-
Watoto 3 wauawa katika shambulio la anga Ethiopia
Oct 19, 2021 10:03Umoja wa Mataifa umesema watoto watatu wameuawa huku mtu mmoja akijeruhiwa katika shambulio la anga lililolenga eneo la Mekelle, makao makuu ya eneo la Tigray kaskaizni mwa Ethiopia.
-
Mapigano mapya yashtadi eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia
Oct 13, 2021 09:27Duru za kiusalama zimearifu kuwa, mapigano makali yamechachamaa katika eneo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia baina ya wanajeshi wa serikali ya Addis Ababa na wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi wa Watu wa Tigray (TPLF).
-
Abiy aapishwa kuongoza muhula wa pili nchini Ethiopia
Oct 04, 2021 08:08Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ameapishwa leo Jumatatu kuongoza muhula mpya wa miaka mitano katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika inayokabiliwa na uasi na mapigano ya kikabila.
-
Katibu Mkuu wa UN: Nimeshtushwa na hatua ya Ethiopia kuwatimua maafisa wetu
Oct 01, 2021 09:56Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema ameshtushwa sana na kitendo cha serikali ya Ethiopia kuwafukuza maafisa wa umoja huo wanaohudumu nchini humo.
-
Serikali ya Ethiopia yatoa amri ya kutimuliwa maafisa 7 wa UN kwa "kuingilia" masuala ya ndani ya nchi hiyo
Sep 30, 2021 22:57Serikali ya Ethiopia imeamuru maafisa saba waandamizi wa Umoja wa Mataifa waondolewe nchini humo kwa kile ilichokiita kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
UN: Mamia ya malori ya misaada ya kibinadamu yanazuiliwa Tigray
Sep 17, 2021 21:59Mamia ya malori ya misaada ya kibinadamu yanazuiliwa kutoka katika eneo lililoathiriwa na mapigano la Tigray kaskazini mwa Ethiopia, na kutoonekana kwa malori hayo kunatajwa kuwa ndiyo sababu kuu ya kupungua kwa misaada ya kibindamu. Hayo yamesemwa na Umoja wa Mataifa.
-
Raia 125 wauawa katika hujuma ya waasi kaskazini mwa Ethiopia
Sep 09, 2021 05:19Madaktari wa Ethiopia wamethibitisha kuwa raia wasiopungua 125 wameuawa katika shambulizi lililofanywa na wapiganaji wa kundi la TPLF huko kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Sudan yamwita kumsaili balozi wa Ethiopia baada ya miili 29 kupatikana katika Mto Setit
Sep 08, 2021 07:20Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Sudan imemwita kwa ajili ya kumsaili balozi wa Ethiopia mjini Khartoum baada ya miili 29 inayosadikiwa kuwa ni ya Watigray kupatikana katika Mto wa Setit.
-
Waasi wa Tigray, Ethiopia wakataa upatanishi wa mjumbe wa AU
Aug 29, 2021 21:58Wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF) wamepinga na kukosoa vikali hatua ya Umoja wa Afrika kumteua aliyekuwa rais wa Nigeria kuwa mpatanishi katika mgogoro unaoshuhudiwa kwa miezi kadhaa sasa katika eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia.
-
Guterres ataka kusitishwa uhasama na mapigano nchini Ethiopia
Aug 27, 2021 06:01Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mara moja mapigano na vitendo ya uhasama nchini Ethiopia.