-
Mamilioni ya wafuasi wa Ahlul-Bayt (as) washiriki maombolezo ya Ashura
Jul 16, 2024 11:37Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo wameshiriki katika maombolezo ya kumbukumbu ya Ashura ya kukumbuka siku ya kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (a.s).
-
Kiongozi wa Ansarullah: Imam Hussein (AS) alisimama kupambana ili kuuokoa Uislamu
Aug 09, 2022 02:54Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi amesema, Imam Hussein (AS) alisimama kupambana kwa ajili ya kuuokoa Uislamu na shari ya maadui.
-
Hujjatul Islam Akbari: Imam Hussein aliarifisha wazo la 'Muqawama' kwa waumini
Aug 05, 2022 12:24Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema Imam Hussein (AS) aliarifsha hoja ya muqawama kwa waumini wote wa Kiislamu, na kwamba mapambano ndiyo njia pekee ya kupata mafanikio.
-
Raisi: Kuuawa shahidi kidhulma Imam Hussein (AS) kunathibitisha umuhimu mkubwa wa kuamrisha mema na kukataza maovu katika dini ya Uislamu
Jul 31, 2022 03:39Rais Ebrahim Raisi amesema, kuuawa shahidi kidhulma Imam Hussein (AS) ni ithibati kwamba kuamrisha mema na kukataza maovu kuna umuhimu mkubwa katika dini ya Uislamu
-
Iran yaadhimisha kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Hussein (AS)
Mar 17, 2021 07:33Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeungana na ulimwengu wa Kiislamu hii leo kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Imam Hussein (AS), mjukuu wa Mtume wetu mtukufu Muhammad (SAW).
-
'Siku ya Hussein (as)' yaadhimishwa mjini New York, bendera ya Hussein (as) yapepea
Sep 09, 2019 08:18Waislamu wa mji wa New York nchini Marekani kutoka mataifa mbalimbali yakiwemo ya Iran, India, Pakistan na ya Kiafrika wamefanya maombolezo ya kukumbuka kifo cha Imam Hussein (as) mjukuu wa Mtume Mtukufu (saw), katika mtaa wa Manhattan.
-
Marasimu ya Kimataifa ya "Watoto Wanaonyonya wa Hussein" yafanyika katika nchi zaidi ya 40
Sep 06, 2019 08:13Marasimu ya Kimataifa kwa jina la "Watoto Wachanga Wanaonyonya wa Hussein a.s" yamefanyika leo Ijumaa katika zaidi ya maeneo elfu sita katika Iran ya Kiislamu na katika nchi 45 duniani sambamba na Ijumaa ya kwanza ya mwezi wa Muharram.
-
Arubaini ya Imam Husain AS, nembo ya umoja baina ya Iran na Iraq
Oct 26, 2018 13:38Maandamano ya mamilioni ya watu katika Arubaini ya Imam Husain AS na wajibu wa kuimarishwa kadiri inavyowezekana uhusiano wa Tehran na Baghdad ndiyo ajenda kuu ya mazungumzo ya simu yaliyofanywa baina ya mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Iraq.
-
Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Tukio la Ashuraa ni somo la kivitendo la jinsi ya kuishi
Sep 21, 2018 13:57Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa tukio la Ashuraa mwaka 61 Hijria katika ardhi ya Karbala ni somo la kivitendo la jinsi ya kuishi na kuongeza kuwa, Imam Hussein bin Ali (as) ni kigezo cha kuigwa na mataifa yote hususan mataifa ya Iran, Iraq, Syria, Yemen na Bahrain na amewafundisha wanadamu wote huru duniani jinsi ya kusimama kidete na kuwa na ari na ghera ya kulinda matukufu na thamani za kibinadamu.
-
Waombolezaji Iran, duniani wajitokeza kwa wingi kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS
Sep 20, 2018 07:35Mamilioni ya Waislamu katika nchi mbali mbali duniani wamejotokeza kwa mamilioni katika Siku ya Ashura kukumbuka siku alipouawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.