Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Ethiopia yatuma maombi ya kujiunga na BRICS

    Ethiopia yatuma maombi ya kujiunga na BRICS

    Jul 01, 2023 04:46

    Ethiopia, ambayo ni miongoni mwa nchi zenye uchumi unaokua kwa kasi barani Afrika imeomba kujiunga na jumuiya ya BRICS ya chumi zinazoinukia. Haya yameelezwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo.

  • Ethiopia kuzindua awamu ya nne ya ujazaji maji katika bwawa lenye mvutano

    Ethiopia kuzindua awamu ya nne ya ujazaji maji katika bwawa lenye mvutano

    Jun 23, 2023 07:33

    Ethiopia inajiandaa kuanzisha awamu ya nne ya kujaza maji katika hifadhi ya bwawa lake kubwa katika Blue Nile. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri Mkuu wa nchi hiyo licha ya upinzani wa jirani yake Misri.

  • Ethiopia yawatimua Waganda waliohadaiwa kwenda 'kuonana' na Yesu

    Ethiopia yawatimua Waganda waliohadaiwa kwenda 'kuonana' na Yesu

    Jun 13, 2023 07:27

    Mamlaka za Ethiopia zimewarejesha nyumbani raia 80 wa Uganda ambao walitapeliwa fedha zao kwa ahadi kwamba watapelekwa kukutana na Yesu katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Ethiopia yapinga tuhuma za maangamizi ya kizazi huko Tigray Magharibi

    Ethiopia yapinga tuhuma za maangamizi ya kizazi huko Tigray Magharibi

    Jun 07, 2023 10:30

    Serikali ya Ethiopia imepinga ripoti iliyotolewa na Shirika la Haki za Binadamu la (HRW) iliyodai kuwa kampeni ya maangamizi ya kizazi imefanyika huko Tgray Magharibi licha ya kutiwa saini makubaliano ya amani mwezi Novemba mwaka jana.

  • Wawili wauawa katika maandamano ya kupinga kubomolewa misikiti zaidi ya 19 Ethiopia

    Wawili wauawa katika maandamano ya kupinga kubomolewa misikiti zaidi ya 19 Ethiopia

    May 27, 2023 10:49

    Watu wawili wameuawa wakati askari polisi walipowashambulia Waislamu walioandamana katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa kupinga kubomolewa misikiti yao zaidi ya 19 katika eneo la kandokando ya mji huo.

  • Waasi wa Oromo wa Ethiopia wavituhumu vikosi vya serikali kwa kufanya mashambulizi

    Waasi wa Oromo wa Ethiopia wavituhumu vikosi vya serikali kwa kufanya mashambulizi

    May 18, 2023 01:07

    Waasi katika jimbo la Oromia nchini Ethiopia wameituhumu serikali kuu ya nchi hiyo kuwa imefanya mashambulizi makubwa ya kijeshi dhidi yao baada ya mazungumzo ya amani kati ya pande mbili kumalizika bila kufikia mapatano.

  • Makumi watiwa nguvuni Ethiopia baada ya mauaji ya afisa wa chama tawala

    Makumi watiwa nguvuni Ethiopia baada ya mauaji ya afisa wa chama tawala

    May 01, 2023 07:10

    Askari usalama wa Ethiopia wametangaza kuwa wamewakamata watu 47 kufuatia mauaji ya afisa wa chama tawala nchini humo.

  • WFP inachunguza wizi wa chakula cha msaada nchini Ethiopia

    WFP inachunguza wizi wa chakula cha msaada nchini Ethiopia

    Apr 12, 2023 02:12

    Shirika la Mpango wa Chakula wa Umoja wa Mataifa (WFP) linachunguza wizi wa misaada ya chakula ulioripotiwa katika oparesheni za kibinadamu huko Ethiopia.

  • Ethiopia kuunganisha vikosi vya majimbo ya kikanda katika jeshi la taifa na polisi

    Ethiopia kuunganisha vikosi vya majimbo ya kikanda katika jeshi la taifa na polisi

    Apr 10, 2023 11:35

    Serikali ya Ethiopia imesema kuwa inakusudia kujumuisha vikosi vyote maalumu vya majimbo ya kikanda ima katika jeshi la taifa, au polisi ya shirikisho au majimbo; hatua ambayo inaweza kuhesabiwa kama mpango wa kuyapunguzia mamlaka majimbo yanayosimamia mambo yake yenyewe.

  • Hafla kubwa zaidi ya futari yafanyika Ethiopia

    Hafla kubwa zaidi ya futari yafanyika Ethiopia

    Apr 09, 2023 11:30

    Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu la Ethiopia limefanya hafla kubwa zaidi ya Iftar katika uwanja wa Al-Thaura mjini Addis Ababa, mji mkuu wa nchi hiyo, wakati huu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS