Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Watoto 3 wauawa katika shambulio la anga Ethiopia

    Watoto 3 wauawa katika shambulio la anga Ethiopia

    Oct 19, 2021 10:03

    Umoja wa Mataifa umesema watoto watatu wameuawa huku mtu mmoja akijeruhiwa katika shambulio la anga lililolenga eneo la Mekelle, makao makuu ya eneo la Tigray kaskaizni mwa Ethiopia.

  • Mapigano mapya yashtadi eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia

    Mapigano mapya yashtadi eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia

    Oct 13, 2021 09:27

    Duru za kiusalama zimearifu kuwa, mapigano makali yamechachamaa katika eneo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia baina ya wanajeshi wa serikali ya Addis Ababa na wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi wa Watu wa Tigray (TPLF).

  • Abiy aapishwa kuongoza muhula wa pili nchini Ethiopia

    Abiy aapishwa kuongoza muhula wa pili nchini Ethiopia

    Oct 04, 2021 08:08

    Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ameapishwa leo Jumatatu kuongoza muhula mpya wa miaka mitano katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika inayokabiliwa na uasi na mapigano ya kikabila.

  • Katibu Mkuu wa UN: Nimeshtushwa na hatua ya Ethiopia kuwatimua maafisa wetu

    Katibu Mkuu wa UN: Nimeshtushwa na hatua ya Ethiopia kuwatimua maafisa wetu

    Oct 01, 2021 09:56

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema ameshtushwa sana na kitendo cha serikali ya Ethiopia kuwafukuza maafisa wa umoja huo wanaohudumu nchini humo.

  • Serikali ya Ethiopia yatoa amri ya kutimuliwa maafisa 7 wa UN kwa

    Serikali ya Ethiopia yatoa amri ya kutimuliwa maafisa 7 wa UN kwa "kuingilia" masuala ya ndani ya nchi hiyo

    Sep 30, 2021 22:57

    Serikali ya Ethiopia imeamuru maafisa saba waandamizi wa Umoja wa Mataifa waondolewe nchini humo kwa kile ilichokiita kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • UN: Mamia ya malori ya misaada ya kibinadamu yanazuiliwa Tigray

    UN: Mamia ya malori ya misaada ya kibinadamu yanazuiliwa Tigray

    Sep 17, 2021 21:59

    Mamia ya malori ya misaada ya kibinadamu yanazuiliwa kutoka katika eneo lililoathiriwa na mapigano la Tigray kaskazini mwa Ethiopia, na kutoonekana kwa malori hayo kunatajwa kuwa ndiyo sababu kuu ya kupungua kwa misaada ya kibindamu. Hayo yamesemwa na Umoja wa Mataifa.

  • Raia 125 wauawa katika hujuma ya waasi kaskazini mwa Ethiopia

    Raia 125 wauawa katika hujuma ya waasi kaskazini mwa Ethiopia

    Sep 09, 2021 05:19

    Madaktari wa Ethiopia wamethibitisha kuwa raia wasiopungua 125 wameuawa katika shambulizi lililofanywa na wapiganaji wa kundi la TPLF huko kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Sudan yamwita kumsaili balozi wa Ethiopia baada ya miili 29 kupatikana katika Mto Setit

    Sudan yamwita kumsaili balozi wa Ethiopia baada ya miili 29 kupatikana katika Mto Setit

    Sep 08, 2021 07:20

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Sudan imemwita kwa ajili ya kumsaili balozi wa Ethiopia mjini Khartoum baada ya miili 29 inayosadikiwa kuwa ni ya Watigray kupatikana katika Mto wa Setit.

  • Waasi wa Tigray, Ethiopia wakataa upatanishi wa mjumbe wa AU

    Waasi wa Tigray, Ethiopia wakataa upatanishi wa mjumbe wa AU

    Aug 29, 2021 21:58

    Wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF) wamepinga na kukosoa vikali hatua ya Umoja wa Afrika kumteua aliyekuwa rais wa Nigeria kuwa mpatanishi katika mgogoro unaoshuhudiwa kwa miezi kadhaa sasa katika eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia.

  • Guterres ataka kusitishwa uhasama na mapigano nchini Ethiopia

    Guterres ataka kusitishwa uhasama na mapigano nchini Ethiopia

    Aug 27, 2021 06:01

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mara moja mapigano na vitendo ya uhasama nchini Ethiopia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS