-
Maporomoko ya udongo yauwa watu wasiopungua 229 nchini Ethiopia
Jul 23, 2024 23:15Watu wasiopungua 229 wamepoteza maisha katika maporomoko ya udongo yaliyoikumba Ethiopia baada ya mvua kubwa kunyesha nchini humo.
-
Ethiopia: Bara la Afrika lina hamu ya kujiunga na BRICS
Jul 14, 2024 07:05Spika wa Bunge la Ethiopia amesema aghalabu ya nchi za Afrika zina hamu ya kuwa wanachama wa kundi la BRICS la mataifa yanayoinukia kiuchumi duniani.
-
Ethiopia yahamakishwa na EU kuiwekea vizuizi katika upokeaji wa viza
May 10, 2024 03:53Ethiopia imeeleza kughadhabishwa na hatua ya Baraza la Umoja wa Ulaya ya kuwawekea raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika vikwazo na vizingiti katika upokeaji wa viza.
-
Mzozo kati ya Ethiopia na Somalia wazidi kuongezeka
Apr 09, 2024 23:34Tangu kutangazwa kwa makubaliano ya bahari kati ya Ethiopia na eneo lililojitenga la Somaliland miezi mitatu iliyopita, hali ya mvutano imekuwa ukiendelea kati ya nchi hizo mbili jirani za mashariki mwa Afrika na washirika wa usalama.
-
Somalia yamtimua balozi wa Ethiopia kutokana na mgogoro wa mkataba wa bandari ya Somaliland
Apr 04, 2024 22:50Somalia imetangaza kumfukuza balozi wa Ethiopia nchini humo huku kukiwa na mvutano unaoongezeka kuhusu mzozo wa makubaliano ya bandari kati ya Ethiopia na eneo lililojitenga la Somaliland.
-
Wabunge wa Somaliland wafutilia mbali makubaliano na Ethiopia ya kufika Bahari Nyekundu
Feb 15, 2024 04:17Wabunge katika eneo lililojitenga na Somalia la Somaliland wamefutilia mbali makubaliano waliyofikia na Ethiopia ya kuiruhusu Addis Ababa kutumia bandari kuu katika eneo la Somaliland.
-
Jeshi la Ethiopia latuhumiwa kuua makumi ya raia jimboni Amhara
Feb 14, 2024 04:05Kamisheni ya Haki za Kibinadamu ya Ethiopia (EHRC) imedai kuwa wanajeshi wa serikali ya Ethiopia waliwaua raia wasiopungua 45 wa mji wa Merawi katika jimbo la Amhara la kaskazini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Bunge la Ethiopia larefusha 'hali ya hatari' eneo la Amhara
Feb 03, 2024 03:58Bunge la Ethiopia jana Ijumaa lilirefusha muda wa hali ya hatari iliyotangazwa Agosti mwaka uliopita 2023 katika eneo linaloshuhudia mapigano la Amhara.
-
Watu 225 wapoteza maisha kutokana na makali ya njaa Tigray, Ethiopia
Jan 17, 2024 04:11Watu wasiopungua 225 wameaga dunia katika eneo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia kutokana na njaa iliyosababishwa na ukame ambao umeendelea kushuhudiwa katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.
-
OIC yataka kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala Somalia
Jan 04, 2024 23:02Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa mwito wa kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi yote ya Somalia, kufuatia kusainiwa mapatano baina ya Ethiopia na Somaliland yatakayoiwezesha Ethiopia kutumia Bandari ya Berbera ya Somalia iliyoko katika eneo hilo la Somaliland.