Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

gaidi

  • Ripoti yafichua: Marekani imetumia zaidi ya dola bilioni moja kuwanunulia silaha magaidi nchini Syria

    Ripoti yafichua: Marekani imetumia zaidi ya dola bilioni moja kuwanunulia silaha magaidi nchini Syria

    Sep 14, 2017 03:55

    Kituo kimoja cha utafiti katika eneo la Balkan kimefichua kwamba Marekani imechukua hatua kadhaa kwa ajili ya kuwazatiti kwa silaha magaidi nchini Syria.

  • Mali yathibitisha kutiwa mbaroni gaidi wa harakati ya Macina

    Mali yathibitisha kutiwa mbaroni gaidi wa harakati ya Macina

    Jul 24, 2017 03:55

    Wanajeshi wa Mali na Ufaransa wamemtia mbaroni mshirika wa karibu wa mhubiri wa huko Mali ambaye kundi lake lenye misimamo mikali limedai kuhusika na makumi ya mashambulizi dhidi ya maslahi ya magharibi na Mali. Hayo yameelezwa na Waziri wa Usalama wa Mali.

  • Israel kujenga hospitali itakayotoa matibabu kwa magaidi wa Syria

    Israel kujenga hospitali itakayotoa matibabu kwa magaidi wa Syria

    Jul 20, 2017 13:45

    Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umekusudia kujenga hospitali katika miinuko ya Golan inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo nchini Syria, ambayo itakuwa na jukumu la kutoa matibabu kwa magaidi wanaopigana dhidi ya serikali ya Syria, ikiwa ni katika mwendelezo wa misaada ya utawala huo kwa magaidi hao.

  • Brigedia Jenerali Ashtari: Lengo kuu la magaidi ni kuingia Iran

    Brigedia Jenerali Ashtari: Lengo kuu la magaidi ni kuingia Iran

    Jul 13, 2017 15:10

    Kamanda wa polisi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, lengo kuu la magaidi ni kuingia Iran kupitia njia mbalimbali na kwamba polisi humu nchini wanapaswa kuwa tayari kukabiliana na magaidi kwa kupokea taarifa za kiitelijensia katika maeneo ya mipakani.

  • Algeria: Waafrika elfu tano wamejiunga na makundi ya kigaidi

    Algeria: Waafrika elfu tano wamejiunga na makundi ya kigaidi

    Jul 04, 2017 12:43

    Rais wa Algeria ametahadharisha kuhusu hatari ya vijana elfu tano wa Afrika waliojiunga na mkundi ya kigaidi.

  • Shambulio la kigaidi lawalenga Waislamu wa Uingereza waliokuwa wanatoka msikitini; mmoja auawa na 10 wajeruhiwa

    Shambulio la kigaidi lawalenga Waislamu wa Uingereza waliokuwa wanatoka msikitini; mmoja auawa na 10 wajeruhiwa

    Jun 19, 2017 08:03

    Kwa akali mtu mmoja ameuawa na wengine 10 wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililowalenga Waislamu waliokuwa wanatoka msikitini usiku wa kuamkia leo katika eneo la Bustani ya Finsbury kaskazini mwa mji mkuu wa Uingereza, London.

  • Mawahabi ndio waliofanya mashambulio ya kigaidi mjini Tehran, Iran

    Mawahabi ndio waliofanya mashambulio ya kigaidi mjini Tehran, Iran

    Jun 08, 2017 15:36

    Wizara ya Usalama wa Taifa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema kuwa, magaidi waliofanya mashambulizi jana Jumatano hapa Tehran wametambuliwa. Imesema, magaidi hao walikuwa na uhusiano wa moja kwa moja na magenge ya Kiwahabi nje ya Iran.

  • Mamia ya raia wa Algeria wajiunga na magenge ya kigaidi nchini Yemen

    Mamia ya raia wa Algeria wajiunga na magenge ya kigaidi nchini Yemen

    Jun 01, 2017 03:20

    Mtandao mmoja wa habari wa Algeria umetangaza kuwa, mamia ya vijana wa Algeria wamejiunga na magenge ya kigaidi yanayofanya mauaji nchini Yemen.

  • Ufilipino: Miripuko ya mjini Manila, ilimlenga imamu wa Kishia

    Ufilipino: Miripuko ya mjini Manila, ilimlenga imamu wa Kishia

    May 08, 2017 04:04

    Kamanda wa polisi nchini Ufilipino amesema kuwa, miripuko miwili iliyotokea mjini Manila, mji mkuu wa nchi hiyo na kusababisha vifo vya watu wawili, ilikuwa imemlenga imamu wa jamaa wa Kishia mjini hapo.

  • Waziri wa Mambo ya Ndani Tunisia: Magaidi 3000 wa Kitunisia wako nje ya nchi

    Waziri wa Mambo ya Ndani Tunisia: Magaidi 3000 wa Kitunisia wako nje ya nchi

    Apr 22, 2017 07:06

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tunisia amesema kuwa, magaidi 3000 za Kitunisia wako katika nchi za Syria, Libya na maeneo mengine duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS