Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Gambia

  • Waziri wa Gambia aihama serikali ya Rais Jammeh

    Waziri wa Gambia aihama serikali ya Rais Jammeh

    Jan 10, 2017 16:26

    Waziri wa Mawasiliano wa Gambia Sheriff Bojang amesema ameamua kujiondoa kwenye serikali tangu rais Yahya Jammeh wa nchi hiyo alipokataa kuwa ameshindwa katika uchaguzi wa rais uliofanyika tarehe mosi ya mwezi uliopita wa Desemba.

  • Mahakama kusikiliza ombi la Jammeh, Ecowas kurejea Gambia kesho

    Mahakama kusikiliza ombi la Jammeh, Ecowas kurejea Gambia kesho

    Jan 10, 2017 08:16

    Mahakama ya Kilele ya Gambia inatazamiwa hii leo kuanza kusikiliza kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais iliyowasilishwa na Rais Yahya Jammeh anayetaka matokeo ya uchaguzi yabatilishwe.

  • Nigeria: Viongozi wa ECOWAS kutoa 'uamuzi mkubwa' juu ya Gambia

    Nigeria: Viongozi wa ECOWAS kutoa 'uamuzi mkubwa' juu ya Gambia

    Jan 07, 2017 08:06

    Viongozi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) wanatazamiwa hii leo kutoa kile kilichotajwa kuwa 'uamuzi mzito' kuhusiana na mgogoro wa kisiasa unaoikabili Gambia

  • Jeshi la Gambia latangaza kumuunga mkono Rais Yahya Jammeh

    Jeshi la Gambia latangaza kumuunga mkono Rais Yahya Jammeh

    Jan 05, 2017 04:52

    Kamanda wa Jeshi la Gambia ametoa ujumbe akitangaza uungaji mkono kamili wa jeshi la nchi hiyo kwa Rais Yahya Jammeh ambaye amekataa kukabidhi madaraka ya nchi kwa njia ya amani baada ya kushindwa katika uchaguzi wa rais uliofanyika nchini humo mwezi uliopita.

  • Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Gambia akimbia nchi baada ya kutishiwa maisha

    Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Gambia akimbia nchi baada ya kutishiwa maisha

    Jan 04, 2017 07:10

    Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini Gambia amekimbia nchi akihofiwa usalama wake.

  • Mshindi wa uchaguzi nchini Gambia aitaka jumuiya ya ECOWAS  imuondoe Jameh

    Mshindi wa uchaguzi nchini Gambia aitaka jumuiya ya ECOWAS imuondoe Jameh

    Jan 03, 2017 13:48

    Mshindi wa uchaguzi wa rais uliomalizika hivi karibuni nchini Gambia, ameitaka Jumuiya ya Uchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika ECOWAS kutumia uwezo wake katika kumkinaisha Yahya Jammeh kukubali matokeo.

  • Gambia yafunga vituo viwili vya radio katika mgogoro wa baada ya uchaguzi

    Gambia yafunga vituo viwili vya radio katika mgogoro wa baada ya uchaguzi

    Jan 03, 2017 02:31

    Maafisa wa usalama Gambia wamefunga vituo viwili vya radio binafsi karibu na mji mkuu Banjul huku nchi hiyo ikikumbwa na mgogoro wa baada ya uchaguzi.

  • Kuendelea juhudi za kumshawishi Jammeh akabidhi madaraka kwa amani Gambia

    Kuendelea juhudi za kumshawishi Jammeh akabidhi madaraka kwa amani Gambia

    Dec 29, 2016 02:44

    Mivutano ya kisiasa ya baada ya uchaguzi wa rais nchini Gambia ingali inaendelea huku Mahakama Kuu ya nchi hiyo ikisubiriwa kutangaza uamuzi wake kuhusiana na malalamiko yaliyowasilishwa na Rais Yahya Jammeh ya kupinga matokeo ya uchaguzi huo.

  • Umoja wa Mataifa wamtaka Jammeh akabidhi madaraka Gambia

    Umoja wa Mataifa wamtaka Jammeh akabidhi madaraka Gambia

    Dec 23, 2016 07:37

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemtaka Rais wa Gambia amkabidhi madaraka kwa amani Rais mteule wa nchi hiyo.

  • Mahakama Gambia kusikiza kesi ya uchaguzi Januari 10

    Mahakama Gambia kusikiza kesi ya uchaguzi Januari 10

    Dec 22, 2016 06:56

    Mahakama ya Kilele ya Gambia imeakhirisha hadi Januari 10 mwakani kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais iliyowasilishwa na Rais Yahya Jammeh anayetaka matokeo ya uchaguzi yabatilishwe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS