taifa hilo la Pembe ya Afrika.

  • Umoja wa Mataifa watoa wito wa kuhitimishwa vita kaskazini mwa Ethiopia

    Umoja wa Mataifa watoa wito wa kuhitimishwa vita kaskazini mwa Ethiopia

    Nov 20, 2021 04:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuhitimishwa vita na mapigano kati ya serikali ya Ethiopia na wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF) kaskazinii mwa nchi hiyo.

  • Kenya na Marekani zajadili namna ya kukomesha machafuko Sudan na Ethiopia

    Kenya na Marekani zajadili namna ya kukomesha machafuko Sudan na Ethiopia

    Nov 18, 2021 04:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Uhuru wa Kenyatta wa Kenya kujadili namna ya kuhitimisha machafuko katika nchi za Sudan na Ethiopia.

  • Guterres asisitiza udharura wa kusitishwa vita vya Ethiopia

    Guterres asisitiza udharura wa kusitishwa vita vya Ethiopia

    Nov 17, 2021 04:51

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kwamba mapigano ya kijeshi nchini Ethiopia hayataleta amani wala uthabiti wa kudumu katika nchi hiyo ya Afrika.

  • UN yatiwa wasiwasi na kukamatwa maelfu ya Watigray katika mji mkuu wa Ethiopia

    UN yatiwa wasiwasi na kukamatwa maelfu ya Watigray katika mji mkuu wa Ethiopia

    Nov 16, 2021 23:31

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya haki za bindamu, OHCHR, imeelezea wasiwasi wake kufuatia vitendo vya ukamataji wa watu vilivyofanyika wiki iliyopita katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa, na pia katika maeneo ya Gondar, Bahir Dar na mengineyo, huku polisi wakitumia vifungu vingi vya hali ya hatari iliyotangazwa tarehe 2 Novemba ili kuwatafuta, kuwakamata na kuwaweka watu kizuizini.

  • Serikali ya Ethiopia yatangaza masharti ya mazungumzo ya kusitisha mapigano Tigray

    Serikali ya Ethiopia yatangaza masharti ya mazungumzo ya kusitisha mapigano Tigray

    Nov 12, 2021 04:23

    Serikali ya Ethiopia imetangaza masharti kwa ajili ya kufanya mazungumzo ya kusitisha mapigano na viongozi wa chama cha Tigray People’s Liberation Front (TPLF), kufuatia juhudi za kidiplomasia za kimataifa zenye lengo la kusitisha uhasama unaozidi kuongezeka huko kaskaqzini mwa nchi hiyo.

  • UN: Ethiopia inakaribia kutumbukia katika vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe

    UN: Ethiopia inakaribia kutumbukia katika vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe

    Nov 09, 2021 09:07

    Mkuu wa Idara ya Siasa ya Umoja wa Mataifa, Rosemary DiCarlo amesema hatari ya Ethiopia kuingia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe ni kubwa mno", akiongeza kuwa athari za kisiasa za kushadidi ghasia nchini humo zitazidisha migogoro inayolisumbua eneo la Pembe ya Afrika.

  • Mjumbe wa AU aonya kuhusu kuzidi kuwa mbaya mgogoro wa Ethiopia

    Mjumbe wa AU aonya kuhusu kuzidi kuwa mbaya mgogoro wa Ethiopia

    Nov 09, 2021 04:46

    Mjumbe wa Umoja wa Afrika katika masuala ya Pembe ya Afrika ametadharisha kuwa, mlango wa fursa ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Ethiopia unazidi kufungika siku baada ya siku.

  • Waethiopia wailaani Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao

    Waethiopia wailaani Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao

    Nov 07, 2021 23:15

    Wananchi wa Ethiopia wamefanya maandamano makubwa ya kutangaza uungaji mkono wao kwa serikali ya Waziri Mkuu, Abiy Ahmed na jeshi la nchi hilo linalokabiliana na waasi wa eneo la Tigray; huku wakiikosoa Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao.

  • Kutangazwa hali ya hatari nchini Ethiopia

    Kutangazwa hali ya hatari nchini Ethiopia

    Nov 03, 2021 23:08

    Mvutano kati ya serikali ya Ethiopia na wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF) umepamba moto katika miezi ya karibuni; hatua iliyoipelekea serikali ya Addis Ababa kutangaza hali ya hatari nchini humo kufuatia kusonga mbele kupya waasi wa Tigray.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS