Oct 25, 2017 07:26
Katibu wa Tume ya Haki za Binadamu ya Idara ya Mahakama nchini Iran amesema kuwa nchi zinazodai kutetea haki za binadamu ikiwemo Marekani zina faili chafu sana katika uwanja wa haki za binadamu na mikono yao imejaa damu za watu wa eneo la Mashariki ya Kati hususan huko Yemen, Iraq, Bahrain na Syria.