Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Gambia

  • Rais mteule wa Gambia kuangalia upya suala la kujiondoa ICC

    Rais mteule wa Gambia kuangalia upya suala la kujiondoa ICC

    Dec 04, 2016 15:06

    Adama Barrow, Rais mteule wa Gambia amesema atatengue uamuzi wa mtangulizi wake aliyembwaga katika uchaguzi wa siku chache zilizopita Yahya Jammeh wa kuiondoa nchi hiyo katika Mkataba wa Roma uliobuni Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Mgombea wa upinzani ashinda kiti cha Urais Gambia

    Mgombea wa upinzani ashinda kiti cha Urais Gambia

    Dec 04, 2016 03:11

    Adama Barrow, mgombea wa muungano wa upinzani nchini Gambia amembwaga Rais wa nchi hiyo Yahya Jammeh katika uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ambao matokeo yake hayakutarajiwa.

  • Yahyah Jammeh  ashindwa vibaya katika uchaguzi wa rais Gambia

    Yahyah Jammeh ashindwa vibaya katika uchaguzi wa rais Gambia

    Dec 02, 2016 15:44

    Rais Yahyah Jammeh wa Gambia amekiri kushindwa katika uchaguzi wa rais nchini humo na kwa msingi huo kuhitimisha utawala wake wa miaka 22 katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Uchaguzi wa Gambia unafanyika leo, Rais Jammeh anawania kipindi cha tano cha uongozi

    Uchaguzi wa Gambia unafanyika leo, Rais Jammeh anawania kipindi cha tano cha uongozi

    Dec 01, 2016 04:36

    Wananchi wa Gambia waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanaelekea katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kumchagua Rais wa nchi hiyo.

  • Gambia yaizuia timu ya waangalizi wa uchaguzi wa EU nchini humo

    Gambia yaizuia timu ya waangalizi wa uchaguzi wa EU nchini humo

    Nov 19, 2016 07:51

    Serikali ya Gambia imekataa kuruhusu timu ya waangalizi wa uchaguzi wa Umoja wa Ulaya EU kuingia nchini humo kwa ajili ya kufuatilia uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mapema mwezi ujao.

  • UN yaainisha tarehe ya kujiondoa rasmi Gambia ICC

    UN yaainisha tarehe ya kujiondoa rasmi Gambia ICC

    Nov 15, 2016 07:50

    Umoja wa Mataifa umetangaza tarehe ya kujiondoa rasmi Gambia katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • HRW: Rais wa Gambia anawatesa wapinzani na wakosoaji wake

    HRW: Rais wa Gambia anawatesa wapinzani na wakosoaji wake

    Nov 03, 2016 03:54

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch linamtuhumu Rais wa Gambia Yahya Jammeh kuwa anawakandamiza na kuwatesa wapinzani na wakosoaji wake na kwamba yumkini uchaguzi mkuu ujao wa Disemba Mosi usiwe huru na wa haki.

  • Gambia nayo yatangaza azma yake ya kujiondoa ICC

    Gambia nayo yatangaza azma yake ya kujiondoa ICC

    Oct 26, 2016 14:56

    Gambia imejiunga na nchi kadhaa za Afrika zilizotangaza azma yao ya kujiondoa katika Mkataba wa Roma uliobuni Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Wapinzani Gambia wamtangaza mgombea kiti cha urais

    Wapinzani Gambia wamtangaza mgombea kiti cha urais

    Sep 03, 2016 03:20

    Chama kikubwa zaidi cha upinzani nchini Gambia kimemtangaza mgombea wake atakayechuana na Rais wa muda mrefu wa nchi hiyo, Yahya Jammeh katika uchaguzi wa rais mwezi Desemba.

  • Mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yaanza nchini Gambia

    Mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yaanza nchini Gambia

    Jul 27, 2016 13:59

    Mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yameanza nchini Gambia kwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa nchi 28.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS