Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

gaidi

  • Kongresi ya Marekani yaishinikiza EU iitambue Hizbullah kama kundi la kigaidi

    Kongresi ya Marekani yaishinikiza EU iitambue Hizbullah kama kundi la kigaidi

    Jul 28, 2021 07:17

    Kundi moja la wawakilishi wa vyama viwili vya Republican na Democratic katika Kongeresi ya Marekani limetoa wito wa kushinikizwa Umoja wa Ulaya ili uitambua harakati yote ya Hizbullah kuwa ni "kundi la kigaidi".

  • Chinjachinja wa Daesh atiwa mbaroni huko Talafar, Iraq

    Chinjachinja wa Daesh atiwa mbaroni huko Talafar, Iraq

    Mar 10, 2021 02:48

    Idara ya Intelijinisia ya jeshi la Iraq imetangaza habari ya kutiwa mbaroni kinara mashuhuri wa magaidiwa kundi la kitakfiri la Daesh anayefahamika kwa jina la Cihnjachinja huko Talafar nchini humo.

  • Kuongezeka ugaidi Nigeria; mamia ya wanafunzi watekwa nyara

    Kuongezeka ugaidi Nigeria; mamia ya wanafunzi watekwa nyara

    Feb 28, 2021 08:52

    Mashambulio ya kigaidi yangali yanaendelea katika nchi za magharibi mwa Afrika na hasa nchini Nigeria. Katika mashambulio ya karibuni kabisa, mamia ya wanafunzi wametekwa nyara nchini humo kufuatia shambulio lililofanywa na wabeba silaha katika shule moja katika jimbo la Zamfara, kaskazini mwagharibi mwa nchi hiyo.

  • Pelosi: Walioshambulia Kongeresi ni magaidi wa ndani ya Marekani

    Pelosi: Walioshambulia Kongeresi ni magaidi wa ndani ya Marekani

    Feb 06, 2021 13:23

    Spika wa Kongresi ya Marekani amesema kuwa waungaji mkono wa rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump ambao mwezi Januari mwaka huu walishambulia jengo la Kongresi ni magaidi wa ndani ya nchi.

  • Hatua kali za kiusalama zachukuliwa katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad

    Hatua kali za kiusalama zachukuliwa katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad

    Jan 25, 2021 02:31

    Duru moja ya Iraq imetangaza habari ya kuchukuliwa hatua kali za kiusalama katika mji mkuu wa nchi hiyo Baghdad hasa baada ya magaidi wa Daesh kufanya mashambulio ya kigaidi yaliyoua na kujeruhi makumi ya watu katikati ya mji huo Alkhamisi iliyopita.

  • Harakati ya An-Nujabaa Iraq yatoa indhari: Magaidi wanapanga kushambulia Najaf na Karbala

    Harakati ya An-Nujabaa Iraq yatoa indhari: Magaidi wanapanga kushambulia Najaf na Karbala

    Jan 24, 2021 04:40

    Msemaji wa Harakati ya An-Nujabaa ya Iraq ametahadharisha kuhusu mpango wa magaidi wa kutaka kushambulia maeneo matakatifu ya kidini ya nchi hiyo na kusisitiza kwamba makundi ya Muqawama yatavihamishia vita kwenye ardhi za wanaotaka kuiteketeza Iraq.

  • Onyo la Lavrov kuhusu uwepo wa mamluki 2000 wa kitakfiri huko Karabakh

    Onyo la Lavrov kuhusu uwepo wa mamluki 2000 wa kitakfiri huko Karabakh

    Nov 05, 2020 03:58

    Russia daima imekuwa ikitahadharisha kuhusu hatari ya uwepo wa makundi ya kigaidi yenye misimamo ya kupindukia mpaka katika nchi hiyo na nchi nyingine za Caucasia na Asia ya Kati na kusisitiza udharura wa kupambana na makundi hayo.

  • Wamarekani magaidi waendelea kuiba mafuta ya Syria

    Wamarekani magaidi waendelea kuiba mafuta ya Syria

    Oct 28, 2020 12:24

    Duru mbalimbali za Syria zimetangaza habari ya kuendelea wizi wa mafuta ya nchi hiyo unaofanywa na wanajeshi magaidi wa Marekani.

  • Zarif: Magharibi inapaswa iache kuwapa hifadhi na kuwasaidia kifedha magaidi

    Zarif: Magharibi inapaswa iache kuwapa hifadhi na kuwasaidia kifedha magaidi

    Aug 02, 2020 03:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia ulazima wa nchi za Magharibi kuacha kuyahami na kuyaunga mkono magenge ya kigaidi yanayopinga Mapinduzi na akasema: Kutokea kwenye maficho yao walikopewa hifadhi ndani ya Marekani na Ulaya, magaidi wanaandaa machafuko na mauaji ya raia wa Iran.

  • Iran yamtia mbaroni kiongozi wa kundi la kigaidi la Tondar lenye makao yake nchini Marekani

    Iran yamtia mbaroni kiongozi wa kundi la kigaidi la Tondar lenye makao yake nchini Marekani

    Aug 01, 2020 13:47

    Vikosi vya Usalama vya Iran vimemtia mbaroni Jamshid Sharmahd, kiongozi wa kundi la kigaidi la Tondar lenye makao yake nchini Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS