-
Rais wa zamani wa Tunisia: Saudia na Imarati ni hatari kwa demokrasia
Nov 30, 2018 15:08Rais wa zamani wa Tunisia ametahadharisha kuhusu njama zinazofanywa na Saudi Arabia na Imarati kwa ajili ya kuingilia uchaguzi mkuu ujao nchini humo.
-
Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhusu kushadidi jinai za Wasaudia nchini Yemen
Nov 14, 2018 06:08Saudi Arabia kwa kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati zinaendesha mashambulizi ya kikatili dhidi ya nchi maskini ya Kiarabu tangu mwezi Machi 2015 kwa msaada wa madola ya kibeberu hasa Marekani.
-
Tume ya maulama Saudia: Kufanya uhusiano na Israel ni kuyafanyia hiyana matukufu ya Palestina
Oct 30, 2018 14:39Kamati ya maulama nchini Saudi Arabia imetangaza kwamba, kufanya uhusiano mwema na utawala haramu wa Kizayuni kwa aina yoyote ile, ni kuyafanya hiyana kubwa matukufu ya Palestina.
-
Hamas yalaani kitendo cha Imarati cha kumkaribisha Abu Dhabi, waziri Mzayuni
Oct 30, 2018 04:41Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, kitendo cha Umoja wa Falme za Kiarabu cha kumkaribisha mjini Abu Dhabi waziri wa utawala wa Kizayuni ambao kila leo unawaua shahidi wananchi wasio na hatia wa Palestina ni kitendo cha aibu.
-
Seneta wa Marekani ataka uchunguzi kuhusu kuuliwa kigaidi viongozi wa Yemen
Oct 23, 2018 06:54Bi Elizabeth Warren, mjumbe katika Baraza la Senate la Marekani ameiandikia barua wizara ya mahakama ya nchi hiyo na kutaka kufanyike uchunguzi kuhusu ripoti zinazosema kwamba, maveterani wa kivita na wanajeshi wastaafu wa Marekani wanatumiwa na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kuua kigaidi viongozi wa kisiasa wa Yemen.
-
'Saudia na Imarati zimehusika na shambulio la kigaidi la Ahvaz nchini Iran'
Sep 23, 2018 14:11Katibu wa Baraza la Kitaifa la Wairani wa Marekani linalojulikana kwa jina la NIAC amesema kuwa, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu zimehusika katika shambulizi la kigaidi lililotokea jana Jumamosi katika makao makuu ya mkoa wa Khuzistan wa kusini magharibi mwa Iran.
-
Imarati yaondoa kikosi cha mwisho cha askari wake Yemen
Sep 23, 2018 07:52Kikosi cha mwisho cha wanajeshi wa Umoja wa Falme za Kiarabu kilichokuwa kikihudumu chini ya muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika mkoa wa Mahran nchini Yemen kimewasili nyumbani baada ya serikali ya Abu Dhabi kukiagizi kiondoke katika nchi hiyo maskini ya Kiarabu.
-
Seif al Islam Gaddafi akutana na viongozi wa ngazi za juu wa Imarati na Misri
Sep 17, 2018 15:27Baadhi ya duru za ngazi za juu za Libya na Misri zimetangaza kuwa, Seif al Islam, mtoto wa kiongozi wa zamani wa Libya, Muammar Gaddafi, amekutana na viongozi wawili wakubwa wa Umoja wa Falme za Kiarabu na Misri.
-
Vipigo vya makombora ya Yemen dhidi ya mishipa ya kiuchumi ya Saudia na Imarati
Sep 05, 2018 06:10Jeshi na kamati za kujitolea za wananchi wa Yemen zimeamua kulipiza kisasi cha jinai zinazofanywa na Saudi Arabia na wavamizi wenzake, kupitia kushambulia kwa makombora mishipa ya kiuchumi ya Saudia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
-
UAE ilitumia spyware ya Israel kuwafanyia ujasusi viongozi wa eneo
Sep 01, 2018 14:03Utawala wa Umoja wa Falme za Kiarabu ulitumia programu ya kijasusi ya kudukua kompyuta au simu za mkononi (spyware) kuwafanyia ujasusi viongozi kadhaa wa nchi za Kiarabu akiwemo Amir wa Qatar, Waziri Mkuu wa Lebanon na mwanamfalme mmoja wa Saudia.