-
Kiongozi wa kundi la al Shabab auawa Somalia
Jan 30, 2017 11:43Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa vyombo vya usalama nchini Somalia ametangaza habari ya kuuliwa mmoja wa viongozi wa kundi la kigaidi la wanamgambo wa al Shabab nchini humo.
-
Wahanga wa shambulizi la ash-Shabab Somalia waongezeka na kufikia 83
Jan 26, 2017 04:03Watu 83 wameripotiwa kuuawa katika shambulizi la kigaidi lililotekelezwa jana na wanachama wa genge la ash-Shabab lenye mafungamano na kundi la al-Qaidah huko Somalia.
-
Tunisia na tatizo la kurejea magaidi
Jan 17, 2017 09:41Kurejea katika nchi zao magaidi waliojiunga na makundi ya kigaidi lingali miongoni mwa matatizo na changamoto kubwa ambazo ni gumzo barani Ulaya na Afrika.
-
Mamia ya matakfiri wanaorejea Tunisia wakamatwa
Dec 31, 2016 03:57Msemaji wa serikali ya Tunisia ametangaza habari ya kukamatwa mamia ya matakfiri wanaorejea nchini humo kutoka eneo la Mashariki ya Kati.
-
Wamisri waingiwa na wasiwasi wa kuvamiwa nchi yao na wimbi la magaidi
Dec 29, 2016 11:16Duru za usalama nchini Misri zimetangaza habari ya uwezekano wa kuvamiwa nchi hiyo na wimbi la magaidi kutoka nchi nyingine, suala ambalo limezitia hofu nyoyo za wananchi wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Syria yaendeleza oparesheni dhidi ya magaidi karibu na Damascus
Dec 27, 2016 23:21Jeshi la Syria limeanzisha oparesheni kali ya kuwapokonya magaidi udhibiti wa eneo la kistratijia karibu na Damascus ambalo lina chemichemi ambayo maji yake yanatumika katika mji mkuu huo.
-
Saudia inaendelea kutoa misaada ya kifedha kwa magaidi Syria
Dec 27, 2016 11:17Saudia Arabia hivi karibuni imetoa msaada mwingine wa Riali Milioni 100 za Kisaudi ($ Milioni 26.5) kwa ajili ya magaidi nchini Syria.
-
Ayatullah Amoli Larijani: Syria si mahala salama tena kwa magaidi
Dec 19, 2016 23:36Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kuwa, Syria si mahala salama tena kwa magaidi na waungaji mkono wao wa Mashariki ya Kati na wa nje ya eneo hili.
-
Misri yasisitiza kupambana na makundi ya kigaidi
Dec 01, 2016 04:07Mwakilishi wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametaka kuendeshwa mapambano na nchi zote dhidi ya makundi ya kigaidi.
-
Magaidi wanane wa Boko Haram wauawa Nigeria
Nov 02, 2016 10:56Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limewauwa wanachama wanane wa kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.