-
Kushindwa mara kadhaa mazungumzo kuhusu bwawa la An Nahdhah; Misri yatoa vitisho
Apr 08, 2021 22:08Mazungumzo ya kuainisha suala la maji ya bwawa la An Nahdhah na kuanza marhala ya pili ya uingizaji maji bwawani kwa mara nyingine tena yamegonga mwamba; na kumalizika bila ya natija yoyote huko Kinshasa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Baada ya kufeli mazungumzo hayo, Misri imeitishia Ethiopia kwamba itachukua hatua.
-
Rais wa Misri aonya kuhusu uwezekano wa kutokea vita na Ethiopia
Apr 08, 2021 03:08Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri ameionya Ethiopia kuhusu kutokea vita baina ya nchi hizo mbili iwapo Addis Ababa itaendelea kushikilia msimamo wake wa kuingiza maji katika bwawa la al Nahdha.
-
Wafugaji 100 wauawa katika mapigano ya kugombania ardhi Ethiopia
Apr 07, 2021 03:15Mapigano baina ya wafugaji wa jamii hasimu zinazopakana katika eneo la Afar na Somali kaskazini mashariki mwa Ethiopia yamepelekea watu zaidi ya 100 kuuawa.
-
Ethiopia yaalani taarifa ya kundi la G-7 kuhusu eneo la Tigray
Apr 06, 2021 22:31Ethiopia imelaani na kukosoa taarifa iliyotolewa katika kikao cha kundi la G-7 kuhusu hali ya mambo katika eneo la Tigray kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Kivuko cha mpakani kati ya Sudan na Ethiopia chafungwa
Apr 05, 2021 00:03Viongozi wa Sudan wamechukua uamuzi wa kukifunga kivuko cha mpakani kati ya nchi hiyo na Ethiopia.
-
Watu 30 wauliwa katika shambulizi la silaha, nchini Ethiopia
Apr 01, 2021 03:46Watu waliokuwa na bunduki wamewauwa raia wasiopungua 30 katika shambulio lililolenga kijiji kimoja katika mkoa wa Oromia nchini Ethiopia. Shambulizi hilo linatambuliwa kuwa ni katika mfululizo wa ghasia za kikabila za hivi karibuni za wapinzani wa serikali ya shirikisho.
-
Al Sisi aionya Ethiopia, asema maji ya Misri na mstari mwekundu, anayetaka kujaribu atakiona..
Mar 30, 2021 22:35Rais Abdel Fattah al Sisi wa Misri ametishia kutoa jibu lisilotasawarika iwapo nchi yake itapata madhara kutokana na bwana la Renaissance linalojengwa na Ethiopia juu ya maji ya Mto Nile.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia sasa akiri kuwepo askari wa Eritrea Tigray
Mar 23, 2021 22:37Kwa mara ya kwanza, Waziri Mkuu wa Ethiopia amekiri juu ya uwepo wa askari wa nchi jirani ya Eritrea katika eneo linaloshuhudia mapigano la Tigray la kaskazini mwa nchi; sanjari na kukiri pia kwamba kumefanyika jinai za kutisha na zilizo dhidi ya binadamu katika eneo hilo.
-
Sudan yaitahadharisha Ethiopia; yasema iko tayari kwa lolote
Mar 21, 2021 22:35Mkuu wa Baraza la Uongozi la utawala wa mpito Sudan amesema kuwa nchi yake imejiandaa kwa lolote na kuitaka Ethiopia kujiweka mbali na ardhi ya Sudan.
-
Addis Ababa: Asilimia 86 ya maji ya Mto Nile ni mali ya Ethiopia
Mar 18, 2021 09:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia amedai kuwa, sehemu kubwa ya akiba ya maji ya Mto Nile ni mali ya nchi yake.