-
Radiamali ya al Abadi kwa madai ya baadhi ya taasisi dhidi ya wanajeshi wa nchi hiyo
Jul 13, 2017 15:03Waziri Mkuu wa Iraq amekadhibisha madai ya baadhi ya taasisi za kimataifa eti za kutetea haki za binadamu zinazoeneza uvumi kuwa vikosi vya Iraq vilivunja haki za binadamu katika oparesheni ya kuukomboa mji wa Mosul.
-
Rais Rouhani aipongeza Iraq kwa kuwatimua magaidi wa ISIS kutoka Mosul
Jun 30, 2017 14:00Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameipongeza Iraq kufuatia mafanikio ya kukombolewa mji wa Mosul ambao ulikuwa unakaliwa kwa mabavu na kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
-
Haider al-Abadi: Ukurasa wa Daesh mjini Mosul umefungwa
Jun 27, 2017 15:38Saa chache baada ya kuenea habari juu ya kushindwa kikamilifu magaidi wa Daesh (ISIS) katika ngome yao ya mwisho kwenye maeneo ya mji mkongwe wa Mosul, Waziri Mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi amesema kuwa, muda wa kutangazwa kukombolewa kikamilifu mji huo umekaribia na faili la Daesh limefungwa nchini Iraq.
-
Spika Larijani: Kugawanywa Iraq ndilo takwa la utawala wa Kizayuni wa Israel
Jun 21, 2017 13:57Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya kudumishwa umoja wa Iraq na kubainisha kwamba, kugawanywa nchi hiyo ya Kiarabu ndilo takwa hasa la utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Onyo la Waziri Mkuu wa Iraq juu ya njama za kimataifa dhidi ya taifa hilo
May 21, 2017 03:55Akizungumza mbele ya waandishi wa habari mjini Baghdad hapo siku ya Ijumaa Haider al-Abad, Waziri Mkuu wa lraq alikosoa vikali hatua ya kufanyika mwezi mmoja uliopita vikao vya eti kujadili mustakbali wa lraq huko mjini Geneva Uswisi kwa ubunifu wa Marekani na vilevile mjini lstanbul kwa ubunifu wa Uturuki.
-
Waziri Mkuu wa Iraq aonya kuhusu kura ya maoni ya kujitangazia uhuru eneo la Kurdistan
Apr 03, 2017 07:35Waziri Mkuu wa Iraq Haidar al-Abadi ametoa onyo kwa hatua zinazochukuliwa na eneo la nchi hiyo la Kurdistan za kutaka kuitisha kura ya maoni ya kujitangazia uhuru.
-
Al-Abadi asisitiza kukaribia ushindi dhidi ya ISIS nchini Iraq, Trump ajikosha
Mar 31, 2017 04:03Waziri Mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi amesema kuwa ushindi dhidi ya kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh unakaribia.
-
Safari ya Waziri Mkuu wa Iraq nchini Marekani; wasiwasi na matarajio yaliyopo
Mar 20, 2017 13:18Waziri Mkuu wa Iraq, Haidar al-Abadi, huku akiongoza ujumbe wa ngazi ya juu wa nchi yake jana alielekea mjini Washington kwa lengo la kufanya safari rasmi nchini Marekani.
-
Waziri Mkuu wa Iraq: Daesh hawana njia isipokuwa kujisalimisha au kuuliwa
Mar 08, 2017 03:19Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa wapiganaji wa kundi la kigaidi la Daesh hawana njia nyingine isipokuwa kujisalimisha au kuuawa.
-
Iraq: Uturuki imeahidi kuondoa askari wake nchini mwetu
Jan 08, 2017 03:11Waziri Mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi amesema kuwa serikali ya Uturuki imeahidi kuondoa askari wake katika eneo la kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.