-
Safari ya Zarif katika nchi za eneo; ujumbe wa kudhamini usalama wa eneo kupitia mpango wa "Amani ya Hormuz"
May 01, 2021 02:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amefanya safari katika nchi za eneo hili la Ghuba ya Uajemi, ambapo kwa kuanzia alielekea Qatar na kisha akazitembelea Iraq, Oman na Kuwait; ajenda kuu ya mazungumzo yake na viongozi wa nchi hizo ikiwa ni kubadilishana mawazo kuhusu namna ya kustawisha uhusiano wa pande mbili, pamoja na kujenga ushirikiano wa pamoja wa kudhamini amani na usalama wa eneo hili.
-
Iran: Tunafuatilia kwa karibu nyendo za Marekani katika Ghuba ya Uajemi
Jan 04, 2021 15:48Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Tehran inafuatilia kwa jicho la karibu nyendo na harakati za kutilia shaka za Marekani katika eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Kuwait: Jukumu la usalama wa Ghuba ya Uajemi ni la nchi zote za eneo hilo
Dec 15, 2020 11:34Waziri Mkuu wa Kuwait amesema kuwa, suala la kulinda usalama wa Ghuba ya Uajemi ni jukumu la nchi zote za eneo hilo na hakuna nchi yoyote inayoweza kujivua na jukumu hilo.
-
Kupasishwa na Seneti ya Marekani uamuzi wa kuiuzia silaha za kisasa Imarati
Dec 11, 2020 02:56Marekani daima imekuwa ikitumia porojo kulioonesha eneo la Asia Magharibi kwamba, linakabiliwa na ukosefu wa amani na kueneza chuki dhidi ya Iran sambamba na kuionyesa mbele ya macho ya mataifa ya eneo hili kwamba, ni tishio ili kwa njia hiyo ijiandalie uwanja wa kuziuzia silaha nchi za Ukanda wa kusini mwa Ghuba ya Uajemi.
-
Meja Jenerali Salami: Ghuba ya Uajemi ni ngome imara ya kujilinda Iran ya Kiislamu
Nov 19, 2020 11:15Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema kuwa Ghuba ya Uajemi ni ukanda wenye nguvu wa kuilinda Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na ni makutano ya makabilianao baina ya madola.
-
Kikao cha Baraza la Usalama la UN kuhusu usalama wa Ghuba ya Uajemi
Oct 21, 2020 12:18Eneo la Ghuba ya Uajemi ambalo ni miongoni mwa maeneo ya kistratijia ya dunia na yenye umuhimu mkubwa katika soko la kimataifa la masuala ya uchumi na nishati. Kwa kuzingatia uhakika huo usalama wa eneo hilo muhimu la majini daima umekuwa ukipewa mazingatio makubwa katika taasisi za Umoja wa Mataifa.
-
Waziri wa Ulinzi: Iran iko tayari kusaini mkataba wa kijeshi na nchi za pembezoni mwa Ghuba ya Uajemi
Oct 20, 2020 02:35Waziri wa Ulinzi wa Iran amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kusaini mikataba ya masuala ya kijeshi na usalama na nchi za pembezoni mwa Ghuba ya Uajemi.
-
Mazoezi ya kijeshi ya Dhulfiqar-99 na azma ya kuimarisha amani na usalama
Sep 11, 2020 04:43Vikosi vya jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimeanza mazoezi makubwa ya kijeshi katika eneo la maji ya mashariki mwa Lango Bahari la Hormuz, pwani ya Makran, Bahari ya Oman na kaskazini mwa Bahari ya Hindi.
-
Safari ya Mike Pompeo kusini mwa Ghuba ya Uajemi na kukaririwa madai yasiyo na msingi wowote
Aug 28, 2020 06:29Marekani daima ikiwa na lengo la kuendeleza uwepo wake wa kijiopolitiki katika eneo la Ghuba ya Uajemi imekuwa ikitumia vizingizio visivyokuwa na maana hususan kupiga kwake ngoma ya kueneza chuki chidi ya Iran.
-
Qatar yatoa masharti ya kushiriki kwenye mazungumzo ya kutatua mgogoro wa Ghuba ya Uajemi
Jun 08, 2020 12:09Mwakilishi wa Kudumu wa Qatar katika Umoja wa Mataifa amesiistiza kuwa nchi hiyo iko tayari kufanya mazungumzo kuhusu kuupatia ufumbuzi mgogoro wa eneo la Ghuba ya Uajemi kwa sharti kuwa mazungumzo hayo yawe katika fremu ya kuheshimu mamlaka ya kitaifa ya Qatar na kutoingiliwa masuala yake ya ndani.