Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Hizbullah: Israel itashtushwa mno na uwezo wetu wa kijeshi iwapo itatuchokoza

    Hizbullah: Israel itashtushwa mno na uwezo wetu wa kijeshi iwapo itatuchokoza

    Jul 14, 2017 09:48

    Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon, amesema kuwa, iwapo utawala wa Kizayuni utaanzisha vita vyovyote dhidi ya harakati hiyo, Tel Aviv itashangazwa na uwezo mkubwa wa kijeshi wa wanamapambano wa Hizbullah.

  • Hizbullah: Kufeli mradi wa ugaidi katika eneo kunatokana na miongozo ya Kiongozi Muadhamu

    Hizbullah: Kufeli mradi wa ugaidi katika eneo kunatokana na miongozo ya Kiongozi Muadhamu

    Jul 13, 2017 03:18

    Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon, amesema kuwa kushindwa mradi kabambe wa makundi ya ukufurishaji na Kiwahabi katika eneo la Mashariki ya Kati, kumetokana na mafundisho bora ya Imamu Ruhullah Komein (MA) Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na pia miongozo ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei.

  • Hizbullah: Marekani na EU zinazuia wakimbizi wa Syria kurejea nchini kwao

    Hizbullah: Marekani na EU zinazuia wakimbizi wa Syria kurejea nchini kwao

    Jul 08, 2017 03:25

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani na Umoja wa Ulaya zimekuwa zikizuia wakimbizi wa Syria kurejea nchini kwao.

  • Hizbullah: Mpango wa matakfiri Mashariki ya Kati unasambaratika

    Hizbullah: Mpango wa matakfiri Mashariki ya Kati unasambaratika

    Jun 28, 2017 02:48

    Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, hali ya kisiasa inayotawala hivi sasa katika eneo la Mashariki ya Kati ni kwa manufaa ya mhimili wa muqawama na kwamba, mpango wa matakfiri umo katika katika hali ya kusambaratika.

  • Makombora ya Hizbullah ndio tishio kubwa zaidi kwa utawala wa Kizayuni

    Makombora ya Hizbullah ndio tishio kubwa zaidi kwa utawala wa Kizayuni

    May 31, 2017 03:21

    Waziri wa zamani wa vita wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema makombora ya harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah ndio hatari kubwa zaidi inayoukabili utawala huo ghasibu.

  • Hizbullah: Iran ni nembo ya izza na uhuru

    Hizbullah: Iran ni nembo ya izza na uhuru

    May 23, 2017 21:50

    Naibu Katibu Mkuu wa Hibzullah ya Lebanon amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni nembo ya izza na ukombozi duniani.

  • Njama za Marekani dhidi ya Hizbullah kwa msaada wa Umoja wa Mataifa

    Njama za Marekani dhidi ya Hizbullah kwa msaada wa Umoja wa Mataifa

    May 17, 2017 01:49

    Ripoti mbalimbali zinaeleza kuwa kuna njama za kila upande zinazopangwa dhidi ya muqawama wa Lebanon, ambapo hivi karibuni kikao cha siri cha upangaji njama hizo dhidi ya harakati ya Hizbullah kimefanyika mjini Washington, Marekani na kuhudhuriwa na nchi za Kiarabu za eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • Hizbullah yakosoa kimya cha nchi za Kiarabu juu ya Wafungwa wa Palestina

    Hizbullah yakosoa kimya cha nchi za Kiarabu juu ya Wafungwa wa Palestina

    May 03, 2017 02:31

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa vikali hatua ya nchi za Kiarabu kufumbia macho masaibu yanayowakabili mamia ya wafungwa wa Palestina ambao kwa sasa wamesusia kula chakula katika jela za utawala haramu wa Israel.

  • Hizbullah yatoa radiamali na kukosoa Hati mpya ya Kisiasa ya Hamas

    Hizbullah yatoa radiamali na kukosoa Hati mpya ya Kisiasa ya Hamas

    May 02, 2017 23:16

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa muqawama usiopigania kukomboa ardhi yote ya kihistoria ya Palestina hauwezi kuwa na tija wala faida yoyote.

  • Iran, Hizbullah zalaani hujuma ya kigaidi mjini Damascus

    Iran, Hizbullah zalaani hujuma ya kigaidi mjini Damascus

    Mar 12, 2017 03:57

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyofanyika jana Jumamosi katika mji wa Damascus nchini Syria, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS