Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • Mashirika 62 ya haki za binadamu yaishitaki Saudia kwa jinai zake nchini Yemen

    Mashirika 62 ya haki za binadamu yaishitaki Saudia kwa jinai zake nchini Yemen

    Sep 01, 2017 22:01

    Muungano wa kimataifa wa mashirika ya haki za binadamu yasiyo ya kiserikali yameutaka Umoja wa Mataifa kuunda kamati huru ya kuchunguza jinai za kivita na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na utawala wa kiimla wa Saudi Arabia nchini Yemen

  • HRW: Vikosi vya Saudia vimeuzingiria kikamilifu mji wa al-Awamiya

    HRW: Vikosi vya Saudia vimeuzingiria kikamilifu mji wa al-Awamiya

    Aug 13, 2017 09:16

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limefichua kuwa vikosi vya usalama vya utawala wa kifalme wa Aal-Saud vimeuzingira kikamilifu mji wa al-Awamiya, ulioko mashariki mwa Saudi Arabia.

  • Ukosoaji wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na hali ya haki za binadamu nchini Yemen

    Ukosoaji wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na hali ya haki za binadamu nchini Yemen

    Jul 28, 2017 02:27

    Baada ya miaka miwili na nusu ya mashambulio ya kijeshi ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen, hatimaye ujumbe wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa umefanya safari nchini Yemen ili kujionea kwa karibu hali mbaya ya kibinadamu inayotawala nchini humo.

  • Rouhani: Marekani haiwezi kusimamia haki za binadamu na uthabiti duniani

    Rouhani: Marekani haiwezi kusimamia haki za binadamu na uthabiti duniani

    Jul 19, 2017 10:00

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Marekani kwa kupuuza na kukanyaga makubaliano ya kimataifa iliyoyatia saini yakiwemo makubaliano kati yake na Paris, Cuba, Amerika ya kaskazini na Asia ya Mashariki haiwezi kusimamia haki za binadamu, sheria,amani na usalama duniani.

  • Serikali ya Myanmar yakataa kutoa viza kwa ujumbe wa UN kuchunguza hali ya Waislamu

    Serikali ya Myanmar yakataa kutoa viza kwa ujumbe wa UN kuchunguza hali ya Waislamu

    Jul 13, 2017 03:31

    Wanaharakati wa haki za binaadamu wametangaza kuwa, serikali ya Myanmar imekataa kutoa viza kwa timu ya wachunguzi wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kwenda kuchunguza hali ya Waislamu wa Rohingya nchini humo.

  • Hali ya haki za binadamu Sudan yazidi kukosolewa

    Hali ya haki za binadamu Sudan yazidi kukosolewa

    Jul 09, 2017 09:32

    Duru mbalimbali zinaripoti kuwa, faili la hali ya haki za binadamu na uhuru nchini Sudan limezusha utata mkubwa, na kwamba serikali ya nchi hiyo sasa inaandamwa vikali na jumuiya za kiraia na kimataifa.

  • Mkutano wa kimataifa wa

    Mkutano wa kimataifa wa "Marekani, Haki za Binadamu na Ubeberu" waanza Tehran

    Jul 02, 2017 03:40

    Kongamano la Kimataifa la Marekani, Haki za Binadamu na Ubeberu limeanza mapema leo mjini Tehran likihudhuriwa na wataalamu wa hapa nchini na kutoka nje ya nchi nchi.

  • Serikali ya Misri yatuhumiwa kuua raia katika vituo vya jeshi

    Serikali ya Misri yatuhumiwa kuua raia katika vituo vya jeshi

    Jun 24, 2017 00:10

    Kituo kimoja cha Kiafrika kimeituhumu serikali ya Misri kuwa inaendelea kuwateka nyara, kuwatesa na kuwaua wapinzani wa kisiasa.

  • Qatar yaomba msaada wa Umoja wa Mataifa

    Qatar yaomba msaada wa Umoja wa Mataifa

    Jun 17, 2017 11:03

    Mkuu wa Kamati ya Taifa ya Haki za Binadamu ya Qatar katika ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi ameuomba umoja huo uingilie kati na kutatua mgogoro ulioanzishwa na Saudia, Imarati, Bahrain na Misri dhidi ya nchi yake.

  • Kituo cha Haki za Binadamu cha Bahrain chakosoa utendaji haribifu wa utawala wa Aal Khalifa

    Kituo cha Haki za Binadamu cha Bahrain chakosoa utendaji haribifu wa utawala wa Aal Khalifa

    Jun 07, 2017 11:04

    Kituo cha Haki za Binadamu nchini Bahrain kimekosoa na kulaani utendaji wa utawala wa Kifalme wa nchi hiyo wa Aal Khalifa na kutoa wito wa kusitishwa utendaji huo haribifu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS