-
Jeshi la Tunisia latumia mizinga kushambulia maficho ya magaidi
Apr 19, 2017 15:55Kikosi cha mizinga cha jeshi la wananchi wa Tunisia kimeshambulia maficho ya magaidi kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Kiongozi wa Daesh auawa mashariki mwa Algeria
Mar 26, 2017 13:23Jeshi la Algeria limetangaza habari ya kuuawa kiongozi mmoja wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) katika eneo la Jabal al Wuhush la jimbo la Constantine, mashariki mwa nchi hiyo.
-
Serikali ya Sudan Kusini yataka Machar atambuliwe kama gaidi
Mar 14, 2017 14:57Serikali ya Sudan Kusini imezitaka nchi za eneo kumtambua Riek Machar, aliyekuwa makamu wa rais wa nchi hiyo kama gaidi, baada ya askari watiifu kwa kiongozi huyo kuwateka nyara wafanyakazi wawili wa kigeni, na kuitisha kikomboleo ili wawaachie huru.
-
Indhari ya Umoja wa Mataifa ya kutokea maafa ya kutisha zaidi ya hali mbaya ya kibinaadamu
Mar 13, 2017 06:05Kutokana na kuenea ukame na njaa katika maeneo tofauti ya dunia Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu hatari ya kutokea maafa makubwa zaidi ya kibinaadamu ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika miaka 72 iliyopita
-
Washukiwa 6 wa al Shabab watiwa nguvuni Malindi, Kenya
Mar 11, 2017 16:49Polisi ya kupambana na ugaidi ya Kenya imewatia nguvuni watu 6 wanaoshukiwa kuwa magaidi wa kundi la al Shabab katika mji wa pwani wa Malindi.
-
Wanajeshi wa Niger washambuliwa katika mpaka wa Mali
Feb 24, 2017 08:10Wanajeshi kadhaa ya Niger wameuawa na wengine kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Mali.
-
Magaidi wawili waangamizwa magharibi mwa Tunisia
Feb 18, 2017 07:43Wizara ya Ulinzi ya Tunisia imetangaza kuwa, magaidi wawili wakufurishaji wameangamizwa katika maeneo ya milimani ya jimbo la Kasserine la magharibi mwa nchi hiyo katika operesheni maalumu ya jeshi ya kupambana na magenge ya kigaidi.
-
Al Shabab washambulia kusini mwa Somalia
Feb 01, 2017 15:42Watu wawili wameripotiwa kuuawa baada ya kundi la kigaidi la al Shabab kufanya shambulio kusini mwa Somalia.
-
Kiongozi wa kundi la al Shabab auawa Somalia
Jan 30, 2017 15:13Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa vyombo vya usalama nchini Somalia ametangaza habari ya kuuliwa mmoja wa viongozi wa kundi la kigaidi la wanamgambo wa al Shabab nchini humo.
-
Wahanga wa shambulizi la ash-Shabab Somalia waongezeka na kufikia 83
Jan 26, 2017 07:33Watu 83 wameripotiwa kuuawa katika shambulizi la kigaidi lililotekelezwa jana na wanachama wa genge la ash-Shabab lenye mafungamano na kundi la al-Qaidah huko Somalia.