Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Gambia

  • Upinzani Gambia: Jammeh atageuka na kuwa kiongozi wa waasi nchini

    Upinzani Gambia: Jammeh atageuka na kuwa kiongozi wa waasi nchini

    Dec 19, 2016 07:38

    Upinzani nchini Gambia umemtahadharisha Yahya Jammeh, rais wa nchi hiyo aliyekataa matokeo ya uchaguzi mkuu wa hivi karibuni kuwa yumkini akageuka na kuwa kiongozi wa waasi akiendelea kung'ang'ania madaraka.

  • Uwezekano wa Jammeh kuondolewa kwenye kiti cha urais kwa nguvu za kijeshi

    Uwezekano wa Jammeh kuondolewa kwenye kiti cha urais kwa nguvu za kijeshi

    Dec 17, 2016 07:17

    Rais wa Senegal amesema kuna uwezekano rais wa Gambia kuondolewa kwa nguvu za jeshi katika kiti cha urais baada ya kukataa kukubali kushindwa katika uchaguzi.

  • UN yataka Jeshi la Gambia liondoke katika jengo la tume ya uchaguzi

    UN yataka Jeshi la Gambia liondoke katika jengo la tume ya uchaguzi

    Dec 15, 2016 04:34

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeondoka Ban Ki-moon amesema amefedheheshwa na hatua ya jengo la tume huru ya uchaguzi nchini Gambia IEC, kuwekwa chini ya ulinzi wa jeshi la nchi hiyo.

  • Mafunzo ya Qur'ani katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Gambia

    Mafunzo ya Qur'ani katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Gambia

    Dec 15, 2016 04:30

    Kituo cha Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Gambia (GQMC) kinachofungamana na Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Intaneti cha Gambia kimeandaa masomo ya kuhifadhi Qur'ani kupitia intaneti kwa lengo la kutoa mafunzo kwa Waislamu kona zote za dunia.

  • Ellen Sirleaf: Yahya Jammeh hayuko tayari kuachia madaraka

    Ellen Sirleaf: Yahya Jammeh hayuko tayari kuachia madaraka

    Dec 14, 2016 07:37

    Wakuu wa nchi za magharibi mwa Afrika ambao wamefanya safari huko Gambia kwa lengo la kusuluhisha mgogoro wa ndani uliojitokeza, jana walitangaza kuwa jitihada zao za kumshawishi Yahya Jammeh akabidhi madaraka bado hazijazaa matunda.

  • Timu ya upatanishi yaelekea Gambia kusuluhisha mzozo wa urais

    Timu ya upatanishi yaelekea Gambia kusuluhisha mzozo wa urais

    Dec 13, 2016 08:13

    Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf anaongoza timu ya upatanishi inayotazamiwa kuelekea nchini Gambia hii leo kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa uongozi ulioibuka nchini humo, baada ya Rais Yahya Jammeh kupinga matokoe ya uchaguzi wa rais.

  • Kuendelea kutokota mvukuto wa kisiasa nchini Gambia

    Kuendelea kutokota mvukuto wa kisiasa nchini Gambia

    Dec 13, 2016 02:46

    Askari wa vikosi vya usalama nchini Gambia wamesambazwa kwenye maeneo ya mji mkuu Banjul kufuatia hatua ya Rais wa nchi hiyo Yahya Jammeh kukataa matokeo yanayoonesha kuwa alishindwa katika uchaguzi wa rais uliofanyika tarehe mosi ya mwezi huu wa Desemba.

  • Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zamtaka Yahya Jammeh akubali matokeo ya uchaguzi

    Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zamtaka Yahya Jammeh akubali matokeo ya uchaguzi

    Dec 11, 2016 08:11

    Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zimemtaka Rais Yahya Jammeh wa Gambia kukubali matokeo ya uchaguzi wa Rais uliofanyika nchini humo mwanzoni mwa mwezi huu na hivyo kuandaa mazingira ya kukabidhi madaraka kwa njia ya Amani na ya kidemokrasia.

  • Ndege ya Rais wa Liberia yazuiwa kutua Gambia, Yahya Jammeh apinga matokeo

    Ndege ya Rais wa Liberia yazuiwa kutua Gambia, Yahya Jammeh apinga matokeo

    Dec 10, 2016 15:28

    Mamlaka za Gambia zimetangaza kuizuia kutua nchini humo ndege ya Rais Ellen Sirleaf Johnson ambaye pia ni Mwenyekiti wa hivi sasa wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika ECOWAS.

  • Yahya Jammeh kukabidhi madaraka mwezi Januari

    Yahya Jammeh kukabidhi madaraka mwezi Januari

    Dec 05, 2016 15:26

    Yahya Jammeh Rais wa Gambia aliyeangushwa katika uchaguzi wa rais uliofanyika hivi karibuni nchini humo angali yupo nchini humo na atakabidhi madaraka kwa rais mteule, Adama Barrow mwezi Januari mwakani. Hayo yameelezwa na Waziri wa Mawasiliano wa Gambia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS