-
Tofauti ya Siku ya Quds ya mwaka huu na ya miaka iliyopita
Apr 03, 2024 02:13Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu inakaribia katika hali ambayo siku hiyo itakuwa tofauti kabisa na siku nyingie za Quds za karne hii ya 21.
-
Kasisi wa Kiafrika: Imam Khomeini (RA) alikuwa kiongozi mwenye nguvu na fikra ya kimataifa
Jun 04, 2023 06:19Kasisi wa Afrika Kusini ametangaza kwamba fikra za mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ayatullah Ruhullah Khomeini zilikuwa na taathira kubwa kwa watu na siasa nchini Iran na meneo menginezo ya dunia.
-
Mapitio ya barua ya kihistoria ya Imam Khomeini (MA) kwa Gorbachev
Sep 01, 2022 10:15Mikhail Gorbachev, kiongozi wa mwisho wa Muungano wa Jamhuri za Kisoshalisti za Sovieti (Union of Soviet Socialist Republics, USSR) alifariki dunia Jumanne usiku katika hospitali moja mjini Moscow, Russia akiwa na umri wa miaka 91 baada ya kuugua kwa muda mrefu.
-
Rais Raisi: Imam Khomeini (MA) aliwaamini wananchi
Aug 23, 2022 08:11Rais Ebrahim Raisi amesema, mtazamo wa Imam Khomeini (MA) kwa wananchi haukuwa mtazamo wa kiheshima tu, kwa sababu aliwaamini kiudhati wananchi na akisisitiza kuwa kutokana na imani juu ya Mwenyezi Mungu, kuwatumikia wananchi kunamfanya mtu awe karibu na Yeye Mola.
-
Wanaharakati wa Palestina watangaza upya utiifu wao kwa malengo ya Imam Khomeini MA
Jun 02, 2022 07:10Wanaharakati na wakuu wa mashirika ya wananchi ya kutetea taifa la Palestina hapa Iran wamefika katika Haram Takatifu ya Imam Khomeini-Mwenyezi Mungu Amrehemu- na kutangaza upya utiifu wao kwa malengo yake matukufu na pia kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika kadhia ya kuunga mkono taifa la Palestina.
-
Siku ya Kimataifa ya Quds; ubunifu wa kuhuisha kadhia ya Palestina
Apr 30, 2022 03:09Jana tarehe 29 Aprili ilisadifiana na mwezi 27 Ramadhani ambayo ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu, siku ambayo ni maalumu kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds.
-
Imam Khomeini alihuisha Uislamu na kuwapa Waislamu utambulisho
Feb 09, 2022 04:32Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Iran amesema hayati Imam Khomeini- Mwenyezi Mungu Amrehemu, muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alihuisha Uislamu na kuwapa Waislamu utambulisho
-
Wiki ya Imam Khomeini yaadhimishwa nchini Nigeria
Jun 08, 2021 02:52Wanafunzi Waislamu wa Vyuo Vikuu na taasisi za elimu ya juu za Nigeria wameandaa Wiki ya Imam Ruhullah Khomeini, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika jimbo la Bauchi, kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Taathira za fikra za Imam Khomeini MA katika eneo la Asia Magharibi
Jun 04, 2021 09:35Ijumaa ya leo ya tarehe 4 Juni imesadifiana na mwaka wa 32 wa kufariki dunia mwasisi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran. Moja ya maudhui muhimu zinazozungumziwa leo hii ni taathira za fikra na sira ya Imam Khomeini MA katika eneo zima la Asia Magharibi.
-
Rambirambi katika kumbukumbu ya kuaga dunia Imam Khomeini (MA) Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Jun 04, 2021 02:55Leo Ijumaa tarehe 14 Khordad mwaka 1400 Hijria Shamsiya sawa na 23 Shawwal 1442 Hijria Qamariya sawa Juni 4 2021 inasadifiana na mwaka wa 32 tokea alipoaga dunia Imam Khomeini-Mwenyezi Mungu Amrehemu-Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.