-
Waziri mkuu wa Ethiopia atoa wito wa utulivu baada ya ghasia mjini Addis Ababa
Sep 14, 2018 02:16Waziri mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ametoa wito wa kurejeshwa utulivu baada ya kutokea ghasia mjini Addis Ababa kutokana na bendera yenye utata.
-
Eritrea na Ethiopia zafungua mpaka wa pamoja baada ya miaka 20
Sep 11, 2018 09:18Viongozi wa Ethiopia na Eritrea wamefungua mpaka wao wa pamoja kwa mara ya kwanza baada ya kupita miongo miwili; hatua ambayo inatazamiwa kufungua mlango wa kuimarika uhusiano wa kibiashara wa majirani hao wa Pemba ya Afrika.
-
Kamisheni ya Umoja wa Afrika yaunga mkono juhudi za kutatua hitilafu za Eritrea-Ethiopia
Sep 09, 2018 23:41Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amepongeza juhudi zilizofanyika kwa ajili ya kuondoa hitilafu baina ya nchi mbili za Ethiopia na Eritrea.
-
Meli ya kibiashara ya Ethiopia imetia nanga Eritrea kwa mara ya kwanza
Sep 05, 2018 09:25Meli ya kibiashara ya Ethiopia kwa mara ya kwanza leo imetia nanga nchini Eritrea baada ya kupita miaka 20. Hatua hiyo imejiri kufuatia kusainiwa makubaliano ya kumaliza uhasama kati ya nchi mbili hizo jirani na mahasimu wa zamani.
-
Benki ya Dunia yaipatia mkopo wa dola bilioni moja Ethiopia ili kuendeleza mageuzi
Aug 27, 2018 10:20Waziri Mkuu wa Ethiopia amesema kuwa, Benki ya Dunia imeipatia nchi hiyo mkopo wa dola bilioni moja ili kusaidia juhudi za nchi yake za kufanya mageuzi ya kiuchumi na kisiasa.
-
Ethiopia yafanya juhudi za kuachiwa huru tajiri wa nchi hiyo aliyetiwa mbaroni Saudia
Aug 26, 2018 03:21Waziri Mkuu wa Ethiopia amesisitiza kuwa nchi hiyo inaendelea kufanya juhudi za kuhakikisha kuwa mfanyabishara aliyekamatwa nchini Saudi Arabia anaachiwa huru.
-
Watu wasiopungua 40 wauawa mashariki mwa Ethiopia
Aug 14, 2018 03:51Wanamgambo wenye silaha wameua watu wasiopungua 40 mashariki mwa Ethiopia mwishoni mwa wiki katika wimbi la machafuko yaliyochochewa na migawanyiko ya kikabila.
-
Ethiopia kukumbatia demokrasia ya vyama vingi
Jul 22, 2018 23:33Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amesema wakati umefika kwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika iruhusu demokrasia ya vyama vingi ambayo msingi wake ni taasisi thabiti zinazoheshimu haki za binadamu na utawala wa sheria.
-
Ethiopia yatoa msamaha kwa wafungwa wa kisiasa
Jul 20, 2018 20:49Ethiopia imepitisha sheria ambayo inatoa msamaha kwa wafungwa wa kisiasa ambao wameachiliwa hivi karibuni na kwa msingi huo kufuta sera ya miongo kadhaa ya ukandamizaji dhidi ya wapinzani.
-
Eritrea yaondoa wanajeshi wake katika mpaka na Ethiopia
Jul 19, 2018 11:02Serikali ya Eritrea imewaondoa wanajeshi wake katika mpaka wake na Ethiopia uliokuwa ukilindwa vikali.