-
Hizbullah yalaani kuchinjwa mtoto Abdullah wa Kipalestina na magaidi wa Syria + Video
Jul 21, 2016 03:50Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali jinai ya kutisha iliyofanywa na kundi la kigaidi la Harakati ya Nureddin al-Zenki ya kumchinja mtoto wa Kipalestina.
-
Hizbullah: Saudia inazuia kufanyika uchaguzi wa rais Lebanon
Jun 28, 2016 03:07Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon ameikosoa vikali Saudi Arabia kwa kukwamisha mikakati ya kisiasa sambamba na kuzuia juhudi za kufanyika uchaguzi wa rais nchini Lebanon.
-
Vifaa vya ujasusi vya Israel vyanaswa na jeshi la Lebanon katika milima ya nchi hiyo
Jun 08, 2016 03:12Kamandi ya jeshi la Lebanon imetangaza kunasa na kusambaratisha mfumo wa kijasusi wa utawala haramu wa Kizayuni katika miinuko ya al-Barouk nchini humo.