-
Upinzani Gambia: Jammeh atageuka na kuwa kiongozi wa waasi nchini
Dec 19, 2016 07:38Upinzani nchini Gambia umemtahadharisha Yahya Jammeh, rais wa nchi hiyo aliyekataa matokeo ya uchaguzi mkuu wa hivi karibuni kuwa yumkini akageuka na kuwa kiongozi wa waasi akiendelea kung'ang'ania madaraka.
-
Uwezekano wa Jammeh kuondolewa kwenye kiti cha urais kwa nguvu za kijeshi
Dec 17, 2016 07:17Rais wa Senegal amesema kuna uwezekano rais wa Gambia kuondolewa kwa nguvu za jeshi katika kiti cha urais baada ya kukataa kukubali kushindwa katika uchaguzi.
-
UN yataka Jeshi la Gambia liondoke katika jengo la tume ya uchaguzi
Dec 15, 2016 04:34Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeondoka Ban Ki-moon amesema amefedheheshwa na hatua ya jengo la tume huru ya uchaguzi nchini Gambia IEC, kuwekwa chini ya ulinzi wa jeshi la nchi hiyo.
-
Mafunzo ya Qur'ani katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Gambia
Dec 15, 2016 04:30Kituo cha Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Gambia (GQMC) kinachofungamana na Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Intaneti cha Gambia kimeandaa masomo ya kuhifadhi Qur'ani kupitia intaneti kwa lengo la kutoa mafunzo kwa Waislamu kona zote za dunia.
-
Ellen Sirleaf: Yahya Jammeh hayuko tayari kuachia madaraka
Dec 14, 2016 07:37Wakuu wa nchi za magharibi mwa Afrika ambao wamefanya safari huko Gambia kwa lengo la kusuluhisha mgogoro wa ndani uliojitokeza, jana walitangaza kuwa jitihada zao za kumshawishi Yahya Jammeh akabidhi madaraka bado hazijazaa matunda.
-
Timu ya upatanishi yaelekea Gambia kusuluhisha mzozo wa urais
Dec 13, 2016 08:13Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf anaongoza timu ya upatanishi inayotazamiwa kuelekea nchini Gambia hii leo kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa uongozi ulioibuka nchini humo, baada ya Rais Yahya Jammeh kupinga matokoe ya uchaguzi wa rais.
-
Kuendelea kutokota mvukuto wa kisiasa nchini Gambia
Dec 13, 2016 02:46Askari wa vikosi vya usalama nchini Gambia wamesambazwa kwenye maeneo ya mji mkuu Banjul kufuatia hatua ya Rais wa nchi hiyo Yahya Jammeh kukataa matokeo yanayoonesha kuwa alishindwa katika uchaguzi wa rais uliofanyika tarehe mosi ya mwezi huu wa Desemba.
-
Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zamtaka Yahya Jammeh akubali matokeo ya uchaguzi
Dec 11, 2016 08:11Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zimemtaka Rais Yahya Jammeh wa Gambia kukubali matokeo ya uchaguzi wa Rais uliofanyika nchini humo mwanzoni mwa mwezi huu na hivyo kuandaa mazingira ya kukabidhi madaraka kwa njia ya Amani na ya kidemokrasia.
-
Ndege ya Rais wa Liberia yazuiwa kutua Gambia, Yahya Jammeh apinga matokeo
Dec 10, 2016 15:28Mamlaka za Gambia zimetangaza kuizuia kutua nchini humo ndege ya Rais Ellen Sirleaf Johnson ambaye pia ni Mwenyekiti wa hivi sasa wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika ECOWAS.
-
Yahya Jammeh kukabidhi madaraka mwezi Januari
Dec 05, 2016 15:26Yahya Jammeh Rais wa Gambia aliyeangushwa katika uchaguzi wa rais uliofanyika hivi karibuni nchini humo angali yupo nchini humo na atakabidhi madaraka kwa rais mteule, Adama Barrow mwezi Januari mwakani. Hayo yameelezwa na Waziri wa Mawasiliano wa Gambia.