Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Mkuu wa Kanisa la Orthodox Ethiopia: Serikali inaangamiza eneo la Tigray

    Mkuu wa Kanisa la Orthodox Ethiopia: Serikali inaangamiza eneo la Tigray

    May 08, 2021 21:43

    Kiongozi wa Kanisa la Orthodox nchini Ethiopia ameituhumu serikali ya Addis Ababa kuwa ina azma ya kuliangamiza eneo la Tigray lililoko kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Ethiopia yataka kusitishwa mazunguumzo ya pande tatu kuhusu Bwawa la al-Nahdha

    Ethiopia yataka kusitishwa mazunguumzo ya pande tatu kuhusu Bwawa la al-Nahdha

    May 05, 2021 21:57

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa, inapinga hati ya makubaliano inayohusiana na ugavi wa maji wa Mto Nile na kutoa wito wa kusitishwa mazungumzo ya pande tatu kuhusiana na kadhia ya Bwawa la al-Nahdha.

  • Ethiopia kuzitambua harakati za TPLF na OLF-Shene kuwa ni makundi ya

    Ethiopia kuzitambua harakati za TPLF na OLF-Shene kuwa ni makundi ya "kigaidi"

    May 02, 2021 08:30

    Serikali ya Ethiopia imeyajumuisha kwenye orodha yake ya makundi ya kigaidi makundi mawili yanayobeba silaha likiwemo la Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF), ambayo mwaka uliopita iliiandama kwa operesheni kali za kijeshi.

  • Ethiopia: Misri na Sudan hazitaki mgogoro wa Bwawa la al-Nahdha utatuliwe

    Ethiopia: Misri na Sudan hazitaki mgogoro wa Bwawa la al-Nahdha utatuliwe

    Apr 27, 2021 23:15

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Ethiopia amepuuza vitisho vya Misri na Sudan dhidi ya nchi hiyo na kusema kuwa, Cairo na Khartoum hazitaki kuona mzozo kuhusu Bwawa la al-Nahdha unapatiwa ufumbuzi na kumalizika.

  • Addis Ababa: Hakuna askari yeyote wa Ethiopia aliyekuwa mateka nchini Sudan

    Addis Ababa: Hakuna askari yeyote wa Ethiopia aliyekuwa mateka nchini Sudan

    Apr 22, 2021 03:22

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Ethiopia amesema Sudan imeikabidhi nchi hiyo wakulima 59 na wanamgambo wawili wa kieneo.

  • Ethiopia: File na bwawa la Renaissance si kadhia ya kimataifa

    Ethiopia: File na bwawa la Renaissance si kadhia ya kimataifa

    Apr 16, 2021 07:36

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Ethiopia amepinga mpango wowote wa kulifanya suala la bwawa la Renaissance kuwa mgogoro wa kimataifa.

  • UN: Eritrea ikomeshe ukatili na mauaji Tigray

    UN: Eritrea ikomeshe ukatili na mauaji Tigray

    Apr 16, 2021 07:35

    Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, askari wa Eritrea wanapaswa kukomesha ukatili na vitendo viovu katika eneo la Tigray nchini Ethiopia na kuondoka mara moja katika eneo hilo.

  • Amnesty: Jeshi la Eritrea linaendelea kuua raia Tigray, Ethiopia

    Amnesty: Jeshi la Eritrea linaendelea kuua raia Tigray, Ethiopia

    Apr 15, 2021 23:04

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amesty International limesema jeshi la Eritrea lingali linaua raia katika eneo la Tigray, wiki chache baada ya Ethiopia kutangaza kuwa wanajeshi wa nchi hiyo jirani yake wameanza kuondoka katika eneo hilo linalokumbwa na mgogoro na mapigano kwa miezi kadhaa sasa.

  • Ethiopia inakabiliwa na uhaba wa mitungi ya oxygen kwa ajili ya wagonjwa wa corona

    Ethiopia inakabiliwa na uhaba wa mitungi ya oxygen kwa ajili ya wagonjwa wa corona

    Apr 13, 2021 07:26

    Moja ya viwanda vikubwa vya kutengeneza oxygen nchini Ethiopia ambavyo kwa siku hudhamini zaidi ya mitungi elfu mbili ya hewa ya oxygen kwa ajili ya wagongwa wa corona nchini humo kimekumbwa na matatizo ya kiufundi.

  • Sudan: Hakuna ufumbuzi wa kijeshi wa mgogoro wa bwawa la Renaissance

    Sudan: Hakuna ufumbuzi wa kijeshi wa mgogoro wa bwawa la Renaissance

    Apr 09, 2021 08:57

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan amesema kuwa, ni jambo lililo mbali kwamba mgogoro wa bwawa la Renaissance unaweza kutatuliwa kwa njia za kijeshi ili kuizuia Ethiopia kuendeleza mradi ujenzi wa bwawa hilo juu ya maji ya Mto Nile.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS