Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Tovuti ya Uingereza: Utawala wa Marekani ni kipofu kiasi kwamba unamhami mtu kama Netanyahu

    Tovuti ya Uingereza: Utawala wa Marekani ni kipofu kiasi kwamba unamhami mtu kama Netanyahu

    Jul 29, 2024 22:59

    "Kuporomoka kwa dola kunakuwa jambo lisiloepukika mara tu watawala wake wanapopoteza kabisa hisia za jinsi walivyokuwa wapuuzi na wa kutisha", hivi ndivyo ilivyoandika tovuti ya Uingereza ya Middle East Eye ikizungumzia fedheha kubwa ya Congress ya Marekani ya kumkaribisha na kumpigia makofi nduli na Adolf Hitler wa zama hizi, Benjamin Netanyahu, anayeendelea kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • 62% ya Wazayuni wanataka vita dhidi ya Ghaza vikomeshwe

    62% ya Wazayuni wanataka vita dhidi ya Ghaza vikomeshwe

    Jul 27, 2024 08:57

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa na chaneli ya 12 televisheni ya Israel yanaonyesha kuwa asilimia 62 ya Wazayuni wanataka kukomeshwa vita dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

  • Maandamano dhidi ya utawala katili wa Israel yanaendelea sambamba na kuanza Michezo ya Olimpiki ya Paris

    Maandamano dhidi ya utawala katili wa Israel yanaendelea sambamba na kuanza Michezo ya Olimpiki ya Paris

    Jul 27, 2024 08:00

    Katika mkesha wa kuanza Michezo ya Olimpiki ya mwaka huu wa 2024 nchini Ufaransa, upinzani wa kimataifa dhidi ya ushiriki wa timu ya utawala wa Kizayuni katika michezo hiyo umeongezeka ambapo kampeni ya "Hakuna Olimpiki, Hakuna Mauaji" kwa ajili ya kuiondoa Israel katika mashindano hayo ya kimataifa ingali inaendelea.

  • Hatimaye utawala wa Kizayuni wakiri kuwa umeua mateka wake Ghaza

    Hatimaye utawala wa Kizayuni wakiri kuwa umeua mateka wake Ghaza

    Jul 23, 2024 03:02

    Baada ya siku 290 za vita, hatimaye jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limekiri kuwa makumi ya mateka wa Kizayuni wameuliwa katika ukanda wa Ghaza na askari wa utawala huo.

  • Holocaust ya kukaririwa kila siku huko Gaza

    Holocaust ya kukaririwa kila siku huko Gaza

    Jul 17, 2024 00:13

    Wazayuni wenye itikadi kali za kufurutu ada wanaotawala huko Tel Aviv, wakiongozwa na Benjamin Netanyahu, licha ya kushindwa kufikia malengo yao ya kijeshi katika Ukanda wa Gaza, wanaendelea kufanya mauaji mapya ya holocaust kila siku katika ukanda huo.

  • Umoja wa Ulaya wasisitiza udharura wa kusitishwa vita katika Ukanda wa Gaza

    Umoja wa Ulaya wasisitiza udharura wa kusitishwa vita katika Ukanda wa Gaza

    Jul 12, 2024 22:43

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza ni mbaya na isiyovumilika.

  • Shirika la UNRWA laonya kuhusu uhaba wa bidhaa za chakula Gaza

    Shirika la UNRWA laonya kuhusu uhaba wa bidhaa za chakula Gaza

    Jun 28, 2024 03:48

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limeonya kuhusiana na uhaba mkubwa wa bidhaa za chakula unaolikabili eneo la Ukanda wa Gaza, Palestina.

  • Afisa wa Marekani aliyejiuzulu: Wanajeshi wa Marekani wanashiriki katika vita vya Israel huko Gaza

    Afisa wa Marekani aliyejiuzulu: Wanajeshi wa Marekani wanashiriki katika vita vya Israel huko Gaza

    Jun 26, 2024 23:29

    Afisa aliyejiuzulu kutoka Shirika la Ujasusi la Ulinzi la Marekani, Meja Harrison Mann, amesema kuwa vita vilivyoanzishwa na Israel katika Ukanda wa Gaza havingeweza kuendelea hadi leo bila msaada usio na kikomo wa Marekani, akisisitiza kwamba wanajeshi wa Marekani wanapigana katika kuilinda Israel.

  • Ripoti: Gaza inakabiliwa na hatari kubwa ya njaa

    Ripoti: Gaza inakabiliwa na hatari kubwa ya njaa

    Jun 26, 2024 03:53

    Eneo la Ukanda wa Gaza linakabiliwa na hatari kubwa ya baa la njaa ikiwa ni matokeo ya hujuma na mashambulio ya kinyama ya utawala ghasibu wa Israel.

  • Kuendelea mivutano kati ya Netanyahu na jeshi la Kizayuni

    Kuendelea mivutano kati ya Netanyahu na jeshi la Kizayuni

    Jun 25, 2024 08:51

    Vita vya Gaza vimeingia katika mwezi wa tisa huku mizozo na mivutano kati ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, na maafisa wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni ikiendelea kushika kasi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS